Nani aliwadanganya CHADEMA wamponde Hayati Magufuli majukwaani!!? Hili jambo litawanyima kura miaka elfu

Hoja yangu ni kwamba tuzungumzie matatizo yaliyopo tuache kupaza sauti kuhusu mtu ambaye hatunae lkni namna tunavyomuongelea sanasana tunaisaidia ccm izidi kuwa comfortable
 
Uongozi wa Chadema nadhani hawaitaji kura za Wananchi wa Tanzania ili waendelee kuwemo kwenye ulingo wa Siasa. Ni fikra fikirishi hii usiipuuze!!!
 
Hata ungekuwa wewe, yale Magufuli aliwatendea CHADEMA wacha wateme nyongo!
Ukiwa na viongozi wanaowaza kutema nyongo basi utakuwa na viongozi wabovu sana katika kizazi hiki hawa chadema wangekuwa Mandela si wangeongea hadi siku wanaingia kaburini?
Ukiwa na kaliba ya mkombozi huwa unapotezea haraka sana yaliyokupata na kujenga dalaja la ukombozi
 
Utakuwa na matatizo ya afya ya akili watu wanaosema hadharani uovu wa Magufuli we unasema wanamsengenya? Sukumagang mnapwaya Magufuli hana na hatokuwa na influence yeyote kwenye uchaguzi wa 2025.

Rais Samia ni mjuzi wa siasa ingawa katoka chama kikongwe chakavu, kawashtukia sukumagang na upuuzi wenu kaamua heri awe na ukaribu na CHADEMA kuliko wapuuzi sukumagang ndani ya CCM.

Kama Magufuli alikuwa na ushawishi uchaguzi wa 2020 asingeuiba uchaguzi mzima mzima, kama akiwa hai alishindwa kusimama na CHADEMA kwenye uchaguzi huru na haki akaamua kuupora, kuua, kuwakamata wagombea wa CHADEMA kuwafungulia kesi na kuwaibia kivuli chake akiwa kaburini kitawatesa?

You are deluded umechanganyikiwa
 
Nyie wapumbv na wajinga huyo mjinga Mapombe aliharibu nchi akaua watu ,akapiga risasi so mlikuwa hamuoni wajinga nyie huyo Jamaa yenu

Aliharibu na matundu ya baadhi yenu sio nchi peke yake.
 
Mimi ni CHADEMA lakini kwa suala hili chama kinazingua sana, kuna haja gani ya kuhangaika na mtu aliyetangulia kwa Mungu?
CHADEMA haijawahi na haitokuwa na wafuasi wajinga kiasi hiki, Fascist Hitler, Stalin, Idi Amin na wengineo wamekufa miaka mingi lakini bado wanasemwa kwa maovu yao, wew ni chizi siyo CHADEMA
 
Nina kadi ya CHADEMA tangu 2006. Sijawahi kua mwanachama wa CCM. Kura yangu ya Urais nilimpa Dr JPM, Ubunge na Diwani CHADEMA.
Ficha ujinga wako basi, hadi sisi tunaona aibu! Mbona akili yako ndogo kama kisoda nani kakuuliza hayo?
 
Hoja yangu ni kwamba tuzungumzie matatizo yaliyopo tuache kupaza sauti kuhusu mtu ambaye hatunae lkni namna tunavyomuongelea sanasana tunaisaidia ccm izidi kuwa comfortable
Hakuna mwenye time na mwendazake, ila tuna time na kuusema udhalimu wake ili tusirudie makosa kuwapa dhamana watu kama yeye au kuyanormalize makosa hayo.

Tusipokemea mambo ya wasiojulikana, kupora pesa za wafanyabiashara, kuvunja katiba na kuonea watu vitajirudia
 
Sukumagang utawajua kwa hoja zao za kipumbavu, chama cha hovyo serikali ingekubali kukaa nao na kufikia maridhiano? Magufuli anayependwa na watanzania kwa nini hakukubali uchaguzi huru na haki?

Wanaomsifia ni sukumagang na wagonjwa wa akili
 
Kwa kweli wanatuangusha sana sie tunao acha shughuri zetu na kwenda kuwasikiliza.
 
Mimi na familia yangu,wapangaji wangu,Majirani zangu na wote wanaokuja nyumbani kuchota Maji ni waumini wa kuu wa huyu Mzee,kuna vijana hapa mtaani kwangu wanatimu inaitwa JPM na ni team yenye Mashabiki wengi mtaani kwetu na inadhaminiwa na wazee wa jeshi walistaafu.
 
Watu wamesahau jinsi akina Dr Slaa walivyounanga utawala wa Mkapa baada ya kutoka madarakani mwaka 2006 hadi 2010, ishu za buzwagi, kagoda, ndege ya rais, Meremeta etc

Watu wanataka maovu ya utawala wa Magufuli yasisemwe kisa kafa, kafa yeye nchi haijafa!
 
Nakupinga vibaya sana ! Shetani ana wafuasi wengi kuliko Magufuli lakini anapingwa siku zote na ataendelea kupingwa tu
 
Nadhani wamepewa hayo masharti. Wanashindwa ongelea kupanda kwa gharama za maisha, tatizo la ajira, ufisadi na matumiz mabya ya pesa za umma. Wanashindana na marehem
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…