Namuona Paul Kagame akiwa kama Putin hapa Afrika Mashariki

Namuona Paul Kagame akiwa kama Putin hapa Afrika Mashariki

Niliwahi sikia inshu ilikuwa usuluhishi wa Kikwete kati ya Wa Rwanda waishio Kongo na Kagame wakati Kikwete akiwa Chair Person wa AU.

Kikwete akasema wakutane hao jamaa na Kagame watatue matatizo yao.

PK hakupendezwa kusuluhishwa na hao jamaa...kilichofuata ni maneno ya dharau na vitisho.

Nakumbuka niliona video moja Twitter PK alikuwa ameenda kufunga mafunzo ya ukakamavu ya vijana kama ilivyo huku kwa form six. Then akapiga dongo kuwa mtu asiyejua historia yao harusiwi kuingilia mambo yao na maneno mengine ambayo indirectly ni kama vile response ya AU chair man in that time.....
Ikafuata OP Kimbunga....ikazinduliwa Ngara...Kikwete akiwa na full detail ya security karibia wote ktk uzinduzi wa OP na ilikuwa mara chache sana Kikwete kuwa na CDF, TISS Dir ktk mkutano mmoja wa public so watu wakajiongeza......
Anhaaa........
Interesting........
 
O
Kuivamia kongo si masihara
Kongo kubwa...
Aendele tu kuwapiga pembezoni huku
Ilaa kuingiza jeshi lake ndani ya kongo
Hawezi
Na wakongo nao wamezidi kukatakata mauno tu,na kuna nchi moja tuneelekea kuwa kama kongo
Maana wakata mauno wanazidi pewa
Kipaumbele

Ova
Oya 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌
 
Vita siyo mchezo braza, yaani utashangaa ndege na mizinga ikianza kulindima Kigali Kagame anatorokea Uganda mara Sudan Kusini mara huyooo Ufaransa..

Vita ni habari nyingine we ona Putin saivi anawaza plan B kutumia nyuklia wakati aliamini pamoja na Majenerali wake kumaliza vita ile ndani ya saa 72.

Saivi anaona aibu kishenzi msenge yule ***** zake nyokoli
Putin aneshateka na kuyamiliki majimbo 3 ya Ukraine. Huu siyo ushindi?
 
Naamini hata migogoro mingi inayotokea hapa east africa na kati kuna mkono wa kagame huyu mtu ni msumbufu sana
 
Nilijua huna hoja.
Wewe Mushuti huwezi kuisema Tanzania vizuri, lakini kwa taarifa yako, Rwanda inashughulikiwa na kikosi cha Kakonko tu na ndani ya masaa 24 Rwanda inakuwa tarafa ndani ya Wilaya ya Kakonko na Kagame anakuwa Katibu Tarafa na tunampa pikipiki ya kutembelea Tarafa yake ya Rwanda! Ahahahahah!
 
Pamoja na ujinga wetu mwingi lakini kati ya maeneo ambayo Tanzania ni imara ni upande wa jeshi na ujasusi. Kundi dogo la special elites wa JW wanaweza kuingia HQ yao within 3days [emoji41]
Duh, mkuu 'MTAZAMO' umeweka hata muda wa kutimiza malengo?

Naona umejiamini kwelikweli.

Isingekuwa haya madhaifu yanayoenea kila sehemu siku hizi chini ya CCM iliyooza, upande huo tulikuwa na nafuu sana.
Lakini sasa CCM imeingia kila sehemu na kuharibu kila kitu kila mahali inakotia mkono wake.
Viongozi makini wanachukuliwa huko na kuteuliwa kuwa wapishi wa uovu wa CCM. Katika hali ya namna hiyo kweli hata taasisi muhimu na imara kama hiyo itaendelea kuwa na umakini?

Viongozi wataanza kupigana vikumbo ili wapate uteuzi.
 
Pamoja na ujinga wetu mwingi lakini kati ya maeneo ambayo Tanzania ni imara ni upande wa jeshi na ujasusi. Kundi dogo la special elites wa JW wanaweza kuingia HQ yao within 3days [emoji41]
Maskini
 
Kwani Tanzania hii ni vita gani serious tumepigana?
Tumepigana vita nyingi - kuanzia vya mreno (Mozambique, Angola), Namibia, Zimbabwe, Africa ya Kusini, ushelisheli, Ngazija, mpaka Uganda etc. (etc = for security reasons hazitajwi). Nafikiri kama hujui vita hizo, basi ulikuwa mdogo! Vita hiyo yote majeshi yetu yalikuwa front line (hence front line states)...
 
Siku akikiamsha hakuna nchi itatia maguu kumzuia. Atateka sehemu yoyote ya nchi yoyote aitakayo hapa East Afrika.

Nchi yake iko vizuri kijeshi na muda mwingi wanajeshi wa Rwsnda wameutumia vitani.

Na ndhani hata nchi zote za Easr Africa ziunajua umahiri wa kijeshi wa Rwanda ndiyo maana Paul Kagame anafanya atakavyo lkn hakuna nchi inainua kichwa.
View attachment 2402153
Putin anachukua Maeneo ya Russia.
 
Atakachofanywa pia in kama Putin anavyofanywa sasahivi,Yaani kukimbia aibu kubaki aibu,kilichobaki ni kutishia manyuklia tu
Putin Gani unayemuongelea?amesharudisha maeneo yaliyotakiwa kurudi urusi.
 
Siku akikiamsha hakuna nchi itatia maguu kumzuia. Atateka sehemu yoyote ya nchi yoyote aitakayo hapa East Afrika.

Nchi yake iko vizuri kijeshi na muda mwingi wanajeshi wa Rwsnda wameutumia vitani.

Na ndhani hata nchi zote za Easr Africa ziunajua umahiri wa kijeshi wa Rwanda ndiyo maana Paul Kagame anafanya atakavyo lkn hakuna nchi inainua kichwa.
View attachment 2402153
Case ya putin ni tofauti na ya huyo unayemsifia Yale Maeneo yaliyorudishwa urusi ni Maeneo halali ya urusi watu mnatakiwa kujua kwanini warusi wameamua kurudisha Yale Maeneo.
 
Back
Top Bottom