EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Jana kabipiwa Su25 just touched down in Rwanda and took off🤣🤣Siku akikiamsha hakuna nchi itatia maguu kumzuia. Atateka sehemu yoyote ya nchi yoyote aitakayo hapa East Afrika.
Nchi yake iko vizuri kijeshi na muda mwingi wanajeshi wa Rwanda wameutumia vitani.
Na nadhani hata nchi zote za East Africa ziunajua umahiri wa kijeshi wa Rwanda ndiyo maana Paul Kagame anafanya atakavyo lakini hakuna nchi inainua kichwa.
View attachment 2402153
Walimshindwa je?Polisi hawa hawa wenye vitambi na waliomshindwa Hamza?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe Mushuti huwezi kuisema Tanzania vizuri, lakini kwa taarifa yako, Rwanda inashughulikiwa na kikosi cha Kakonko tu na ndani ya masaa 24 Rwanda inakuwa tarafa ndani ya Wilaya ya Kakonko na Kagame anakuwa Katibu Tarafa na tunampa pikipiki ya kutembelea Tarafa yake ya Rwanda! Ahahahahah!
Kwani lengo lake ninini lilikuwa?Putin Gani unayemuongelea?amesharudisha maeneo yaliyotakiwa kurudi urusi.
Wewe unaota, basi subiri au mwambie arushe hata manati tu kigoma aone Moto, kwanza tumevumilia sana kukaa bila kua na mkoa Wetu wa Rwanda.Ninachojua tu ni kwamba hakuna nchi hapa Afrika Mashariki ya Kuipiga Kijeshi Rwanda ya Kagame. Nimemaliza.
Maelezo zaid mkuuuKagame alishawahi beep late 1990s, Wakati wa Anko Ben, mpaka Leo kichwa kinamuuma. Maana alipelekewa moto overnight. Hana uwezo wote huyu.