Mkonowatembo
JF-Expert Member
- Sep 25, 2016
- 1,107
- 1,012
hapa inaonekana mnyika alisaini hizi fomu za wabunge 19 wa chadema mbona mnyika yupo kimya sana na suala hili njaa mbayaSasa huoni kama hawana ushahidi wa nyaraka kughushiwa Mahakama itaona jamaa wamefukuzwa kiuonevu?
Polisiccm wanajua record!Ndio kwaajili ya record
Najua mazingira hayakuwa rafiki kutokana na aina ya utawala uliokuwepo ila ingesaidia hili suala kuingia kwenye record.
Kughushi ni jinai, sasa mtu kafanya jinai hujaenda polisi ili walishughulikie unabaki kulalamika mtandaoni. Kama CHADEMA walitoa taarifa sawa ila kama hawakutoa nani ataamini kuwa hawa jamaa walighushi nyaraka?
Ni kweli jinai haifi, unaibiwa tv mwaka wa kwanza, wa pili, wa tatu uko kimya unalalamika tu mtaani, mwaka nne unaenda kupambania TV yako mahakamani nani atakuamini?
hapa inaonekana mnyika alisaini hizi fomu za wabunge 19 wa chadema mbona mnyika yupo kimya sana na suala hili njaa mbaya
Hawa wanachama wa chadema humu, mitaani, whatsap wote ni kama mazombie
Hakuna wa kuuliza hili, kusema hili, kujadili hili, kusimamia hili..hayupo wa kumuuliza mbowe hili
Yaani eti ukute wanakujibu hili swali?
Saa hizi wamekuwa programmed kumtukana spika!! Na CCM! Kwisha
Atakuja mtu kuijibu hii post.
Hatataka kuongeala hoja yako, ila atanitukana kuwaambia ni mazombie, wait n see😂😂
Najua mazingira hayakuwa rafiki kutokana na aina ya utawala uliokuwepo ila ingesaidia hili suala kuingia kwenye record.
Kughushi ni jinai, sasa mtu kafanya jinai hujaenda polisi ili walishughulikie unabaki kulalamika mtandaoni. Kama CHADEMA walitoa taarifa sawa ila kama hawakutoa nani ataamini kuwa hawa jamaa walighushi nyaraka?
Ni kweli jinai haifi, unaibiwa tv mwaka wa kwanza, wa pili, wa tatu uko kimya unalalamika tu mtaani, mwaka nne unaenda kupambania TV yako mahakamani nani atakuamini?
Hawa wanachama wa chadema humu, mitaani, whatsap wote ni kama mazombie
Hakuna wa kuuliza hili, kusema hili, kujadili hili, kusimamia hili..hayupo wa kumuuliza mbowe hili
Yaani eti ukute wanakujibu hili swali?
Saa hizi wamekuwa programmed kumtukana spika!! Na CCM! Kwisha
Atakuja mtu kuijibu hii post.
Hatataka kuongeala hoja yako, ila atanitukana kuwaambia ni mazombie, wait n see😂😂
Sasa huoni kama hawana ushahidi wa nyaraka kughushiwa Mahakama itaona jamaa wamefukuzwa kiuonevu?
Unachokoza ili ujibiwe?Subiri ukifika wakati wa cross examination (perpendicular bisector) mahakamani utapata majibu.Najua mazingira hayakuwa rafiki kutokana na aina ya utawala uliokuwepo ila ingesaidia hili suala kuingia kwenye record.
Kughushi ni jinai, sasa mtu kafanya jinai hujaenda polisi ili walishughulikie unabaki kulalamika mtandaoni. Kama CHADEMA walitoa taarifa sawa ila kama hawakutoa nani ataamini kuwa hawa jamaa walighushi nyaraka?
Ni kweli jinai haifi, unaibiwa tv mwaka wa kwanza, wa pili, wa tatu uko kimya unalalamika tu mtaani, mwaka nne unaenda kupambania TV yako mahakamani nani atakuamini?
Chadema wanayo haki ya kuwafukuza wanachama na Wanachama wanayo haki ya kupinga kufukuzwa hiyo ndiyo Haki za binadamu.Huwa nawasikia mara nyingi mkihubiri haki ni haki gani mlizozikusudia?
Mbona mnataka kuhodhi mamlaka ya utoaji haki?
Mliposema katiba hii inatoa mamlaka makubwa Kwa mtu mmoja nilidhani mlikusudia kuondoa ukiritimba uliojificha kwenye maamuzi ya vikao vya wengi wenyekupitisha Matakwa ya mtu mmoja.
Nilidhani muda wa kusujudu fikra za Mwenyekiti pekee umekwisha!
Kwanini tuchukie Jambo kufikishwa mahakamani ili tupate tafsiri sahihi ya mambo ambayo yamekuwa yakitatiza jamii?
Kwanini hamu yetu ni kukomoa,kujenga,chuki isiyokuwa na maslahi Kwa jamii?
walishawahi waandikia tume kuomba kuona nakala ya hizo nyaraka?
CDM mliwatumia watoto wa watu kina mdee kuitukana serekali ya ccm kwa kipind lirefu Leo mnakuja kuwataka kuwafukuza Kam mbwa hpn huo ndio uhun
Mdee kanyaga twende
Umeuliza swali la msingi sana , wao wanakomaa na kwenye mrija tu !
Kwa yanayoendelea CHADEMA Mungu atuweke na mitandao ni mwalimu mzuri na maktaba nzuri tutazifufua hizi comments, Chama cha Mapinduzi kitaendelea kuongoza nchi mpaka labda 2050 huko
SUBIRI KESI IPO MAHAKAMANI TUTAMJUA ACHA KUWEWESEKANajua mazingira hayakuwa rafiki kutokana na aina ya utawala uliokuwepo ila ingesaidia hili suala kuingia kwenye record.
Kughushi ni jinai, sasa mtu kafanya jinai hujaenda polisi ili walishughulikie unabaki kulalamika mtandaoni. Kama CHADEMA walitoa taarifa sawa ila kama hawakutoa nani ataamini kuwa hawa jamaa walighushi nyaraka?
Ni kweli jinai haifi, unaibiwa tv mwaka wa kwanza, wa pili, wa tatu uko kimya unalalamika tu mtaani, mwaka nne unaenda kupambania TV yako mahakamani nani atakuamini?
Yaani wew Kihiyo kweli unasema kuwa unajuwa kuwa jinai huwa haifi halafu unawalaumu Chadema kwa nini hawajawahi kupeleka kesi Mahakamani mpka Sasa wakati unajua kuwa Chadema haijafa.Najua mazingira hayakuwa rafiki kutokana na aina ya utawala uliokuwepo ila ingesaidia hili suala kuingia kwenye record.
Kughushi ni jinai, sasa mtu kafanya jinai hujaenda polisi ili walishughulikie unabaki kulalamika mtandaoni. Kama CHADEMA walitoa taarifa sawa ila kama hawakutoa nani ataamini kuwa hawa jamaa walighushi nyaraka?
Ni kweli jinai haifi, unaibiwa tv mwaka wa kwanza, wa pili, wa tatu uko kimya unalalamika tu mtaani, mwaka nne unaenda kupambania TV yako mahakamani nani atakuamini?
jinai haifi ila inaathiriwa na after thoughtYaani wew ni mkund uu kweli unasema kuwa unajuwa kuwa jinai huwa haifi halafu unawalaumu Chadema kwa nini hawajawahi kupeleka kesi Mahakamani mpka Sasa wakati unajua kuwa Chadema haijafa.
Sasa ikitokea mwakani wakapeleka kesi Mahakamani utasema Ujinga gani wewe kibwetele? Hataka mnalipwa pesa kuandika ukumbe hapa JF Basi tumieni Akili kufikili badala ya makalio
Walipelekaje majina wakati Kulikiwa hakuna kikao cha kuwachagua WAbunge WA Viti maalumuWewe una ushahidi gani kuwa CHADEMA haikupeleka majina tume ya uchaguzi
Tuanzie hapa kwanza[emoji16]