Namuona Paul Kagame akiwa kama Putin hapa Afrika Mashariki

Namuona Paul Kagame akiwa kama Putin hapa Afrika Mashariki

Historia ya vita vya magobore ina issue gani kwa dunia ya sasa ya vita vya drones?
drones RWanda anazo, kipindi kile tunagombana naye ilisemekana alikuwa nazo za israel walitaka wazifanyie majaribio. though drones pia siku hizi zina mbadala, sio njia pekee. cha muhimu ni kwamba, ataisumbua tu congo, ila nchi zingine east africa wanao uwezo wa kumchapa, na akileta vita huo uhasama utakuwa wa milele na hana uwezo kuishi nao maisha yake yote. na uchumi wa rwanda hauruhusu icho. hata congo tu wakiamua kumpiga wanaweza, atakachofanya pekee ni kuwapa silaha M23 wawe wanamsaidia, ni kama analo jeshi lake jingine linaloishi kule congo (m23).
 
Siku akikiamsha hakuna nchi itatia maguu kumzuia. Atateka sehemu yoyote ya nchi yoyote aitakayo hapa East Afrika.

Nchi yake iko vizuri kijeshi na muda mwingi wanajeshi wa Rwanda wameutumia vitani.

Na nadhani hata nchi zote za East Africa ziunajua umahiri wa kijeshi wa Rwanda ndiyo maana Paul Kagame anafanya atakavyo lakini hakuna nchi inainua kichwa.

View attachment 2402153
...mwanzoni mwa utawala wa Uhuru Kenyata hata wakenya walimshobokea sana kagame kama wewe unavyomshobokea, baadaye wakamshtukia wakaachana naye.

mshauri atie utumbo wake tz au Uganda, burundi kwenyewe ameshindwa amekubali yaishe, nchi gani ataweza?

Anafanya vurugu mashariki ya congo na si eneo kubwa ni robo tu ya mkoa, na anafanya hivyo kwa sababu anajua wacongo ni wapumbavu wasio na uzalendo kwa nchi yao, kazi yao kubwa ni kukata mauno kwenye muziki tu na kujichubua.

Ulishajiuliza vijana wa drc wangeitaka serikali yao iwape hata mafunzo ya mgambo au kama ya jkt wajue kutumia silaha na kila mtu apewe smg na hata magazini nne tu kisha kwa pamoja waamue kuivamia rwanda tena kwa mguu, rwanda itasalimika?

kumbuka kuwa rwanda ina ukubwa wa km za mraba 26,000 sawa na mkoa wa Tanga
 
Kweli leo Kagame eti anaitwa Putin wetu seriously [emoji52]

Leo Tanzania tukiamua kuikamata haitachukua masaa matatu kama Iraq alivyoikamata Kuwait wakati ule

Yaani waliingia saa 6 ya usiku mpaka saa 9 walikuwa katikati ya jiji

Halafu waliingia na vifaru huku wajeda wakivuta sigara tu
Nilimuuliza mmoja wao vipi mmevamia akaniambia tena tungejua kama mnasalimu amri upesi hivi
Tungeleta wanawake tu (dharau)

Sasa sisi tutaingia kama wamachinga tu hapo na kutandaza biashara zetu tena Raia watupu kama million moja tu
 
Dah mpaka leo miaka 50 baadae bado mnalaumu ile vita kwa matatizo yenu?
Mpaka ipite miaka mingapi ndio mtarecover?
100?
200?
1000?
Huu ni udhaifu wa masikini
Masikini huwa wanalalamika tu kwa kukosa maarifa
Nchi ni kama kampuni kama huikuzi haitakua na itakufa tu
Labda tutaacha kulalamika baada ya miaka 1000
 
Unayo kumbukumbu nzuri sana juu ya swala hilo.

Ongezea kwenye hayo uliyoandika kichapo walichopewa M23 na mfadhiri wao Kagame na kuwasambaratisha kabisa vijana wakitekeleza majukumu chini ya kundi la UN huko DRC.

Usisahau pia mkasa wa kutaka kupinduliwa yule Jamaa wa Burundi Nkuruzinza, akiwa kwenye Mkutano hapa Tanzania. Uthubutu wa Kagame uliishia ukingoni baada ya kujuwa kwamba hataweza kuyakamilisha mapinduzi hayo Nkuruziza akiwa na mkono wa Tanzania.
Haswaa,
Umenikumbusha OP ya M23 ya kamanda Mwakibinga.
Jamaa angu alikuwepo ktk hiyo OP. Alisema M23 ni wachawi sana ktk medani. Bila kuwa na makamanda wenye macho "matatu"hamtoboi.
 
Tumepigana vita nyingi - kuanzia vya mreno (Mozambique, Angola), Namibia, Zimbabwe, Africa ya Kusini, ushelisheli, Ngazija, mpaka Uganda etc. (etc = for security reasons hazitajwi). Nafikiri kama hujui vita hizo, basi ulikuwa mdogo! Vita hiyo yote majeshi yetu yalikuwa front line (hence front line states)...
Hiyo ya Uganda, Amin alisaidiwa na askari wa Libya lakini pia tuliwachapa.
 
Siku akikiamsha hakuna nchi itatia maguu kumzuia. Atateka sehemu yoyote ya nchi yoyote aitakayo hapa East Afrika.

Nchi yake iko vizuri kijeshi na muda mwingi wanajeshi wa Rwanda wameutumia vitani.

Na nadhani hata nchi zote za East Africa ziunajua umahiri wa kijeshi wa Rwanda ndiyo maana Paul Kagame anafanya atakavyo lakini hakuna nchi inainua kichwa.

View attachment 2402153
Mkuu jeshi lake na Serikali yake wakileta maliza uza katafutwa ndani dakika, tz ,kenya tu msiwachukulie poa ,hasa tz tumo, ila Mambo ya kijeshi ni siri kubwa, sema Kama kanchi kanaweza kuwa karibu na nchi za Magharibi,lakini pia nchi tajwa hapo juu pia Zina ukaribu,

Cha msingi nakubaliana na wewe uyu Kagame anatakiwa dhibitiwa mapema ana roho ya udhubutu kuliko mwendazake
 
Pamoja na ujinga wetu mwingi lakini kati ya maeneo ambayo Tanzania ni imara ni upande wa jeshi na ujasusi. Kundi dogo la special elites wa JW wanaweza kuingia HQ yao within 3days [emoji41]
Yale Yale ya Putin, ndani ya siku 3 kashafika Kyiv
 
2014 mkoa wa kagera ulifanyiwa screening ile mbaya...

Watu wenye asili ya Rwanda walirudishwa kwao na kunyanganywa mali zao kwa nguvu...
Ulikuwa ni uonevu fulani ivi? Maana kuna wanyarwanda wengi sana ambao ni wazaliwa wa Tanzania. Kama unavyooona wamasai na wajaruo watanzania na Kenya
 
Naina wanyarwanda wanajidanganya humu Sisi tutawatuma makuruta Tu wanawatosha.nchi hiyo masikini haiwezi kuitishia Tanzania.
 
Ulikuwa ni uonevu fulani ivi? Maana kuna wanyarwanda wengi sana ambao ni wazaliwa wa Tanzania. Kama unavyooona wamasai na wajaruo watanzania na Kenya
Alikua anaoneshwa kwamba anaishi kiganjani mwa Tanzania,alihangaika na wale watu asijue pa kuwaweka
 
Back
Top Bottom