Nani aliwadanganya CHADEMA wamponde Hayati Magufuli majukwaani!!? Hili jambo litawanyima kura miaka elfu

Nani aliwadanganya CHADEMA wamponde Hayati Magufuli majukwaani!!? Hili jambo litawanyima kura miaka elfu

Unajua mtu kupondwa haimaanishi kwamba kweli yule mtu amekosea/hatendi ipasavyo.
Mfano mfanyakazi ''akimzibua''
mkeo usitegemee kama utamtazama vizuri hata kama kiutendaji atakuwa yupo sahihi.
Hiki ndicho anachopitia MAGUFULI.

Kwamba watu wamegeuza chuki zao binafsi na kutaka kuzifanya za kitaifa.


Mwingine ukimuuliza kwa nini Magufuli mbaya atadai alifukuza watu kazi, aliteka,aliua alizuia kufanya siasa.

Mbona hawasemi kipindi cha MKAPA mauaji kule Zanzibar? Au mauji ya kule Mtwara,Arusha na mwangosi.Au dr ULIMBOKA kipindi cha KIKWETE?

AU kuwekwa kizuizini kwa sheikh KASSIM na kuwekewa sumu.

Suala la vyeti feki alianza nalo KIKWETE(na alikuwa sahihi)ila Magufuli akaunga mkono,ila cha ajabu jumba bovu linamwangukia MAGUFULI.
Kwangu mimi Magufuli alikuwa sahihi 90% na msafi 95%
Hiyo ndiyo dunia yetu. Sasa hivi CHADEMA hawana raha hata kidogo wanatamani mbowe arudi jela wapande sehemu ya kupata publicity. Unakumbuka walikodisha wamama jobless Walokole wa Mwananyamala, wakaenda ubalozi wa EU kugaragara uchi eti mbowesiyogaidi? Halafu BAWACHA wakaenda na vichupi jogging Kimara Kibamba eti wakamatwe wajipatiemo wachumba kudai mbowesiyogaidi? Sasa hivi Mama kaziba hiyo mianya yote sasa wanageukia bodaboda na ugali kuwa ni vya wamaskini, mtu huru hutembelea benz na kula mtori na kisusio? Na tundulissu alivua nguo hazarani Ikungi ili aonyeshe majeraha matakoni? Nadhani sasa kitafuata cha Raila wa Kenya, fujo tupu.
 
Sasa kama mnayajua hayo kwa nini mnamponda!? Halafu huo uchaguzi mnaodai mmeibiwa hamkuweka mawakala?
Unatumia hata akili kidogo za kuazima?
Nini kilisababisha Akwilina kuuawa? Siyo kuzuiwa kwa mawakala wa CHADEMA?
Tumieni ubongo kureason siyo hivyo viungo
 
Lisu alipata kura 1800000s,Lowasa alipata 6000000s,.
Inamaani uchaguzi wa 2020 chadema ilipata kura chache ukilinganisha na 2015.
Na hii yote ni matunda ya kumtusi Magufuli, wananchi wakawakataa,msikwepe ukweli.
Kiungo unachotumia kureason kina walakini ni si ubongo maana ungekuwa na chembe ya akili. Kulikuwa kuna uchaguzi wa haki 2020?
Kuna uchaguzi wa kufanya reference hapo? Kumpenda muuaji muovu lazima uwe juha
 
Unatumia hata akili kidogo za kuazima?
Nini kilisababisha Akwilina kuuawa? Siyo kuzuiwa kwa mawakala wa CHADEMA?
Tumieni ubongo kureason siyo hivyo viungo
sukima gang ni wapumbavu na wengi wao ni nguruwe wanaweza kula hata mavi yao.
 
Kiungo unachotumia kureason kina walakini ni si ubongo maana ungekuwa na chembe ya akili. Kulikuwa kuna uchaguzi wa haki 2020?
Kuna uchaguzi wa kufanya reference hapo? Kumpenda muuaji muovu lazima uwe juha
Sio tu lazima uwe juha kumpenda muovu bali uwe nati zimelegea kama yalivyo mauvccm na sukuma gang.
 
Inawezekana kabisa kwamba magufuli alikuwa na madhaifu yake, na inaweza isiwe dhambi kumsema vibaya. Ila kwa watu wenye malengo ya kutafuta kura Kwa wananchi wa kawaida walipaswa kupotezea kabisa habari za magufuli.

Kuna baadhi ya mambo ambayo hata Magufuli angekuwepo naamini asingebadili chochote lakini alishawaaminisha watu Imani ambayo ni ngumu kufutika katika kizazi kilichowahi kuyaona na kuyasikia maamuzi yake.

Ukweli ni kwamba kumsema vibaya Magufuli ukiondoa kujipoza machungu na kuwapoza machungu wahanga wachache wa utawala wake hakuna tija yoyote linapohusika suala la kuongeza kura.

Magufuli mwenyewe alizoea kuwasema vibaya watangulizi wake lakini alitenda jambo lililowaaminisha watu kuwa inawezekana ni kweli watangulizi wake walikuwa na shida.

Unapomponda Magufuli huku vitu vinapanda bei, umeme unakatika hovyo rushwa na urasimu na mauzauza mengi serikalini unakua hujui unalotenda.

Licha ya matatizo ya Magufuli lakini sio uongo kwamba bado ana waumini wake wengi pengine kuliko kiongozi mwingine yeyote wa hivi karibuni hapa nchini. Hivyo hata kama unamchukia kwa kiwango gani Kwa ajili ya kulinda kura ni bora ukapitezea kabisa mada zinazomhusu.
CHADEMA kwa hili wanaenda chaka sana, adui wa maendeleo nchi hii ni CCM bila kujali na yuko pale juu, isitoshe Magufuli hayupo tena duniani, kuzungumza mabaya yake ni kupoteza time tu.

Kama wako serious wadili na mtu watakaye kutana nae kwenye sanduku la kura 2025, ila hawawezi na sababu ziko wazi.
 
Wanamponda yeye, au matendo aliyokuwa anafanya?

Wakimponda huwa wanasemaje?
Wanasahau yeye alikuwa Rais na Mwenyekiti wa chama, wanamtenga yeye na chama chake, wanachagua nani wakumpa lawama.

Na hapo ndio 'Mama' anaposhinda, ameondolewa zigo la lawama kana kwamba hakuwa sehemu ya uongozi wa Magu.
 
Wanasahau yeye alikuwa Rais na Mwenyekiti wa chama, wanamtenga yeye na chama chake, wanachagua nani wakumpa lawama.

Na hapo ndio 'Mama' anaposhinda, ameondolewa zigo la lawama kana kwamba hakuwa sehemu ya uongozi wa Magu.
Wao wenyewe hawaelewi wanatetea nini. Ndio maana huwa sipendi kujibizana nao sana
 
Kiungo unachotumia kureason kina walakini ni si ubongo maana ungekuwa na chembe ya akili. Kulikuwa kuna uchaguzi wa haki 2020?
Kuna uchaguzi wa kufanya reference hapo? Kumpenda muuaji muovu lazima uwe juha
Kabla uchaguzi 2020 kulikuwa na chaguzi zingine,2015, 2010, 2005, 2000 na 1995.
Unadhani ni uchaguzi upi hapo ulikuwa wa haki?
 
Unatumia hata akili kidogo za kuazima?
Nini kilisababisha Akwilina kuuawa? Siyo kuzuiwa kwa mawakala wa CHADEMA?
Tumieni ubongo kureason siyo hivyo viungo
Kwa hiyo AKWILINA(Mungu amlaze pema) aliuawa kipindi cha uchaguzi 2020!!?
 
Nahisi hawana mpango wa kwenda Ikulu wao wanataka ubunge na udiwani tu hata na hivyo kama uchaguzi utakuwa huru na haki wataangukia pua.
 
Hiyo ndiyo dunia yetu. Sasa hivi CHADEMA hawana raha hata kidogo wanatamani mbowe arudi jela wapande sehemu ya kupata publicity. Unakumbuka walikodisha wamama jobless Walokole wa Mwananyamala, wakaenda ubalozi wa EU kugaragara uchi eti mbowesiyogaidi? Halafu BAWACHA wakaenda na vichupi jogging Kimara Kibamba eti wakamatwe wajipatiemo wachumba kudai mbowesiyogaidi? Sasa hivi Mama kaziba hiyo mianya yote sasa wanageukia bodaboda na ugali kuwa ni vya wamaskini, mtu huru hutembelea benz na kula mtori na kisusio? Na tundulissu alivua nguo hazarani Ikungi ili aonyeshe majeraha matakoni? Nadhani sasa kitafuata cha Raila wa Kenya, fujo tupu.
Dah! unanikumbusha mkuu,mzee LOWASA aliwahasa anataka kuifanya chadema iachane na siasa za uhanaharakati ambazo zinajikita kwenye kudandia matukio na kutafuta huruma badala ya kujenga sera imara.
 
Inawezekana kabisa kwamba magufuli alikuwa na madhaifu yake, na inaweza isiwe dhambi kumsema vibaya. Ila kwa watu wenye malengo ya kutafuta kura Kwa wananchi wa kawaida walipaswa kupotezea kabisa habari za magufuli.

Kuna baadhi ya mambo ambayo hata Magufuli angekuwepo naamini asingebadili chochote lakini alishawaaminisha watu Imani ambayo ni ngumu kufutika katika kizazi kilichowahi kuyaona na kuyasikia maamuzi yake.

Ukweli ni kwamba kumsema vibaya Magufuli ukiondoa kujipoza machungu na kuwapoza machungu wahanga wachache wa utawala wake hakuna tija yoyote linapohusika suala la kuongeza kura.

Magufuli mwenyewe alizoea kuwasema vibaya watangulizi wake lakini alitenda jambo lililowaaminisha watu kuwa inawezekana ni kweli watangulizi wake walikuwa na shida.

Unapomponda Magufuli huku vitu vinapanda bei, umeme unakatika hovyo rushwa na urasimu na mauzauza mengi serikalini unakua hujui unalotenda.

Licha ya matatizo ya Magufuli lakini sio uongo kwamba bado ana waumini wake wengi pengine kuliko kiongozi mwingine yeyote wa hivi karibuni hapa nchini. Hivyo hata kama unamchukia kwa kiwango gani Kwa ajili ya kulinda kura ni bora ukapitezea kabisa mada zinazomhusu.
Wapenzi Magufuli hata asilimia 5 hawafiki jamaa aliumiza watu wengi isipokuwa wachache wasijielewa
 
Mie sijawahi kuwaelewa hao watu wa JPM wasimpompa kura Chadema ndio watampa Samia ambaye ndio anamng'onga JPM Kila kukicha!!?

Tatizo sukuma gang hawana option wakimpigia Samia Yale Yale wakimpigia Chadema Yale Yale wote hawaivi na JPM. So hoja Yako ingekua mashiko kama kungekua na chama Cha tatu ambacho ni loyalists wa JPM but since hakipo then hakuna kura ya Chadema itapotea labda tu watu wa JPM hawatopiga kura ndio madhara pekee nayoona.
Na hao wa Jpm ni chache sana wasiojielewa
 
Kabla uchaguzi 2020 kulikuwa na chaguzi zingine,2015, 2010, 2005, 2000 na 1995.
Unadhani ni uchaguzi upi hapo ulikuwa wa haki?
Kama siyo pumbavu utajua chaguzi zote hizo hazikuwa za haki, kama hakuna tume huru ya kusimamia chaguzi hizo haki itoke wapi?
Nini kilichosababisha wakimbizi wa kipemba Mombasa?

Tatizo mnajua kweli ila mioyo yenu ni miovu kiasi cha kutaka kupindisha na kupotosha kweli
 
Kwa hiyo AKWILINA(Mungu amlaze pema) aliuawa kipindi cha uchaguzi 2020!!?
Tumia akili usiwe juha, baada ya shetani Magufuli kununua wabunge na kwenye harakati za chaguzi ya marudio kinondoni, hiyo ni kuonyesha jinsi ambavyo kulikuwa hakuna haki ya kuweka mawakala wa vyama vya upinzani hususan CHADEMA.
Hata waliomuua Akwilina wako nje wanakula maisha raisi aliyeapa kuwalindaraia wake anawaua kwa sababu mbovu na wajinga mnamsapoti hamjali
 
Kwamba wasiojulikana hawapi tena huku qatu wakichomwa moto mchana kweupe
Tupe orodha ya watu wanaochomwa moto mchana kweupe ili tukupe orodha ya waliouawa na shetani Magufuli.
Pia kama mnahisi kuna uovu wa kutisha awamu hii kuzidi awamu ya shetani Magufuli inabidi mkemee na mpaze Sauti siyo kuzuia watu hususan walioadhirika na uovu wa Magufuli wasiseme
 
Siyo kweli,mkubali tu kwamba Magufuli alikuwa raisi kipenzi cha watanzania na ndio maana mkazabwa 2020
Alikuwa kipenzi cha wapumbavu watupu, kwa nini auwe, akamate wagombea wa upinzani na kuwafungulia kesi mbaya kama alikuwa kipenzi cha watanzania? Kwa hakutaka kuweka mazingira sawa kwenye uchaguzi?
 
Back
Top Bottom