Namuona Shaka Hamdu Shaka akienda kumsaidia Rais wetu Samia Serikalini

Namuona Shaka Hamdu Shaka akienda kumsaidia Rais wetu Samia Serikalini

Nipo pia katika kilimo naendelea kufaidika na juhudi za serikali ya CCM katika kuwasaidia wakulima kuinuka kiuchumi hasa kwankauli take na matendo yake ya kukifanya kilimo Ni biashara kw kuhakikisha kuwa mkulima ananufaika na jasho lake
Hii wadanganye vyawa wenzako
 
ANGEPEWA UWAZIRI MKUU atakuwa MSAADA MKUBWA
Obviously tunacheza na beat,hata ningeteuliwa mimi ungesema mi pia mwanaume wa shoka nimepikwa nikapikika,so sio issue sana mambo ya uchawa,tufanye kazi siasa ni kama bahati nasibu
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwanza nawapongeza Sana viongozi wote wa chama changu cha CCM waliochaguliwa kuingia kuiunda na kuikamilisha safu ya juu ya uongozi wa chama chetu,Ni safu yenye kuleta matumaini kwetu wanachama,Ni safu ya ushindi,uchapa kazi na uzalendo ,Ni safu iliyojaa viongozi wazalendo, wanaokijuwa chama vizuri, nguli wa siasa za majukwaani na za kisasa.

Ni safu ambayo imewachanganya wapinzani na kuwaacha midomo wazi kwa namna CCM ilivyo na usiri katika mambo yake, maana majina yaliyo tajwa tajwa na yaliyokuja imeonyesha maana ya kuwa chama kiongozi na chama Tawala kilichounda serikali iliyoapa kuilinda na kuipigania nchi hii kwa jasho, machozi na Damu.

Ni safu ambayo inakwenda kukiongoza chama chetu katika mapambano ya kumtetea na kumsemea mtanzania dhidi ya kero zinazomgusa ni safu inayokwenda kufuatilia utekelezaji wa ilani yake namna mwananchi anavyohudumiwa. Namna watendaji serikalini wanavyotoka maofisini na kwenda kukutana na watanzania wanaohitaji huduma, ni safu iliyo na Sura ya Kitaifa na sura ya Muungano wetu adhimu na pendwa.

Katika mabadiliko hayo Ndugu Shaka Hamidu Shaka Ameondoka katika nafasi aliyokuwepo na nafasi yake kuchukuliwa na mama wa Shoka,mama shupavu na Hodari,Mama mwenye kujiamini na asiye babaika, mwenye uzoefu wa kutosha na siasa za nchi hii, aliyepikwa akapikika kiuongozi, Mwenye utulivu na staha za kiuongozi, mwenye kipaji cha kujenga hoja na kupangua hoja kimaridadi na mwenye kurusha makombora ya hoja Kama bomu la Atomic.

Hakika mama huyu Sophia Mjema Anakwenda kuziteka na kuzitawala siasa za nchi hii, wapinzani wanakwenda kuweka mikono mgongoni na kushusha sura zao chini Kama Taa iliyokwisha mafuta.

Wanakwenda kumaliza na hoja za mama huyu,wanakwenda kushindwa kujibu hoja zake na wanakwenda kukata pumzi kabla ya kuingia ulingoni.

Katika kuachwa huko kwa Shaka ,Imani yangu inaniambia kuwa kwa kazi aliyoifanya ndugu Shaka ndani ya muda mfupi, kwa aina ya uwasilishaji wake wa hoja,kwa utulivu wake, kwa uzoefu wake wa siasa za nchi hii,kwa umri wake, upeo wake, kwa uzalendo Wake, kwa Dira na muelekeo wa Uongozi Wa Rais wetu mpendwa na kipenzi cha Watanzania mama Samia suluhu Hassani Namuona ndugu Shaka Akliingia katika majukumu mengine kumsaidia Rais wetu mpendwa katika kuwahudumia Watanzania.

Mwisho nimalizie kusema Tena kuwa hongereni viongozi wangu wote mliopata dhamana za uongozi,Nendeni mkakitetee chama chetu, mkakipiganie, mkakisemee, mkawakumbushe viongozi wa ngazi za chini wajibu wao katika kuwahudumia watanzania kwa kufuatilia utekelezaji wa ilani yetu na kuhakikisha wanapata huduma Bora kulingana na ilani yetu ya chama.

Mimi Lucas Mwashambwa ninaendelea na kazi yangu ya kukitetea chama changu kama nilivyojiapiza kufanya kazi hiyo tangia Mwaka 2005 niliposhawishiwa na mh Jakaya Mrisho Kikwete kujiunga Na CCM, kazi hii ni yetu sote na kila mmoja wetu Ajiulize ataifanyia Nini CCM na siyo CCM itamfanyia Nini, Tushirikiane kwa pamoja kukijenga Chama chetu na Taifa letu kwa ujumla, tuwe wazalendo na Tutangulize mbele Taifa letu.

Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627
Napendekeza Lucas Mwashambwa ateuliwa kuwa Katibu Mwenezi wa Chawa wa Mama wa Taifa!
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwanza nawapongeza Sana viongozi wote wa chama changu cha CCM waliochaguliwa kuingia kuiunda na kuikamilisha safu ya juu ya uongozi wa chama chetu,Ni safu yenye kuleta matumaini kwetu wanachama,Ni safu ya ushindi,uchapa kazi na uzalendo ,Ni safu iliyojaa viongozi wazalendo, wanaokijuwa chama vizuri, nguli wa siasa za majukwaani na za kisasa.

Ni safu ambayo imewachanganya wapinzani na kuwaacha midomo wazi kwa namna CCM ilivyo na usiri katika mambo yake, maana majina yaliyo tajwa tajwa na yaliyokuja imeonyesha maana ya kuwa chama kiongozi na chama Tawala kilichounda serikali iliyoapa kuilinda na kuipigania nchi hii kwa jasho, machozi na Damu.

Ni safu ambayo inakwenda kukiongoza chama chetu katika mapambano ya kumtetea na kumsemea mtanzania dhidi ya kero zinazomgusa ni safu inayokwenda kufuatilia utekelezaji wa ilani yake namna mwananchi anavyohudumiwa. Namna watendaji serikalini wanavyotoka maofisini na kwenda kukutana na watanzania wanaohitaji huduma, ni safu iliyo na Sura ya Kitaifa na sura ya Muungano wetu adhimu na pendwa.

Katika mabadiliko hayo Ndugu Shaka Hamidu Shaka Ameondoka katika nafasi aliyokuwepo na nafasi yake kuchukuliwa na mama wa Shoka,mama shupavu na Hodari,Mama mwenye kujiamini na asiye babaika, mwenye uzoefu wa kutosha na siasa za nchi hii, aliyepikwa akapikika kiuongozi, Mwenye utulivu na staha za kiuongozi, mwenye kipaji cha kujenga hoja na kupangua hoja kimaridadi na mwenye kurusha makombora ya hoja Kama bomu la Atomic.

Hakika mama huyu Sophia Mjema Anakwenda kuziteka na kuzitawala siasa za nchi hii, wapinzani wanakwenda kuweka mikono mgongoni na kushusha sura zao chini Kama Taa iliyokwisha mafuta.

Wanakwenda kumaliza na hoja za mama huyu,wanakwenda kushindwa kujibu hoja zake na wanakwenda kukata pumzi kabla ya kuingia ulingoni.

Katika kuachwa huko kwa Shaka ,Imani yangu inaniambia kuwa kwa kazi aliyoifanya ndugu Shaka ndani ya muda mfupi, kwa aina ya uwasilishaji wake wa hoja,kwa utulivu wake, kwa uzoefu wake wa siasa za nchi hii,kwa umri wake, upeo wake, kwa uzalendo Wake, kwa Dira na muelekeo wa Uongozi Wa Rais wetu mpendwa na kipenzi cha Watanzania mama Samia suluhu Hassani Namuona ndugu Shaka Akliingia katika majukumu mengine kumsaidia Rais wetu mpendwa katika kuwahudumia Watanzania.

Mwisho nimalizie kusema Tena kuwa hongereni viongozi wangu wote mliopata dhamana za uongozi,Nendeni mkakitetee chama chetu, mkakipiganie, mkakisemee, mkawakumbushe viongozi wa ngazi za chini wajibu wao katika kuwahudumia watanzania kwa kufuatilia utekelezaji wa ilani yetu na kuhakikisha wanapata huduma Bora kulingana na ilani yetu ya chama.

Mimi Lucas Mwashambwa ninaendelea na kazi yangu ya kukitetea chama changu kama nilivyojiapiza kufanya kazi hiyo tangia Mwaka 2005 niliposhawishiwa na mh Jakaya Mrisho Kikwete kujiunga Na CCM, kazi hii ni yetu sote na kila mmoja wetu Ajiulize ataifanyia Nini CCM na siyo CCM itamfanyia Nini, Tushirikiane kwa pamoja kukijenga Chama chetu na Taifa letu kwa ujumla, tuwe wazalendo na Tutangulize mbele Taifa letu.

Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627
Wewe ndio umesahaulika pamoja na kijikombakomba.
 
ANGEPEWA UWAZIRI MKUU atakuwa MSAADA MKUBWA
Waziri Mkuu mwanamke wa kwanza anakuja baada ya uchaguzi wa 2025. Mh. Majaliwa miaka 10 inamtosha.

Ingependeza sana angekuwa Mh. Dr. Tulia Ackson, lakini bahati mbaya hana uzoefu wa baraza la mawaziri. Kwa hiyo angalia katika mawaziri wanawake tulio nao sasa hivi, kuna mmoja atakuwa Waziri Mkuu. Hata kama hana jimbo la uchaguzi atatafutiwa jimbo. Kama Dr. Tulia alivyotafutiwa jimbo la uchaguzi ili apewe uspika.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwanza nawapongeza Sana viongozi wote wa chama changu cha CCM waliochaguliwa kuingia kuiunda na kuikamilisha safu ya juu ya uongozi wa chama chetu,Ni safu yenye kuleta matumaini kwetu wanachama,Ni safu ya ushindi,uchapa kazi na uzalendo ,Ni safu iliyojaa viongozi wazalendo, wanaokijuwa chama vizuri, nguli wa siasa za majukwaani na za kisasa.

Ni safu ambayo imewachanganya wapinzani na kuwaacha midomo wazi kwa namna CCM ilivyo na usiri katika mambo yake, maana majina yaliyo tajwa tajwa na yaliyokuja imeonyesha maana ya kuwa chama kiongozi na chama Tawala kilichounda serikali iliyoapa kuilinda na kuipigania nchi hii kwa jasho, machozi na Damu.

Ni safu ambayo inakwenda kukiongoza chama chetu katika mapambano ya kumtetea na kumsemea mtanzania dhidi ya kero zinazomgusa ni safu inayokwenda kufuatilia utekelezaji wa ilani yake namna mwananchi anavyohudumiwa. Namna watendaji serikalini wanavyotoka maofisini na kwenda kukutana na watanzania wanaohitaji huduma, ni safu iliyo na Sura ya Kitaifa na sura ya Muungano wetu adhimu na pendwa.

Katika mabadiliko hayo Ndugu Shaka Hamidu Shaka Ameondoka katika nafasi aliyokuwepo na nafasi yake kuchukuliwa na mama wa Shoka,mama shupavu na Hodari,Mama mwenye kujiamini na asiye babaika, mwenye uzoefu wa kutosha na siasa za nchi hii, aliyepikwa akapikika kiuongozi, Mwenye utulivu na staha za kiuongozi, mwenye kipaji cha kujenga hoja na kupangua hoja kimaridadi na mwenye kurusha makombora ya hoja Kama bomu la Atomic.

Hakika mama huyu Sophia Mjema Anakwenda kuziteka na kuzitawala siasa za nchi hii, wapinzani wanakwenda kuweka mikono mgongoni na kushusha sura zao chini Kama Taa iliyokwisha mafuta.

Wanakwenda kumaliza na hoja za mama huyu,wanakwenda kushindwa kujibu hoja zake na wanakwenda kukata pumzi kabla ya kuingia ulingoni.

Katika kuachwa huko kwa Shaka ,Imani yangu inaniambia kuwa kwa kazi aliyoifanya ndugu Shaka ndani ya muda mfupi, kwa aina ya uwasilishaji wake wa hoja,kwa utulivu wake, kwa uzoefu wake wa siasa za nchi hii,kwa umri wake, upeo wake, kwa uzalendo Wake, kwa Dira na muelekeo wa Uongozi Wa Rais wetu mpendwa na kipenzi cha Watanzania mama Samia suluhu Hassani Namuona ndugu Shaka Akliingia katika majukumu mengine kumsaidia Rais wetu mpendwa katika kuwahudumia Watanzania.

Mwisho nimalizie kusema Tena kuwa hongereni viongozi wangu wote mliopata dhamana za uongozi,Nendeni mkakitetee chama chetu, mkakipiganie, mkakisemee, mkawakumbushe viongozi wa ngazi za chini wajibu wao katika kuwahudumia watanzania kwa kufuatilia utekelezaji wa ilani yetu na kuhakikisha wanapata huduma Bora kulingana na ilani yetu ya chama.

Mimi Lucas Mwashambwa ninaendelea na kazi yangu ya kukitetea chama changu kama nilivyojiapiza kufanya kazi hiyo tangia Mwaka 2005 niliposhawishiwa na mh Jakaya Mrisho Kikwete kujiunga Na CCM, kazi hii ni yetu sote na kila mmoja wetu Ajiulize ataifanyia Nini CCM na siyo CCM itamfanyia Nini, Tushirikiane kwa pamoja kukijenga Chama chetu na Taifa letu kwa ujumla, tuwe wazalendo na Tutangulize mbele Taifa letu.

Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627
Na wewe je? Wamekuona?
 
Kwa mujibu wa KATIBA yetu ya 1977 TAMISEMI sio miongoni Union Matters na ibara ya 55 inasema kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano LAZIMA awe Mbunge wa kuchaguliwa JIMBONI, kwa msingi sioni nafasi ya SHAKA kuteuliwa kwa namna yeyote labda KUMWONDOA MBUNGE wa kuteuliwa ili naye ateuliwe kama ilivyokuwa kwa POLE POLE japo ni KUIVUNJA KATIBA......Mtu akishateuliwa kuwa MP hakuna namna ya kumtoa kama hajajiuzulu au kufukuzwa UANACHAMA........labda Shaka anaweza kuteuliwa sehemu ya pili ya Muungano
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwanza nawapongeza Sana viongozi wote wa chama changu cha CCM waliochaguliwa kuingia kuiunda na kuikamilisha safu ya juu ya uongozi wa chama chetu,Ni safu yenye kuleta matumaini kwetu wanachama,Ni safu ya ushindi,uchapa kazi na uzalendo ,Ni safu iliyojaa viongozi wazalendo, wanaokijuwa chama vizuri, nguli wa siasa za majukwaani na za kisasa.

Ni safu ambayo imewachanganya wapinzani na kuwaacha midomo wazi kwa namna CCM ilivyo na usiri katika mambo yake, maana majina yaliyo tajwa tajwa na yaliyokuja imeonyesha maana ya kuwa chama kiongozi na chama Tawala kilichounda serikali iliyoapa kuilinda na kuipigania nchi hii kwa jasho, machozi na Damu.

Ni safu ambayo inakwenda kukiongoza chama chetu katika mapambano ya kumtetea na kumsemea mtanzania dhidi ya kero zinazomgusa ni safu inayokwenda kufuatilia utekelezaji wa ilani yake namna mwananchi anavyohudumiwa. Namna watendaji serikalini wanavyotoka maofisini na kwenda kukutana na watanzania wanaohitaji huduma, ni safu iliyo na Sura ya Kitaifa na sura ya Muungano wetu adhimu na pendwa.

Katika mabadiliko hayo Ndugu Shaka Hamidu Shaka Ameondoka katika nafasi aliyokuwepo na nafasi yake kuchukuliwa na mama wa Shoka,mama shupavu na Hodari,Mama mwenye kujiamini na asiye babaika, mwenye uzoefu wa kutosha na siasa za nchi hii, aliyepikwa akapikika kiuongozi, Mwenye utulivu na staha za kiuongozi, mwenye kipaji cha kujenga hoja na kupangua hoja kimaridadi na mwenye kurusha makombora ya hoja Kama bomu la Atomic.

Hakika mama huyu Sophia Mjema Anakwenda kuziteka na kuzitawala siasa za nchi hii, wapinzani wanakwenda kuweka mikono mgongoni na kushusha sura zao chini Kama Taa iliyokwisha mafuta.

Wanakwenda kumaliza na hoja za mama huyu,wanakwenda kushindwa kujibu hoja zake na wanakwenda kukata pumzi kabla ya kuingia ulingoni.

Katika kuachwa huko kwa Shaka ,Imani yangu inaniambia kuwa kwa kazi aliyoifanya ndugu Shaka ndani ya muda mfupi, kwa aina ya uwasilishaji wake wa hoja,kwa utulivu wake, kwa uzoefu wake wa siasa za nchi hii,kwa umri wake, upeo wake, kwa uzalendo Wake, kwa Dira na muelekeo wa Uongozi Wa Rais wetu mpendwa na kipenzi cha Watanzania mama Samia suluhu Hassani Namuona ndugu Shaka Akliingia katika majukumu mengine kumsaidia Rais wetu mpendwa katika kuwahudumia Watanzania.

Mwisho nimalizie kusema Tena kuwa hongereni viongozi wangu wote mliopata dhamana za uongozi,Nendeni mkakitetee chama chetu, mkakipiganie, mkakisemee, mkawakumbushe viongozi wa ngazi za chini wajibu wao katika kuwahudumia watanzania kwa kufuatilia utekelezaji wa ilani yetu na kuhakikisha wanapata huduma Bora kulingana na ilani yetu ya chama.

Mimi Lucas Mwashambwa ninaendelea na kazi yangu ya kukitetea chama changu kama nilivyojiapiza kufanya kazi hiyo tangia Mwaka 2005 niliposhawishiwa na mh Jakaya Mrisho Kikwete kujiunga Na CCM, kazi hii ni yetu sote na kila mmoja wetu Ajiulize ataifanyia Nini CCM na siyo CCM itamfanyia Nini, Tushirikiane kwa pamoja kukijenga Chama chetu na Taifa letu kwa ujumla, tuwe wazalendo na Tutangulize mbele Taifa letu.

Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627
Itakuwa ni ujinga mkubwa kumpatia yule kijana nafasi serikalini.
 
Unajidhalilisha tu kwa majibu yako ,hata hivyo siwezi nikashangaa maana akili zenu upinzani mnaZijuwa wenyewe,hata hivyo nitaendelea kuwaelimisha kwa lugha ya staha na heshima na hiyo ndio maana ya kuwa ndani ya chama kiongozi
Kwani shaka anatumia mkorogo mkuu au?
 
Back
Top Bottom