Wapinzani waliumizwa sana na JPM so ni haki Yao wakionyesha uchungu wao jukwaani. In fact walimkosoa sana akiwa hai why waache Sasa hivi? Hata kipindi Cha JPM nakumbuka JK alitukanwa sana majukwaani na CCM na JPM ila sikuona mkimtetea!!
Inashindana na CCM ndio maana kwenye mikutano wanaongelea gharama za maisha, mgao wa umeme, mfumuko wa bei, ufisadi n.k sema tu walimkosoa JPM hapa na pale basi inabebewa bango kubwa as if ndio ilikua ajenda kuu.
Kwanza sukuma gang sio wasukuma Bali ni supporters wa JPM hata Ndugai na Bashiru ni sukuma gang!!
2. Hoja hapa ni kwamba the more JPM anakosolewa na Chadema the more kura zinaporomoka. Ndio nikasema Sasa team JPM wasipompigia Chadema ndio watampigia Samia ambaye naye humkosoa JPM Kila kukicha!! Juzi mkutano wa Chadema kasema Never and Never again kurudi kwenye ukatili!!! Sasa team JPM watampigia nani hapo kura.
So kwa analysis yangu nimesema team JPM hawatopiga kura kabisa so Chadema na Samia watapambania hizo kura chache zitakazopigwa so mpaka hapo sukuma gang hawana faida yoyote kwenye uchaguzi wa 2025 unless wangekua na chama Cha siasa ndio tungesema wata take advantage.
NB: Chadema haturidhishwi na utawala wa CCM ndio maana tunataka katiba mpya Ili tuwang'oe CCM tuchukue Dola 2025. Ila kwa sukuma gang hawana option maana wakichague yeyote kati Yao bado JPM atapigwa za uso tu.