Unajua mtu kupondwa haimaanishi kwamba kweli yule mtu amekosea/hatendi ipasavyo.
Mfano mfanyakazi ''akimzibua''
mkeo usitegemee kama utamtazama vizuri hata kama kiutendaji atakuwa yupo sahihi.
Hiki ndicho anachopitia MAGUFULI.
Kwamba watu wamegeuza chuki zao binafsi na kutaka kuzifanya za kitaifa.
Mwingine ukimuuliza kwa nini Magufuli mbaya atadai alifukuza watu kazi, aliteka,aliua alizuia kufanya siasa.
Mbona hawasemi kipindi cha MKAPA mauaji kule Zanzibar? Au mauji ya kule Mtwara,Arusha na mwangosi.Au dr ULIMBOKA kipindi cha KIKWETE?
AU kuwekwa kizuizini kwa sheikh KASSIM na kuwekewa sumu.
Suala la vyeti feki alianza nalo KIKWETE(na alikuwa sahihi)ila Magufuli akaunga mkono,ila cha ajabu jumba bovu linamwangukia MAGUFULI.
Kwangu mimi Magufuli alikuwa sahihi 90% na msafi 95%