shimboni mene
JF-Expert Member
- Sep 11, 2022
- 264
- 290
And seriously if and only if Membe had climbed the table, Kagame would have no chance to hide only to be dismembered as did KhashogiHivi Kagame aliwakosea nini Membe na Jakaya ???
Maana, ile haikuwa kawaida aisee.....
Dah mpaka leo miaka 50 baadae bado mnalaumu ile vita kwa matatizo yenu?Ile ya Uganda ilikua siasa tukaambulia kuambiwa kua General Amin anakula nyama za watu, mara anachukua vilema anawatupa waliwe na mamba, wakati ukienda Uganda hadi leo wanamkubali Amin waganda walio wengi, Moja ya makosa makubwa ya Mwalimu ni kuingiza nchi vitani ambapo vita iliua uchumi wetu kabisa hadi leo tuko hoi,
Kijeshi mnapamba sana Kagame, kiuhalisia ni anaongoza nchi ndogo isiyo na jeuri ya jeshi lenye nguvu kama TZ.Siku akikiamsha hakuna nchi itatia maguu kumzuia. Atateka sehemu yoyote ya nchi yoyote aitakayo hapa East Afrika.
Nchi yake iko vizuri kijeshi na muda mwingi wanajeshi wa Rwsnda wameutumia vitani.
Na ndhani hata nchi zote za Easr Africa ziunajua umahiri wa kijeshi wa Rwanda ndiyo maana Paul Kagame anafanya atakavyo lkn hakuna nchi inainua kichwa.
View attachment 2402153
Nimempa jibu mujarab!!Mjibu,ulivyoulizwa
Ova
Kweli kabisa. Kagame ni kama kunguni tu kwa Tanzania. Haijitaji kufikiria mara mbili kimshughulikia.Mpumbavu na mshenzi.
Baada ya blabla, malizia, nani alishinda vita?Ile ya Uganda ilikua siasa tukaambulia kuambiwa kua General Amin anakula nyama za watu, mara anachukua vilema anawatupa waliwe na mamba, wakati ukienda Uganda hadi leo wanamkubali Amin waganda walio wengi, Moja ya makosa makubwa ya Mwalimu ni kuingiza nchi vitani ambapo vita iliua uchumi wetu kabisa hadi leo tuko hoi,
Kama hivyo sawa.Vita kwenye play station..
Niliwahi sikia inshu ilikuwa usuluhishi wa Kikwete kati ya Wa Rwanda waishio Kongo na Kagame wakati Kikwete akiwa Chair Person wa AU.Hivi Kagame aliwakosea nini Membe na Jakaya ???
Maana, ile haikuwa kawaida aisee.....
Nafikiri EAC ichukue maamuzi magumu ya kumfuta uanachama Rwanda Kwa sabubu inasababisha security instability in the Region ...jeshi lolote lenye viambata vya uasi na ukabila ni jeshi dhaifu sanaa......
ukiacha sababu hiyo...
sababu nyingine ni hiyo aya ya kwanza.
Frankly speaking, you're not Tanzanian.
Hapana aisee, usiwe msahaulifu mapema kiasi hiki.Siku akikiamsha hakuna nchi itatia maguu kumzuia. Atateka sehemu yoyote ya nchi yoyote aitakayo hapa East Afrika.
Nchi yake iko vizuri kijeshi na muda mwingi wanajeshi wa Rwsnda wameutumia vitani.
Na ndhani hata nchi zote za Easr Africa ziunajua umahiri wa kijeshi wa Rwanda ndiyo maana Paul Kagame anafanya atakavyo lkn hakuna nchi inainua kichwa.
View attachment 2402153
Putini wamesha mput in sema tu anaona aibu kuomba poooAtakachofanywa pia in kama Putin anavyofanywa sasahivi,Yaani kukimbia aibu kubaki aibu,kilichobaki ni kutishia manyuklia tu
Angechakaza?Membe
Unayo kumbukumbu nzuri sana juu ya swala hilo.Niliwahi sikia inshu ilikuwa usuluhishi wa Kikwete kati ya Wa Rwanda waishio Kongo na Kagame wakati Kikwete akiwa Chair Person wa AU.
Kikwete akasema wakutane hao jamaa na Kagame watatue matatizo yao.
PK hakupendezwa kusuluhishwa na hao jamaa...kilichofuata ni maneno ya dharau na vitisho.
Nakumbuka niliona video moja Twitter PK alikuwa ameenda kufunga mafunzo ya ukakamavu ya vijana kama ilivyo huku kwa form six. Then akapiga dongo kuwa mtu asiyejua historia yao harusiwi kuingilia mambo yao na maneno mengine ambayo indirectly ni kama vile response ya AU chair man in that time.....
Ikafuata OP Kimbunga....ikazinduliwa Ngara...Kikwete akiwa na full detail ya security karibia wote ktk uzinduzi wa OP na ilikuwa mara chache sana Kikwete kuwa na CDF, TISS Dir ktk mkutano mmoja wa public so watu wakajiongeza......
Pamoja na ujinga wetu mwingi lakini kati ya maeneo ambayo Tanzania ni imara ni upande wa jeshi na ujasusi. Kundi dogo la special elites wa JW wanaweza kuingia HQ yao within 3days [emoji41]Siku akikiamsha hakuna nchi itatia maguu kumzuia. Atateka sehemu yoyote ya nchi yoyote aitakayo hapa East Afrika.
Nchi yake iko vizuri kijeshi na muda mwingi wanajeshi wa Rwsnda wameutumia vitani.
Na ndhani hata nchi zote za Easr Africa ziunajua umahiri wa kijeshi wa Rwanda ndiyo maana Paul Kagame anafanya atakavyo lkn hakuna nchi inainua kichwa.
View attachment 2402153