Nani alipambana na CHADEMA akashinda? Huyu nae akiendelea, hafiki mbali na anaeweza kwenda na kuiacha CHADEMA iko imara

Nani alipambana na CHADEMA akashinda? Huyu nae akiendelea, hafiki mbali na anaeweza kwenda na kuiacha CHADEMA iko imara

Mbona Lowassa kawahujumu na bado yupo? Lijuakali, Mashinji, Mwambe, nk
Hao wamepeleka njaa zao tu hakuna mwenye uwezo wa kuihujumu Chadema,aliyekuwa na uwezo na kujaribu kufanya hivyo yuko motoni sasa hivi anaokwa kama ndafu
 
unapaswa ujue kuwa Vyombo vya ulinzi na usalama vina pambana na vitaendelea kupambana na vitendo vyote vya Uvunjifu wa Amani na Usalama wa Taifa letu.
kamwe! hatovumilwa mtu yeyote yule atakaye jaribu kupanga, kufanikisha au kutenda vitendo vya uvunjifu wa Amani na Usalama wa nchi yetu.
Amani na Usalama wa nchi yetu ni muhimu zaidi kuliko chadema.
Sema vinalinda ccm na sio nchi
 
Chanjo utachanja?? Sukuma gang mmepiga kelele weee leo mama kapigilia msumari
Kwa hiari kumbuka hilo...gaidi alitaka kukomalia iwe kidikteta mwisho wa siku kakandamizwa yeye na chanjo ya ugaidi
 
Eti mpango wa Mungu, labda kama ni mpango wa mguu. Acheni kumdhihaki Mungu. Mungu hawezi kutumia wafadhili wa ugaidi na wangese ili kuwakomboa watakatifu wake. Zama zile ambazo Mungu alijifanya hazioni zimeshapita, sasa hivi zama za Agano Jipya.
 
Naomba niwawleze CHADEMA ni mpango wa Mungu kwa watanzania, hakuna ataeshindana na hiki chama akakiweza. Hakuna,hakuna na hatatokea.

Wanaopambana na CHADEMA wanapambana na nguvu za Mungu na ndio maana hiki chama mpaka leo kipo imara. Wanapoteza muda tu na resources zao bure tu.

Yule aliesema vyama vya upinzani ni vyama vya msimu, alipambana nacho ila mwisho wa siku aliondoka Magogoni akiacha CHADEMA ikiwa imara kuliko jana.

Akaja mwingine mwenye akili sifuri alieamini katika kutumia mabavu na biashara ya kununua wanasiasa akiamini kwa kutumia mbinu hizo ndio ataiua CHADEMA, ila mwisho wa siku kafa yeye kaicha CHADEMA imara kuliko hata chama chake kilichokuwa kinabebwa kwa lila namna.

Sasa kaja mwingine ambae nae hataki kutazama historia na kujiuliza kama wenzake wameshindwa yeye ndio ataweza?

Narudiia, kupambana na CHADEMA sio kupambana na Mbowe,Lissu,Heche au kamanda mwingine yoyote, bali ni kupambana na mwenye Mamlaka Mbinguni na duniani na asiporudi nyuma, nae atakipata anachokitafuta kutoka kwa huyo mwenyewe Mamlaka yote.

Kama ambavyo Mussa aliteuliwa na Mungu kuwaokoa wana wa Israel waliokuwa wanateseka nchini Misri, ndivyo hivyo hivyo kaiteua CHADEMA kupambana na Goliati CCM na hakika huyu Goliati atashindwa hii vita.

Binafsi naamini kilichomuondoa yule dikteta ni mpango wake wa kutamka kummaliza Mwenyekiti ila Mungu akaingiia kati na akamuondoa kama anavyoweza kumuondoa huyu anaejaribu kuiga bila kutafakari kwa kina.

Kupambana na CHADEMA ni kutafuta aibu, fedheha na anguko baya na ndio maana wote waliojaribu kupambana na hiki chama wote wameangukia pua.

Tusubiri na hatima ya huyu wa sasa.
Hizo ramuli za kitoto tu, ngoja dawa iwaingie, maana mlitaka kumuletea mama zarau, ngoja awanyoshe vizuri
 
Naomba niwawleze CHADEMA ni mpango wa Mungu kwa watanzania, hakuna ataeshindana na hiki chama akakiweza. Hakuna,hakuna na hatatokea.

Wanaopambana na CHADEMA wanapambana na nguvu za Mungu na ndio maana hiki chama mpaka leo kipo imara. Wanapoteza muda tu na resources zao bure tu.

Yule aliesema vyama vya upinzani ni vyama vya msimu, alipambana nacho ila mwisho wa siku aliondoka Magogoni akiacha CHADEMA ikiwa imara kuliko jana.

Akaja mwingine mwenye akili sifuri alieamini katika kutumia mabavu na biashara ya kununua wanasiasa akiamini kwa kutumia mbinu hizo ndio ataiua CHADEMA, ila mwisho wa siku kafa yeye kaicha CHADEMA imara kuliko hata chama chake kilichokuwa kinabebwa kwa lila namna.

Sasa kaja mwingine ambae nae hataki kutazama historia na kujiuliza kama wenzake wameshindwa yeye ndio ataweza?

Narudiia, kupambana na CHADEMA sio kupambana na Mbowe,Lissu,Heche au kamanda mwingine yoyote, bali ni kupambana na mwenye Mamlaka Mbinguni na duniani na asiporudi nyuma, nae atakipata anachokitafuta kutoka kwa huyo mwenyewe Mamlaka yote.

Kama ambavyo Mussa aliteuliwa na Mungu kuwaokoa wana wa Israel waliokuwa wanateseka nchini Misri, ndivyo hivyo hivyo kaiteua CHADEMA kupambana na Goliati CCM na hakika huyu Goliati atashindwa hii vita.

Binafsi naamini kilichomuondoa yule dikteta ni mpango wake wa kutamka kummaliza Mwenyekiti ila Mungu akaingiia kati na akamuondoa kama anavyoweza kumuondoa huyu anaejaribu kuiga bila kutafakari kwa kina.

Kupambana na CHADEMA ni kutafuta aibu, fedheha na anguko baya na ndio maana wote waliojaribu kupambana na hiki chama wote wameangukia pua.

Tusubiri na hatima ya huyu wa sasa.
😀 😀 😀 Mwana saccos hapa umefurahisha maini tu. Hilo genge la magaidi lini liliwahi kuwa imara?.
 
Hizo ramuli za kitoto tu, ngoja dawa iwaingie, maana mlitaka kumuletea mama zarau, ngoja awanyoshe vizuri
Wewe mhutu nyie ndiyo mnaunda Sukuma Gang kumhujumu Rais,mnajifanya Wasukuma kumbe ni wahamiaji haramu toka Burundi.
 
Na kwa tozo hizi za dhuluma tusijeanza kutunga Nyimbo upya
 
Naomba niwawleze CHADEMA ni mpango wa Mungu kwa watanzania, hakuna ataeshindana na hiki chama akakiweza. Hakuna,hakuna na hatatokea.

Wanaopambana na CHADEMA wanapambana na nguvu za Mungu na ndio maana hiki chama mpaka leo kipo imara. Wanapoteza muda tu na resources zao bure tu.

Yule aliesema vyama vya upinzani ni vyama vya msimu, alipambana nacho ila mwisho wa siku aliondoka Magogoni akiacha CHADEMA ikiwa imara kuliko jana.

Akaja mwingine mwenye akili sifuri alieamini katika kutumia mabavu na biashara ya kununua wanasiasa akiamini kwa kutumia mbinu hizo ndio ataiua CHADEMA, ila mwisho wa siku kafa yeye kaicha CHADEMA imara kuliko hata chama chake kilichokuwa kinabebwa kwa lila namna.

Sasa kaja mwingine ambae nae hataki kutazama historia na kujiuliza kama wenzake wameshindwa yeye ndio ataweza?

Narudiia, kupambana na CHADEMA sio kupambana na Mbowe,Lissu,Heche au kamanda mwingine yoyote, bali ni kupambana na mwenye Mamlaka Mbinguni na duniani na asiporudi nyuma, nae atakipata anachokitafuta kutoka kwa huyo mwenyewe Mamlaka yote.

Kama ambavyo Mussa aliteuliwa na Mungu kuwaokoa wana wa Israel waliokuwa wanateseka nchini Misri, ndivyo hivyo hivyo kaiteua CHADEMA kupambana na Goliati CCM na hakika huyu Goliati atashindwa hii vita.

Binafsi naamini kilichomuondoa yule dikteta ni mpango wake wa kutamka kummaliza Mwenyekiti ila Mungu akaingiia kati na akamuondoa kama anavyoweza kumuondoa huyu anaejaribu kuiga bila kutafakari kwa kina.

Kupambana na CHADEMA ni kutafuta aibu, fedheha na anguko baya na ndio maana wote waliojaribu kupambana na hiki chama(serikali, watu binafsi, n.k,), wote wameangukia pua.Kama yupo aliewahi ishinda CHADEMA, nitajieni na mimi nimjue.

CHADEMA si NCCR, CUF au vyama vingine, bali hiki chams ni namba nyingine na ndio maana kimeweza kutawla ligi ya vyama vingi kwa miaka mingi mfululizo licha ya waamuzi kutokuwa fair kwani husajili wachezaji wenye viwango na ndio maana timu pinzani huwanunua wakiamini watawasaidia ila mambo hua kinyume chake.

Baada ya kuona CHADEMA ni unbeaten ndani ya uwanja kwa miaka mingi, wakaanza fitina nje ya uwanja, ila nawaambia hata hii mbinu ambayo wamekuwa wakiitumia kwa muda sasa, nayo itashindwa tu.

Hivyo, kwa wakati huu, tusubiri na hatima ya huyu alieamua kupambana na hiki chama tuone atafika wapi.
Mnajipa moyo tu chadema chama gani kimeishiwa nguvu kabisa. Chama ni kukubalika na wapiga kura. Chadema mbunge mmoja tu wakuchaguliwa nguvu gani mnayo? Saa hizi ni kama mende tu. Ukimkanyaga kichwa bado anafurukuta. Ruzuku hampewi mnafurukuta kwa kupewa hela na mabeberu wanaohangaika kuwaingiza madarakani ili muwakabidhi uchumi wa nchi yetu.
 
Hivi serikali inapambana na chadema ama chadema wanapambana na serikali?
 
Back
Top Bottom