Namuona Shaka Hamdu Shaka akienda kumsaidia Rais wetu Samia Serikalini

Namuona Shaka Hamdu Shaka akienda kumsaidia Rais wetu Samia Serikalini

Huku wewe ukimsaidia kujaza "server" za Jf kwa mapambio!

Hiyo namba yako wahuni wataiweka kwenye matangazo ya waganga wa tiba asili halafu wayabandike kwenye nguzo mji mzima mwenyewe utafurahi.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwanza nawapongeza Sana viongozi wote wa chama changu cha CCM waliochaguliwa kuingia kuiunda na kuikamilisha safu ya juu ya uongozi wa chama chetu,Ni safu yenye kuleta matumaini kwetu wanachama...
Umejipambanua wazi kama team Hamidu Shaka?

Kwa hiyo wewe unamjua vizuri kuliko Mwenyekiti aliyemtoa hiyo nafasi?

Nadhani hujui vizuri .Kikwete alichosema ni wewe utakifanyia nini chama sio utamfanyia nini mtu binafsi naona umejiapiza kumtetea Hamidu Shaka badala ya chama .Unajua madhara yake?
 
Umejipambanua wazi kama team Hamidu Shaka?.
Kwa hiyo wewe unamjua vizuri kuliko Mwenyekiti aliyemtoa hiyo nafasi...
Soma uelewe nilichoandika na siyo kuandika kwa hisia na kunirisha maneno,Hakuna aliyemkubwa kuliko CCM,Pia kuondoka katika nafasi fulani kwa mwanachama wa CCm Kama kiongozi siyo Jambo geni na Wala huwi wa kwanza, pia Nakuomba uaianze kunirisha maneno ya u timu, Mimi Sina timu. Timu yangu Ni CCM na Taifa chini ya uongozi shupavu wa Mwenyekiti na Rais wetu mpendwa mama Samia
 
Huku wewe ukimsaidia kujaza "server" za Jf kwa mapambio!

Hiyo namba yako wahuni wataiweka kwenye matangazo ya waganga wa tiba asili halafu wayabandike kwenye nguzo mji mzima mwenyewe utafurahi.
Hili Ni jukwaa huru hivyo hujazuiwa hata wewe kuandika mawazo yako
 
Huyu jamaa lazima ni midfle age miaka ya 50 ama zaidi. Maana anachoongea hapa kijana anayejitambua haweziongea, hii serikali imefeli yeye inasifia tu hii ni nyuzi yake nahisi ya nne hivi nyuzi zake zote ni mapambie. Nahisi ni wale wadudu wanakaaga kwenye mapindo ya boxer
Imefeli wapi? Utasemeje imefeli wakati unaona Ni wakati huu katika historia ambapo tunaona mapinduzi ya kilimo kwa kuongezeka kwa bajeti kutoka billioni Mia mbili na point Hadi kufikia billioni Mia Tisa na point,lakini pia utolewaji wa mabillioni ya Ruzuku takribani billioni Mia moja hamsini.

Ujenzi na uboreshaji wa huduma za Afya na Elimu ,mfano katika Elimu takribani vyumba vya madarasa elfu 20 vimejengwa nchini kwote na kupelekea wanafunzi wote wanaofaulu kuanza shule kwa wakati na kwa pamoja, na Sasa serikali imetoa mabillioni kuweza kukarabati na kufanya maboresho makubwa kwa shule za msingi zilizo chakaa,

Elimu Ni bure kuanzia Darasa lankwanza Hadi kidato Cha sita huku mikopo kwa Elimu ya juu ikitolewa kwa wanafunzi wote wenye sifa,maslahi mazuri kwa watumishi hasa waalimu na ajira zinatolewa kwa waalimu ili kuendana na ongezeko la wanafunzi

Ukienda katika Afya nako Hali Ni Moto kutokana na ujenzi wa mania ya vituo vya Afya nchini,zahanani, uboreshaji wa hospitali za wilaya,mkoa,Kanda na hata rufaa,upatikanaji wa vifaa Tiba,madawa na wataalamu Ni was uhakika

Mazingira mazuri ya kiuwekezaji nayo Ni mazuri Sana yaliyopelekea Tanzania kuwa chaguo. Namba moja la wawekezaji na watalii
 
Umejipambanua wazi kama team Hamidu Shaka?.
Kwa hiyo wewe unamjua vizuri kuliko Mwenyekiti aliyemtoa hiyo nafasi?
Nadhani hujui vizuri .Kikwete alichosema ni wewe utakifanyia nini chama sio utamfanyia nini mtu binafsi naona umejiapiza kumtetea Hamidu Shaka badala ya chama .Unajua madhara yake?
Na pia la mwisho ni kuwa Mimi Nakuheshimu na naheshimu michango yako, wewe natambua Ni mwana ccm mwenzangu na hivyo busara inanituma kukuheshimu na kutohitaji kulumbana Wala kubishana na wewe humu kwa Jambo lolote lile iwe Mimi nipo sahihi au wewe upo sahihi au wote Tuwe sahihi au wote kutokuwa sahihi ningependaa tusitoa mwanya kwa wapinzani wetu kwa kuanza kubishana humu,Kama Kuna nilipoikosea Kuna njia mbadala kuniandikia na kunishauri maana sote tunajenga nyumba moja na haina haja ya kugombea Fito Wala kuanza kushutumiana na kushakiana kwa namna yoyote Ile.

Tushirikiane,tuungane pamoja kukitetea chama chetu na kukisemea,hata tunapotofautiana tujifunze kuvumiliana na tusionyeshane hasira au kushambuliana Bali tutumie njia mbadala kuambiana ukweli au kusahihishana
 
Peleka huu mjadala kwenye magroup yenu ya CCM.
Kama shaka alikuahidi cheo fanya mkajipake naye mkorogo huko mombasa.
Sijiulizi CCM itanifanyia Nini Bali najiuliza nitaifanyia Nini CCM, pia CCM hatugawani vyeo Bali tunagawana majukumu ya kuwatumikia na kuwahudumia watanzania ili waweze kupata huduma Bora na stahiki, kwa hiyo sipo CCM kutafuta vyeo au Fadhira ya vyeo.
 
Back
Top Bottom