Namuona Paul Kagame akiwa kama Putin hapa Afrika Mashariki

Namuona Paul Kagame akiwa kama Putin hapa Afrika Mashariki

Siku akikiamsha hakuna nchi itatia maguu kumzuia. Atateka sehemu yoyote ya nchi yoyote aitakayo hapa East Afrika.

Nchi yake iko vizuri kijeshi na muda mwingi wanajeshi wa Rwanda wameutumia vitani.

Na nadhani hata nchi zote za East Africa ziunajua umahiri wa kijeshi wa Rwanda ndiyo maana Paul Kagame anafanya atakavyo lakini hakuna nchi inainua kichwa.

View attachment 2402153

Usimfananishe Puti na huyu mshamba
 
Unapomuongelea Putin na Russia unaongelea nchi inayopeleka 40% ya nishati kwenda Ulaya

Huyo PK ameweza kupeleka hata chupa moja ya maji ya kunywa huko Congo?
hahahaaaaaa
 
Kenya imetuma wanajeshi wake huyu Paulo atachezea vitasa hatoamini.
 
WaCongo man wasingekuwa wanateseka hivi kama Jakaya angekuwa bado Rais…aliwafyekelea mbali hawa M23 hadi Kagame akapata kiungulia
Mkuu

Operation kimbunga KIDOGO iende na mama yangu AISEH!kisa Babu mhamiaji lakini mama mzaliwa!!
 
Kumbuka kipidi cha mkapa jakaya alimwambia wewe risasi mmja sisi tano jw ni moto acha mchezo
Kwanini watanzania wengi maarifa ya kuandika vitu kwa usahihi na ufasaha yanawashinda ?

Unakuta mtu anaandika maneno ya ajabu ajabu, hakuna alama za uandishi, yaani ukisoma kidogo tu hadi kichwa kinaanza kuuma.
 
jeshi lolote lenye viambata vya uasi na ukabila ni jeshi dhaifu sanaa......

ukiacha sababu hiyo...


sababu nyingine ni hiyo aya ya kwanza.
Jeshi lililojaa watu wa kabila nalo unaliita jeshi.

Staff officers na. Senior officers Karibia wote watutsi hio nalo jeshi.

Hilo sio jeshi ni ni kikundi Cha watu wa kabila Moja wenye yunifomu na silaha basi.

Jeshi ambalo origin yake ni uasi Hilo sio jeshi.

Huwezi sema hili ni jeshi la nchi kama halina diversity au machanganyiko wa watu wenye asili tofauti.

Jamaa Hana ubavu wa kupeleka jeshi kongo akipeleka tu watamfanya vibaya sana.

Kuna wale jamaa wa FDLR wanagonja wapate chance wakinukishe.

Acha Slim ajitambe ila yeye mwenyewe anajua ana maadui wengi siku akijichanganya tu maadui zake wa ndani na nje wanapita nae perpendicular.
 
Jeshi lililojaa watu wa kabila nalo unaliita jeshi.

Staff officers na. Senior officers Karibia wote watutsi hio nalo jeshi.

Hilo sio jeshi ni ni kikundi Cha watu wa kabila Moja wenye yunifomu na silaha basi.

Jeshi ambalo origin yake ni uasi Hilo sio jeshi.

Huwezi sema hili ni jeshi la nchi kama halina diversity au machanganyiko wa watu wenye asili tofauti.

Jamaa Hana ubavu wa kupeleka jeshi kongo akipeleka tu watamfanya vibaya sana.

Kuna wale jamaa wa FDLR wanagonja wapate chance wakinukishe.

Acha Slim ajitambe ila yeye mwenyewe anajua ana maadui wengi siku akijichanganya tu maadui zake wa ndani na nje wanapita nae perpendicular.
FDLR hawana nguvu ya kuteka hata robo kilometa ndani ya Rwanda kundi ambalo ni tishio kwa PK ni mai mai na wenyewe hawana ugomvi nae na wapo mbali saana na mpaka wa Rwanda
 
Vita pekee direct ilikuwa ni ya Uganda, nayo ni miaka 40 iliyopita, hakuna hata mwanajeshi mmoja aliyepigana vita ile bado yuko jeshini. Na hata kama yupo basi saa hii anaugua kisukari. Hizo nyingine sisi tulienda kama wapambe wa wenye vita. Huyo Uganda mwenyewe tulimpiga kwakuwa waganda walikuwa hawamtaki Amini.
Risasi iliyotumika kuua miaka hyo 40 iliyopita ikitumika kukupigia sasaivi hufi??

Turudi kwa hao Rwanda..wamepigana vita gani direct na nani?


Tatizo la watanzania wakilala wakiamka na kula maharage ndo mnakuja kijamba jamba hapa jf, wkt huko mipakani kuna watu wapo doria masaa 24 hawalali kukulinda ww ule maharage yako bila kujamba jamba lkn bdo unaleta kashfa za kijanga hapa..pumbavu kabisa[emoji35]
 
Risasi iliyotumika kuua miaka hyo 40 iliyopita ikitumika kukupigia sasaivi hufi??

Turudi kwa hao Rwanda..wamepigana vita gani direct na nani?


Tatizo la watanzania wakilala wakiamka na kula maharage ndo mnakuja kijamba jamba hapa jf, wkt huko mipakani kuna watu wapo doria masaa 24 hawalali kukulinda ww ule maharage yako bila kujamba jamba lkn bdo unaleta kashfa za kijanga hapa..pumbavu kabisa[emoji35]

Kwani wako huko mipakani kunilinda kwa hisani au ndio kazi waliyochagua na wanalipwa mshahara? Naona unaongea kama vile hiyo kazi ya ulinzi wanafanya kw kujitolea na sio wajibu.
 
FDLR hawana nguvu ya kuteka hata robo kilometa ndani ya Rwanda kundi ambalo ni tishio kwa PK ni mai mai na wenyewe hawana ugomvi nae na wapo mbali saana na mpaka wa Rwanda

kundi ambalo ni tishio kwa PK ni mai mai na wenyewe hawana ugomvi nae na wapo mbali saana na mpaka wa Rwanda
Kuna baadhi ya vikundi vya maimai vinashirikiana na Fdlr pia....fdlr haina nguvu ila imegeuka sababu ya Rwanda kufadhili makundi kama M23 kwa kisingizio cha kulinda watusi wa huko.
 
mtoa
uzi hujui habari za vita Ila una mihemko wa muda tu jk alishawahi kuwachakaza hso na kundi lao wanaloshirikiana rwanda ina jeshi zuri lakini siyo kiwango hicho unachosemea east Africa Tanzania na Kenya ndo nchi Bora kwa majeruhi
 
Back
Top Bottom