Nani alithibitisha kuwa Mdee na wenzake wamegushi sahihi? Kughushi ni jinai walishawahi kufunguliwa jalada Polisi ili uchunguzi ufanyike?

Kwani mtu akitolewa Jela usiku anageuka bubu hawezi kuapa?
 
Kulalamika hadharani peke yake haitoshi, CDM walitakiwa waende police na hizo documents zao zilizo gushiwa ili lifunguliwe Jalada la uchunguzi,na hizo documents zingepelekwa kwa Mtaalaamu wa Maandishi kwa uchunguzi zaidi, na report ya Mtaalaamu wa maandishi ingepekekwa huko Mahakamani!!
 
Sio kila tuhuma ili ichunguzwa sharti iwe limelipotiwa polisi. Inapotokea tuhuma kubwa na kuchafua taswila ya nchi, vyombo/taasisi za uchunguzi zinapaswa kuingilia kati na kusafisha hizo tuhuma. Vinapokaa kimya, wananchi tunaamini serikali imehusika katika hilo saga
 
Mkuu unawafahamu sana hawa mazombie ya Chadema. No point na nini. Ni kutukana tu halafu wanajiita eti akili kubwa!
 
Na serikali yenye mashinery zote ilishindwa vipi jiakikishia kwamba wamegushi Ili kutafuta mchawi nani Kati ya wabunge 19 na chama chao,? Tunakuja na hoja nyepesi Sana katika hili, na tunafanya makosa makubwa kutetea Jambo ambalo lipo wazi
Yaani wanaololoma nyaraka zao zimeghushiwa hawajaenda kutoa taarifa kwenye machinery hizo, ila machinery ndio zihangaike? Je, baadae wenye nyaraka wakisema hazijaghushiwa je?
 
Sasa kesi itaendaje Mahakamani bila ya kuwepo na Mlalamikaji au Victims!?
 
Sio kila tuhuma ili ichunguzwa sharti iwe limelipotiwa polisi. Inapotokea tuhuma kubwa na kuchafua taswila ya nchi, vyombo/taasisi za uchunguzi zinapaswa kuingilia kati na kusafisha hizo tuhuma. Vinapokaa kimya, wananchi tunaamini serikali imehusika katika hilo saga
Sasa kesi itaendaje Mahakamani bila ya kuwepo na Mlalamikaji au Victims!?
Mlalamikaji sio lazima awe chadema, mlalamikaji anaweza likawa bunge, serikali au NEC kwa kuituhumu chadema kueneza uongo na kusababisha tahaluki ktk jamii kwa kudanganya kuwa hawakuteua wabunge wala kujaza fomu na kusema saini yao imegushiwa
 
Hamjamsikiliza Mbowe ......nyamazeni suala liko mahakamani mnawashwa wapi
 
Ukitaka kuithibitisha Jina kwa Jamii usiwe muwoga,usisubiri eti flani ndiyo atakusemea kwa niaba yako kisa kaona wwe wakati unaonewa! Simama Kama wwe na vielelezo vyako,na kuhaidi utayaona Matokeo kuliko hii kukaa na kukata tamaa!!
 
Ukitaka kuithibitisha Jina kwa Jamii usiwe muwoga,usisubiri eti flani ndiyo atakusemea kwa niaba yako kisa kaona wwe wakati unaonewa! Simama Kama wwe na vielelezo vyako,na kuhaidi utayaona Matokeo kuliko hii kukaa na kukata tamaa!!
Jinai!!
 
Ukitaka kuithibitisha Jina kwa Jamii usiwe muwoga,usisubiri eti flani ndiyo atakusemea kwa niaba yako kisa kaona wwe wakati unaonewa! Simama Kama wwe na vielelezo vyako,na kuhaidi utayaona Matokeo kuliko hii kukaa na kukata tamaa!!
Nimekuslewa. Acha serikali, bunge na NEC ikubali taswila ya nchi kuchafuliwa na Chadema
 
ukimjuwa mbowe kama ni mhuni wala huhangaiki kutafuta aliyepeleka majina kuwa ni yeye na mnyika
 
Ni saini mkuu au ulimaanisha Sahihi ile ya Correct?
 
Mbona vyeti feki wanalipwa?
 
Yaani wanaololoma nyaraka zao zimeghushiwa hawajaenda kutoa taarifa kwenye machinery hizo, ila machinery ndio zihangaike? Je, baadae wenye nyaraka wakisema hazijaghushiwa je?
Kuna vitu haviitaji jibizana, wabunge wale 19 wamegushi, na wezi wa uma, Kama kweli kilichotendeka kulikua na baraka za chama, why walipopewa nafasi ya kujitetea kabla ya kupigiwa kura hakuna alieamuka toa utetezi wake Ili kumwaga mboga?

Tunanajisi taifa letu wenyewe KWa kuendekeza Mambo madomadogo ya kijinga, bila kujua kesho yetu itakua ngum Sana, na yanafanyika haya yote KWa faida ya nani Kama sio ujinga
 
Yaani mtu atunge uongo halafu umwite mtu mwingine aje ajitee kwa uongo huo. Hata mimi siendi. Lakini, mahakama itasema ukweli.
 
Yaani mtu atunge uongo halafu umwite mtu mwingine aje ajitee kwa uongo huo. Hata mimi siendi. Lakini, mahakama itasema ukweli.
Ukweli upi, kwamba covid pale ni Wanachama wa Chadema? Kwamba majina yao tume yalipelekwa na chama,? Kwamba yule alietoka gerezani na kwenda kuapishwa basi alitolewa na chama,
Haya Mambo yanaenda kuvua watu taulo anzia
Bunge, mahakama, tume ya uchaguzi , serikali ya awam 5 na 6
Je wajua madhara yake ? Au washabikia tu, twende tu
 
Sasa huoni kama hawana ushahidi wa nyaraka kughushiwa Mahakama itaona jamaa wamefukuzwa kiuonevu?

Unafikiria kufikia mwisho fulani tu!! Hapa mshitakiwa ni Chadema, kuwa amewafukuza uanachama kwa uonevu!! Kumbuka Katiba ya Chadema katika kuwaondoa imefuatwa!!

Sasa Chadema atasema amewafukuza kwa kuwa walikiuka taratibu za kichama na wakatitambulisha kwa NEC nje ya taratibu. Ni hapa wabunge hawa 19 au NEC watatoa utambulisho kutoka Chadema. Na kama utambulisho huu hautakuwa umeandikwa na Katibu Mkuu - basi utakuwa sio sahihi!!

Unakumbuka barua ya KM kwa ofisi ya Bunge iliyoitwa na Spika Ndugai “kipeperushi”?? Hii ni baada Mnyika kutaka kupewa nakala za barua zilizodaiwa kuandikwa na Mnyika na NEC kwa ofisi ya Bunge!!

Jambo hili liko sehemu sahihi, subira ni muhimu.
 
Time will tell.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…