Namwambiaje huyu binti wa miaka 19 kuwa sina malengo nae?

Hebu ni PM namba yake mkuu nikusaidie kumwambia
 
Pumbavu kabisa ww
 
Wewe una miaka mingapi?...mbona hujibu?
 
Hivi huwa mnaawahidi kuwaoa ili iweje
Demu kabla ya kukukubalia anakuuliza "una malengo gani kwanza na Mimi?"

Hebu vaa uhusika wa jamaa mwenye uchu kwelikweli ya nyapu ya huyo demu, tena ukute hio nyapu umeshaisotea kwa miezi kadhaa, halafu jibu la Hilo swali ndio litakalopelekea wewe kupewa au kunyimwa hio nyapu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…