Nani alitakiwa kupelekwa kamati ya Maadili kati ya Ndugu Mpina na Waziri Bashe?

HUSSEIN BASHE akiwa Naibu Waziri wa Kilimo mwaka 2020 walitunga sheria kulinda viwanda vya sukari nchini,Nleo amekuwa Waziri kamili bila aibu na sijui kwa kuwadharau wabunge na watanzania kapeleka mabadiliko ya sheria bungeni ili kesho waipitishe kuruhusu kampuni za stationery, vikampuni vya uchochoroni, vikampuni vya simu za Aitel kwa Mgongo wa Mlezi wake wa Gesi kupewa vibali vya kuagiza sukari, Wabunge wetu hii sheria muitazame kwa makini msikilizeni Mhe Mkenda akiwa Waziri wa Kilimo
 
Magufuli tutamkumbuka kwakweli,

Kumbe alizungukwa na maharamia, comedians kuanzia juu Hadi chini!!
 
Bashe na Mh. Spika wa Bunge
 
Ila vijana tunaokaa upande wa upinzani tunaonekana kama tumepanic..

Lazima tufanye research yakutosha kabla hatujaanza kulidandia jambo kwa hisia...

Sasa kama huyu kaandika nini, bora Malisa GJ walau ameandika akiwa amefanya research kdg.

Yaani tu huipendi serikali hata nini kikisemwa wewe unaamini bila kutumia ubongo kdg, ndo maana nchi bado itataliwa sana na maccm..

Jambo la sukari lipo obvious, tusiingie mtego wa mpina anayetumika
 
Wanaotengeneza Scarcity ndio hao hao wapigaji.
 
Bado Bashe ni kiongozi nzuri
 
Wote wawili ni maccm
 
We mambo ya watu yaache hivyo hivyo. Snura aliimba wimbo Majanga ndiyo hayo.
 
Mpina tena alitakiwa apewe na ya uhujumu uchumi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…