Namuona Paul Kagame akiwa kama Putin hapa Afrika Mashariki

Namuona Paul Kagame akiwa kama Putin hapa Afrika Mashariki

Ile ya Uganda ilikua siasa tukaambulia kuambiwa kua General Amin anakula nyama za watu, mara anachukua vilema anawatupa waliwe na mamba, wakati ukienda Uganda hadi leo wanamkubali Amin waganda walio wengi, Moja ya makosa makubwa ya Mwalimu ni kuingiza nchi vitani ambapo vita iliua uchumi wetu kabisa hadi leo tuko hoi,
Kwa hiyo nduli alipovamia Kagera uliona sawa. Wewe labda siyo wa nchi hii.
 
Siku akikiamsha hakuna nchi itatia maguu kumzuia. Atateka sehemu yoyote ya nchi yoyote aitakayo hapa East Afrika.

Nchi yake iko vizuri kijeshi na muda mwingi wanajeshi wa Rwsnda wameutumia vitani.

Na ndhani hata nchi zote za Easr Africa ziunajua umahiri wa kijeshi wa Rwanda ndiyo maana Paul Kagame anafanya atakavyo lkn hakuna nchi inainua kichwa.
View attachment 2402153
Ninachojua tu ni kwamba hakuna nchi hapa Afrika Mashariki ya Kuipiga Kijeshi Rwanda ya Kagame. Nimemaliza.
 
Ninachojua tu ni kwamba hakuna nchi hapa Afrika Mashariki ya Kuipiga Kijeshi Rwanda ya Kagame. Nimemaliza.
Na huu ndiyo ukweli sema wengi wanaogea kiushbiki ama hawaujui uwezo wa kijeshi wa Rwanda
 
Kuna nchi hazikutakiwa kuwepo EAC
Ethiopia
Sudan
Rwanda
Burundi
Kongo

Tungeendelea baki 3 pekee
 
Niliwahi sikia inshu ilikuwa usuluhishi wa Kikwete kati ya Wa Rwanda waishio Kongo na Kagame wakati Kikwete akiwa Chair Person wa AU.

Kikwete akasema wakutane hao jamaa na Kagame watatue matatizo yao.

PK hakupendezwa kusuluhishwa na hao jamaa...kilichofuata ni maneno ya dharau na vitisho.

Nakumbuka niliona video moja Twitter PK alikuwa ameenda kufunga mafunzo ya ukakamavu ya vijana kama ilivyo huku kwa form six. Then akapiga dongo kuwa mtu asiyejua historia yao harusiwi kuingilia mambo yao na maneno mengine ambayo indirectly ni kama vile response ya AU chair man in that time.....
Ikafuata OP Kimbunga....ikazinduliwa Ngara...Kikwete akiwa na full detail ya security karibia wote ktk uzinduzi wa OP na ilikuwa mara chache sana Kikwete kuwa na CDF, TISS Dir ktk mkutano mmoja wa public so watu wakajiongeza......
2014 mkoa wa kagera ulifanyiwa screening ile mbaya...

Watu wenye asili ya Rwanda walirudishwa kwao na kunyanganywa mali zao kwa nguvu...
 
Siku akikiamsha hakuna nchi itatia maguu kumzuia. Atateka sehemu yoyote ya nchi yoyote aitakayo hapa East Afrika.

Nchi yake iko vizuri kijeshi na muda mwingi wanajeshi wa Rwsnda wameutumia vitani.

Na ndhani hata nchi zote za Easr Africa ziunajua umahiri wa kijeshi wa Rwanda ndiyo maana Paul Kagame anafanya atakavyo lkn hakuna nchi inainua kichwa.
View attachment 2402153
rwanda imepigana vita ipi?
 
Wewe Mushuti huwezi kuisema Tanzania vizuri, lakini kwa taarifa yako, Rwanda inashughulikiwa na kikosi cha Kakonko tu na ndani ya masaa 24 Rwanda inakuwa tarafa ndani ya Wilaya ya Kakonko na Kagame anakuwa Katibu Tarafa na tunampa pikipiki ya kutembelea Tarafa yake ya Rwanda! Ahahahahah!

Kwa jeshi lipi, nadhani unafikiri hilo jeshi la Rwanda ni kama hawa wafuasi wa vyama vya upinzani wasio na silaha. Huu ujinga ndio Russia aliamini anaweza kuiteketeza Ukraine, lakini hadi tunaingia mitamboni Russia hajui atoke vipi.
 
Tumepigana vita nyingi - kuanzia vya mreno (Mozambique, Angola), Namibia, Zimbabwe, Africa ya Kusini, ushelisheli, Ngazija, mpaka Uganda etc. (etc = for security reasons hazitajwi). Nafikiri kama hujui vita hizo, basi ulikuwa mdogo! Vita hiyo yote majeshi yetu yalikuwa front line (hence front line states)...

Vita pekee direct ilikuwa ni ya Uganda, nayo ni miaka 40 iliyopita, hakuna hata mwanajeshi mmoja aliyepigana vita ile bado yuko jeshini. Na hata kama yupo basi saa hii anaugua kisukari. Hizo nyingine sisi tulienda kama wapambe wa wenye vita. Huyo Uganda mwenyewe tulimpiga kwakuwa waganda walikuwa hawamtaki Amini.
 
Wewe Mushuti huwezi kuisema Tanzania vizuri, lakini kwa taarifa yako, Rwanda inashughulikiwa na kikosi cha Kakonko tu na ndani ya masaa 24 Rwanda inakuwa tarafa ndani ya Wilaya ya Kakonko na Kagame anakuwa Katibu Tarafa na tunampa pikipiki ya kutembelea Tarafa yake ya Rwanda! Ahahahahah!
[emoji16][emoji3][emoji3]
 
Siku akikiamsha hakuna nchi itatia maguu kumzuia. Atateka sehemu yoyote ya nchi yoyote aitakayo hapa East Afrika.

Nchi yake iko vizuri kijeshi na muda mwingi wanajeshi wa Rwanda wameutumia vitani.

Na nadhani hata nchi zote za East Africa ziunajua umahiri wa kijeshi wa Rwanda ndiyo maana Paul Kagame anafanya atakavyo lakini hakuna nchi inainua kichwa.

View attachment 2402153
ni mjinga peke yake anaweza kuamini kwamba landlocked country ambayo ni masikini kama rwanda, haitengenezi silaha, haina viwanda, inatembeza bakuli kwa wazungu wanaweza kushinda vita dhidi ya nji nyingine jirani. rwanda walichofanikiwa ni propaganda tu na kuuaminisha umma kwamba wana uwezo. mbona kipindi kile JK ameliamsha kwa operation kimbunga waliamua kumuomba Tony Blaire aje aombe poo kwa JK? usifananishe na nchi kama Israel ambayo ndani yake kuna nukes, kuna viwanda vya ndege za kivita, kuna viwanda vya silaha nzito, kuna viwanda v ya makombora ya ulinzi na hawategemei nchi nyingine. hapohapo more than 10m Jews ni Wamarekani wanaoishi america na wanatoa mchango wa pesa kabisa kwenye serikali na ndio wanaotawala dunia.

sipendi vita, ila hata mimi ningekuwa kagame, ningefanya anachofanya kwasababu zifuatazo:-

1. Eastern Congo kuna wanadamu wengi sana wenye asili ya Rwanda, na wamekuwa wakitengwa serikalini kule congo,
2. rwanda ni nchi ndogo yenye population, wanahitaji kupumua, kupumua kwao ni kupata ardhi nyengine, hivyo kama hao eastern congo (banyamlenge) wakifanikiwa kujitenga, watajiunga na rwanda na rwanda itakuwa na eneo kubwa zaidi.

congo ni nchi corrupt, na rahisi kuitawala hata kwa remote. hivyo, ili kagame apate ardhi nyingine, ni lazima afanye anachofanya hicho kwa kusapoti m23 wajitenge afu watangaze kujiunga na rwanda. halafu, nguvu hao rwanda hawana kiviiile, unakumbuka JK alivyosambaratisha M23 hadi wakakimbilia Rwanda kipindi kile, walipata kichapo cha kueleweka wakatimua mbio. na Rwanda hakuwa na chochote cha kufanya. kagame ameshazeeka, labda amweke mtoto wake, muda si mrefu hayo mambo ya ugomvi yatakuwa historia.
 
Back
Top Bottom