Salaam, Shalom!!
Nani amekosa Maadili kati ya Hawa wawili?
Ni yule aliyedhamiria viwanda vya ndani vifungwe Kwa kuletewa sukari Toka nje ,fake, GMO ya Bei Chee yenye kuuzwa Bei sawa na sukari ya ndani yenye ubora, ilipiwayo Kodi, iliyoajiri Watanzania?
Anayepaswa kuhojiwa ni aliyelidanganya bunge mara 18, au aliyetoa ushahidi wa Kweli?
Kwani ni kosa la jinai kusema Kweli Nchi hii na kutetea maslah ya nchi na wananchi maskini?
Nawasilisha.
Nani amekosa Maadili kati ya Hawa wawili?
Ni yule aliyedhamiria viwanda vya ndani vifungwe Kwa kuletewa sukari Toka nje ,fake, GMO ya Bei Chee yenye kuuzwa Bei sawa na sukari ya ndani yenye ubora, ilipiwayo Kodi, iliyoajiri Watanzania?
Anayepaswa kuhojiwa ni aliyelidanganya bunge mara 18, au aliyetoa ushahidi wa Kweli?
Kwani ni kosa la jinai kusema Kweli Nchi hii na kutetea maslah ya nchi na wananchi maskini?
Nawasilisha.