MUTUYAMUNGU
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 1,825
- 4,374
Tunamtuma tu Kingai na vijana wakeHana lolote, mf. akianzisha vita na Tz, tunatumia polisi tu na kuwachakaza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunamtuma tu Kingai na vijana wakeHana lolote, mf. akianzisha vita na Tz, tunatumia polisi tu na kuwachakaza.
you never know alishiriki pia isiwe hivyo na ndio maana JPM alikuwa mwanaKagame ashukuru Mungu Membe hakuchukua nchi kipindi kileee.
siamin kama unajua hata kugoogle mbali na kusoma somo la historia huko shulenCase ya putin ni tofauti na ya huyo unayemsifia Yale Maeneo yaliyorudishwa urusi ni Maeneo halali ya urusi watu mnatakiwa kujua kwanini warusi wameamua kurudisha Yale Maeneo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuivamia kongo si masihara
Kongo kubwa...
Aendele tu kuwapiga pembezoni huku
Ilaa kuingiza jeshi lake ndani ya kongo
Hawezi
Na wakongo nao wamezidi kukatakata mauno tu,na kuna nchi moja tuneelekea kuwa kama kongo
Maana wakata mauno wanazidi pewa
Kipaumbele
Ova
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mjibu,ulivyoulizwa
Ova
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Pamoja na ujinga wetu mwingi lakini kati ya maeneo ambayo Tanzania ni imara ni upande wa jeshi na ujasusi. Kundi dogo la special elites wa JW wanaweza kuingia HQ yao within 3days [emoji41]
Nimecheka hadi machozi, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Polisi hawa hawa wenye vitambi na waliomshindwa Hamza?
Weledi wa jeshi hautegemei ukubwa wa eneo la nchi. Unajua kwamba Israel kwa eneo ni nchi ndogo Sana? Lkn haigusiki.kumbuka kuwa rwanda ina ukubwa wa km za mraba 26,000 sawa na mkoa wa Tanga
Fafanua kidogo mkuu, wengiine tulikua wadogo saana.Ninachojua kipindi cha Jk mzee wa Msoga,huyo Kagame wenu alifanyiwa movie moja hatari na hakuamini.Wewe fikiria kama leo unaamka unakuta jiji la Dar lote wamejaa tayari wajenda wa adui,utaacha kuwa mpole?.
Jipigie makofi kwa stori za kijiweni.Pamoja na ujinga wetu mwingi lakini kati ya maeneo ambayo Tanzania ni imara ni upande wa jeshi na ujasusi. Kundi dogo la special elites wa JW wanaweza kuingia HQ yao within 3days [emoji41]
Kagame ni kipenzi cha mabeberujeshi lolote lenye viambata vya uasi na ukabila ni jeshi dhaifu sanaa......
ukiacha sababu hiyo...
sababu nyingine ni hiyo aya ya kwanza.
unailinganisha israeli na rwanda? basi mshauri huyo hayawani mwenzako atie mguu tzWeledi wa jeshi hautegemei ukubwa wa eneo la nchi. Unajua kwamba Israel kwa eneo ni nchi ndogo Sana? Lkn haigusiki.
Lete data za weledi wa kijeshi kuonesha kwamba Tanzania iko juu ya Rwanda.
Atapigwa 4some,,,Atakachofanywa pia ni kama Putin anavyofanywa sasahivi, Yaani kukimbia aibu kubaki aibu, kilichobaki ni kutishia manyuklia tu.
Alipomuondoa Mobutu alisaidiwa na Zambia (Chiruba), na baadae akataka kumuondoa kanbila kwakuwa kabila alikataa kumruhusu aibe mali za DRC, hapo ndipo Churuba alipomtilia ngumu na kujutia kwanini alimruhusu atumie ardhi yake kumuondoa Mobutu. Angola pia alimsaidia kwa kumpatia escape route iwapo akizidiwa. Kwasasa siyo rahisi kupataa sapoti ya jirani yeyeote. Uganda amechimba mkwala ndiyo maana kwenye mpaka wa DRC na Uganda pako salamaKuivamia kongo si masihara
Kongo kubwa...
Aendele tu kuwapiga pembezoni huku
Ilaa kuingiza jeshi lake ndani ya kongo
Hawezi
Na wakongo nao wamezidi kukatakata mauno tu,na kuna nchi moja tuneelekea kuwa kama kongo
Maana wakata mauno wanazidi pewa
Kipaumbele
Ova
Hana jeuri hiyo!!!kwa jeshi gani alilonalo,Ni kwa vile jumuaia za kikanda nazo ni kama hazipo tu,na AU,na nikutokana na viongozi kama Nyerere,Mandela kutokuwepo.Hivi mfano EAC,waamue kuwa sasa basi kagame acha kuwasaidia M23, likapelekwa jeshi huko DRC,la EAC,kama kipindi kile cha JK.Siku akikiamsha hakuna nchi itatia maguu kumzuia. Atateka sehemu yoyote ya nchi yoyote aitakayo hapa East Afrika.
Nchi yake iko vizuri kijeshi na muda mwingi wanajeshi wa Rwanda wameutumia vitani.
Na nadhani hata nchi zote za East Africa ziunajua umahiri wa kijeshi wa Rwanda ndiyo maana Paul Kagame anafanya atakavyo lakini hakuna nchi inainua kichwa.
View attachment 2402153
Acha kumkosea heshima Putin, Kagame mnamu-overrate sana kitu gani kafanya cha maana mpaka mnamuogopaSiku akikiamsha hakuna nchi itatia maguu kumzuia. Atateka sehemu yoyote ya nchi yoyote aitakayo hapa East Afrika.
Nchi yake iko vizuri kijeshi na muda mwingi wanajeshi wa Rwanda wameutumia vitani.
Na nadhani hata nchi zote za East Africa ziunajua umahiri wa kijeshi wa Rwanda ndiyo maana Paul Kagame anafanya atakavyo lakini hakuna nchi inainua kichwa.
View attachment 2402153
na ni watanzania tu ndo wanampa sifa za juu mnoAcha kumkosea heshima Putin, Kagame mnamu-overrate sana kitu gani kafanya cha maana mpaka mnamuogopa