Nani aliwadanganya CHADEMA wamponde Hayati Magufuli majukwaani!!? Hili jambo litawanyima kura miaka elfu

Nani aliwadanganya CHADEMA wamponde Hayati Magufuli majukwaani!!? Hili jambo litawanyima kura miaka elfu

We MPUMBAVU na MJINGA nadhani ulitakiwa utozwe mpaka tozo ya makalio ndiyo akili ikufunguke.Unang'ang'ania watu kupigwa risasi unajua wangapi leo wamekufa kwa njaa, umeme kukatika wakiwa ICU, ajali kwa ubovu wa miundombinu? Au nao sio watu? Watu kama nyie mlipaswa mnyongwe kabisa
Mkuu msamehe bure huyu jamaa ni mwalimu wa shule ya msingi, ufukara na njaa vinawasumbua hawa watu. Mimi kwakweli hata ndugu akishakuwa mwalimu hua namfuta kwenye hesabu zangu. Tutafute pesa tupeleke watoto shule binafsi huku serikalini ndio wanakutana na maalimu ya aina ya hili jamaa wanaweza kuambukizwa ujinga.
 
Ila nyie Sukuma Gang Niwanafiki Sana.
Hivi Mnaweza kutuambia Ni Lini Magufuli Alipambana Na Mafisadi. Zaidi Yakukimbazana Na Viongozi Na Wafuasi wa Vyama Vya Upinzani.Magufuli Alikuwa Mwizi Kuliko Viongozi Wote Waliomtangulia.Wezi Wote Na Mafisadi Alikaa Nao Mezani Nakuchukua Pesa Zao Za Wizi Na Ufisadi Na Mambo Yakaisha.
Pesa Zenyewe Mpk Leo Hazijulikani Zimefanyia Nini Au Ziko Wapi!?.
 
Ukiwa na viongozi wanaowaza kutema nyongo basi utakuwa na viongozi wabovu sana katika kizazi hiki hawa chadema wangekuwa Mandela si wangeongea hadi siku wanaingia kaburini?
Ukiwa na kaliba ya mkombozi huwa unapotezea haraka sana yaliyokupata na kujenga dalaja la ukombozi
Kinachokuuma hapa nikuongelewa Magufuli Na Siyo Kwamba Unaipenda Chadema.
Kaa kwa Kutulia Sukuma Gang
 
Inawezekana kabisa kwamba magufuli alikuwa na madhaifu yake, na inaweza isiwe dhambi kumsema vibaya. Ila kwa watu wenye malengo ya kutafuta kura Kwa wananchi wa kawaida walipaswa kupotezea kabisa habari za magufuli.

Kuna baadhi ya mambo ambayo hata Magufuli angekuwepo naamini asingebadili chochote lakini alishawaaminisha watu Imani ambayo ni ngumu kufutika katika kizazi kilichowahi kuyaona na kuyasikia maamuzi yake.

Ukweli ni kwamba kumsema vibaya Magufuli ukiondoa kujipoza machungu na kuwapoza machungu wahanga wachache wa utawala wake hakuna tija yoyote linapohusika suala la kuongeza kura.

Magufuli mwenyewe alizoea kuwasema vibaya watangulizi wake lakini alitenda jambo lililowaaminisha watu kuwa inawezekana ni kweli watangulizi wake walikuwa na shida.

Unapomponda Magufuli huku vitu vinapanda bei, umeme unakatika hovyo rushwa na urasimu na mauzauza mengi serikalini unakua hujui unalotenda.

Licha ya matatizo ya Magufuli lakini sio uongo kwamba bado ana waumini wake wengi pengine kuliko kiongozi mwingine yeyote wa hivi karibuni hapa nchini. Hivyo hata kama unamchukia kwa kiwango gani Kwa ajili ya kulinda kura ni bora ukapitezea kabisa mada zinazomhusu.
Yaani shetan asisemwe kisa kura?
 
Mimi na familia yangu,wapangaji wangu,Majirani zangu na wote wanaokuja nyumbani kuchota Maji ni waumini wa kuu wa huyu Mzee,kuna vijana hapa mtaani kwangu wanatimu inaitwa JPM na ni team yenye Mashabiki wengi mtaani kwetu na inadhaminiwa na wazee wa jeshi walistaafu.
Ukiangalia aina ya watu wanaomkubali Jiwe ni watu wa hovyo hovyo sana, ndiyo maana hakuna mtu hata mmoja wa maana anayemkubali Jiwe, kama unabisha mtaje hata mmoja tu hapa nchini
 
Nadhani wamepewa hayo masharti. Wanashindwa ongelea kupanda kwa gharama za maisha, tatizo la ajira, ufisadi na matumiz mabya ya pesa za umma. Wanashindana na marehem
Wewe nini kinakushinda kuyasemea hayo? Au chadema ndiyo baba yako? Chadema hawahitaji kura za nyie Sukuma gang
 
Akilizao zipo tumboni,hawawezi kuelewa ulicho andika hapo.
Hata izokura wanazotafutaga nikwaajili ya matumboyao tu,sio kwaajili ya kutafuta nafasi ya kufanya mabadiliko.
Yani wanajitoa akili na kujifanya kama vile watu hawajui mazuri aliyokuwa anafanya Magufuli.
Huyo alikuwa ibilisi
 
Inawezekana kabisa kwamba magufuli alikuwa na madhaifu yake, na inaweza isiwe dhambi kumsema vibaya. Ila kwa watu wenye malengo ya kutafuta kura Kwa wananchi wa kawaida walipaswa kupotezea kabisa habari za magufuli.

Kuna baadhi ya mambo ambayo hata Magufuli angekuwepo naamini asingebadili chochote lakini alishawaaminisha watu Imani ambayo ni ngumu kufutika katika kizazi kilichowahi kuyaona na kuyasikia maamuzi yake.

Ukweli ni kwamba kumsema vibaya Magufuli ukiondoa kujipoza machungu na kuwapoza machungu wahanga wachache wa utawala wake hakuna tija yoyote linapohusika suala la kuongeza kura.

Magufuli mwenyewe alizoea kuwasema vibaya watangulizi wake lakini alitenda jambo lililowaaminisha watu kuwa inawezekana ni kweli watangulizi wake walikuwa na shida.

Unapomponda Magufuli huku vitu vinapanda bei, umeme unakatika hovyo rushwa na urasimu na mauzauza mengi serikalini unakua hujui unalotenda.

Licha ya matatizo ya Magufuli lakini sio uongo kwamba bado ana waumini wake wengi pengine kuliko kiongozi mwingine yeyote wa hivi karibuni hapa nchini. Hivyo hata kama unamchukia kwa kiwango gani Kwa ajili ya kulinda kura ni bora ukapitezea kabisa mada zinazomhusu.
Umeandika Magufuli alizoea kuwaponda watangulizi wake, halafu unazuia yeye kupondwa! Sasa hapo umeandika Nini? Kama aliwaponda watangulizi wake jibu tayari umelitoa, na yeye amipondwa ni sawa tu.
 
Hawa usiwatetee angesemaje Mandela aliyefungwa miaka 27 jela yet usingemsikia akisema vibaya juu ya serikali iliyomtesa hivyo.

Hawa wanachukua mateso waliyoteswa binafsi yawe mateso ya watanzania wote. Tukiwa na viongozi wa namna hii tutatengeneza kina magufuli wapya ila katika sura nyingne kiongozi lazima uwe na moyo mkubwa.
Uovu wa Jiwe uligusa Watanzania wengi, ndiyo maana kila sehemu anasemwa vibaya.
 
Umeandika Magufuli alizoea kuwaponda watangulizi wake, halafu unazuia yeye kupondwa! Sasa hapo umeandika Nini? Kama aliwaponda watangulizi wake jibu tayari umelitoa, na yeye amipondwa ni sawa tu.
Aliwaponda lakini alionyesha mambo ya tofauti yaani anasema walikuwa wanakata umeme makusudi na umeme ukaacha kukatika alisema yalikuwa madili ya kuuza majenereta na kweli tumeyaona tena
 
Ukiangalia aina ya watu wanaomkubali Jiwe ni watu wa hovyo hovyo sana, ndiyo maana hakuna mtu hata mmoja wa maana anayemkubali Jiwe, kama unabisha mtaje hata mmoja tu hapa nchini
Watu wa hovyo hovyo tupo wengi na tunamkubali JPM,wewe endelea kuwakubali unaowakubali wewe.
Usje shangaa ata wazazi wako nao wanamkubali huyo JPm na tuko nao kwenye HILI KUNDI LA WATU WA HOVYO SANA.
 
Ukiwa mwanasiasa Kisha ukaanza kuchikua matatizo binafsi na kuyafanya kuwa sehemu ya sera yako na kujaribu kuwashawishi watu wkuhurumie Kwa yaliyokupata hufai kuwa kiongozi nenda kwenye nyumba za huruma.
Sasa wakimpinga yule muuaji wewe unaumia wapi? Kwanini usiwape ushauri Act kutumia hiyo nafasi?
 
Watu wa hovyo hovyo tupo wengi na tunamkubali JPM,wewe endelea kuwakubali unaowakubali wewe.
Usje shangaa ata wazazi wako nao wanamkubali huyo JPm na tuko nao kwenye HILI KUNDI LA WATU WA HOVYO SANA.
Basi jua yawezekana Chadema hawataki kura za Sukuma gang
 
Back
Top Bottom