Nani aliwadanganya CHADEMA wamponde Hayati Magufuli majukwaani!!? Hili jambo litawanyima kura miaka elfu

Nani aliwadanganya CHADEMA wamponde Hayati Magufuli majukwaani!!? Hili jambo litawanyima kura miaka elfu

Kipindupindu kiliua sana watu hapa tanzania hadi jpm alipo shika nchi ...pia aldino waliuliwa sana hapa tz hadi jpm alipo shika nchi ...sasa tuambie hao awakuwa watu ....pia majambazi yaliua sana hapa tanzania hadi alipo shika nchi jpm .....sasa kwenu watu ni wahuni tu wanao tumikia mabeberu na chanjo zao feki za kovidi
Waama nazidi kuamini lazima uwe zaidi ya upumbavu ili kutetea upumbavu. Kwamba Magufuli alikuta kipindupindu akakifuta?🤣🤣🤣.
Alizuia mauaji ya albino? Na majambazi?
Ukisikia pumbavu lolote hoja ya kwanza ni mabeberu, hebu nitoufautishie kati ya beberu na washirika wa maendeleo, hapo nitajua kiwango chako cha ujuha
 
Saa 100 moja ni [emoji90] kama [emoji90] tu hakuna mpumbavu wakumpa kura hata yeye ana jua vizuri ....kitu pekee ambacho anategemea yeye na wahuni wenzie wa msoga ni kujaribu kutumia nguvu za dola kubaki madarakani kwa sababu wana hofu ya kifo cha JPM
Hayo ni mawazo ya sukumagang ya kujiliwaza. Hapo ndipo CCM mlipofika mnapasuana wenyewe na mnataka kuiingiza na CHADEMA, uaneni wenyewe CCM wajaa laana. Damu mlizomwaga za watanzania imetosha
 
Unajua mtu kupondwa haimaanishi kwamba kweli yule mtu amekosea/hatendi ipasavyo.
Mfano mfanyakazi ''akimzibua''
mkeo usitegemee kama utamtazama vizuri hata kama kiutendaji atakuwa yupo sahihi.
Hiki ndicho anachopitia MAGUFULI.

Kwamba watu wamegeuza chuki zao binafsi na kutaka kuzifanya za kitaifa.


Mwingine ukimuuliza kwa nini Magufuli mbaya atadai alifukuza watu kazi, aliteka,aliua alizuia kufanya siasa.

Mbona hawasemi kipindi cha MKAPA mauaji kule Zanzibar? Au mauji ya kule Mtwara,Arusha na mwangosi.Au dr ULIMBOKA kipindi cha KIKWETE?

AU kuwekwa kizuizini kwa sheikh KASSIM na kuwekewa sumu.

Suala la vyeti feki alianza nalo KIKWETE(na alikuwa sahihi)ila Magufuli akaunga mkono,ila cha ajabu jumba bovu linamwangukia MAGUFULI.
Kwangu mimi Magufuli alikuwa sahihi 90% na msafi 95%
Unajaribu kutumia nguvu kubwa na uongo ili kumtetea Magufuli
Si kweli Magufuli aliwaua wapinzani wake hata ndani ya CCM kama Simon Kangoye wa Kigoma?
Si kweli Magufuli alizuia mikutano ya siasa kinyume na katiba na kabla yake ni nani alifanya hivi?
Hakununua wapinzani ili waende wakaunge mkono juhudi?
Hakuwashambulia kwa risasi hata kusababisha mauaji ya Akwilina?
Hakuminya uhuru wa kujieleza kwa mujibu wa katiba?
Hakukuwa na wasiojulikana waliokuwa wanateka na kuua watu? Wako wapi sasa?
 
Hiyo ndiyo dunia yetu. Sasa hivi CHADEMA hawana raha hata kidogo wanatamani mbowe arudi jela wapande sehemu ya kupata publicity. Unakumbuka walikodisha wamama jobless Walokole wa Mwananyamala, wakaenda ubalozi wa EU kugaragara uchi eti mbowesiyogaidi? Halafu BAWACHA wakaenda na vichupi jogging Kimara Kibamba eti wakamatwe wajipatiemo wachumba kudai mbowesiyogaidi? Sasa hivi Mama kaziba hiyo mianya yote sasa wanageukia bodaboda na ugali kuwa ni vya wamaskini, mtu huru hutembelea benz na kula mtori na kisusio? Na tundulissu alivua nguo hazarani Ikungi ili aonyeshe majeraha matakoni? Nadhani sasa kitafuata cha Raila wa Kenya, fujo tupu.
Hujatumia akili bali kuna kiungo kingine nakushauri rudisha ubongo wako
 
Mbona mama anajitenga nae au dk Samia pia CHADEMA?
Wanasahau yeye alikuwa Rais na Mwenyekiti wa chama, wanamtenga yeye na chama chake, wanachagua nani wakumpa lawama.

Na hapo ndio 'Mama' anaposhinda, ameondolewa zigo la lawama kana kwamba hakuwa sehemu ya uongozi wa Magu.
 
Nahisi hawana mpango wa kwenda Ikulu wao wanataka ubunge na udiwani tu hata na hivyo kama uchaguzi utakuwa huru na haki wataangukia pua.
Kama uchaguzi upi uliokuwa huru na haki walioangukia pua?
Unajua kutetea upumbavu lazima uwe mpumbavu kuliko upumbavu wenyewe
 
Inawezekana kabisa kwamba magufuli alikuwa na madhaifu yake, na inaweza isiwe dhambi kumsema vibaya. Ila kwa watu wenye malengo ya kutafuta kura Kwa wananchi wa kawaida walipaswa kupotezea kabisa habari za magufuli.

Kuna baadhi ya mambo ambayo hata Magufuli angekuwepo naamini asingebadili chochote lakini alishawaaminisha watu Imani ambayo ni ngumu kufutika katika kizazi kilichowahi kuyaona na kuyasikia maamuzi yake.

Ukweli ni kwamba kumsema vibaya Magufuli ukiondoa kujipoza machungu na kuwapoza machungu wahanga wachache wa utawala wake hakuna tija yoyote linapohusika suala la kuongeza kura.

Magufuli mwenyewe alizoea kuwasema vibaya watangulizi wake lakini alitenda jambo lililowaaminisha watu kuwa inawezekana ni kweli watangulizi wake walikuwa na shida.

Unapomponda Magufuli huku vitu vinapanda bei, umeme unakatika hovyo rushwa na urasimu na mauzauza mengi serikalini unakua hujui unalotenda.

Licha ya matatizo ya Magufuli lakini sio uongo kwamba bado ana waumini wake wengi pengine kuliko kiongozi mwingine yeyote wa hivi karibuni hapa nchini. Hivyo hata kama unamchukia kwa kiwango gani Kwa ajili ya kulinda kura ni bora ukapitezea kabisa mada zinazomhusu.
Basi acha kulalama, wanaomponda waendelee kumponda kama njia ya kutema nyongo na kuwafungua macho waliokuwa brainwashed kuhusu ukweli wa utawala/udhalimu wake.
Kama kweli anakubalika na wengi time will tell, Sukuma gang walianzisha mikwara eti watakaomponda ndiyo itakuwa anguko lao kisiasa(walikuwa wakiogopa udhalimu wake usiwekwe hadharani) sasa watu wameamua kumponda na tuone kama litakuwa anguko lao kisiasa.
Wengine wana machungu yasiyosimulika, acha tu watoe machungu yao kwa namna yoyote alimradi hawavunji sheria za nchi.
Screenshot_20230316-012242.jpg
 
Inawezekana kabisa kwamba magufuli alikuwa na madhaifu yake, na inaweza isiwe dhambi kumsema vibaya. Ila kwa watu wenye malengo ya kutafuta kura Kwa wananchi wa kawaida walipaswa kupotezea kabisa habari za magufuli.

Kuna baadhi ya mambo ambayo hata Magufuli angekuwepo naamini asingebadili chochote lakini alishawaaminisha watu Imani ambayo ni ngumu kufutika katika kizazi kilichowahi kuyaona na kuyasikia maamuzi yake.

Ukweli ni kwamba kumsema vibaya Magufuli ukiondoa kujipoza machungu na kuwapoza machungu wahanga wachache wa utawala wake hakuna tija yoyote linapohusika suala la kuongeza kura.

Magufuli mwenyewe alizoea kuwasema vibaya watangulizi wake lakini alitenda jambo lililowaaminisha watu kuwa inawezekana ni kweli watangulizi wake walikuwa na shida.

Unapomponda Magufuli huku vitu vinapanda bei, umeme unakatika hovyo rushwa na urasimu na mauzauza mengi serikalini unakua hujui unalotenda.

Licha ya matatizo ya Magufuli lakini sio uongo kwamba bado ana waumini wake wengi pengine kuliko kiongozi mwingine yeyote wa hivi karibuni hapa nchini. Hivyo hata kama unamchukia kwa kiwango gani Kwa ajili ya kulinda kura ni bora ukapitezea kabisa mada zinazomhusu.
Kwa haya aliyotenda lazima apingwe hadharani.
 
Tupe orodha ya watu wanaochomwa moto mchana kweupe ili tukupe orodha ya waliouawa na shetani Magufuli.
Pia kama mnahisi kuna uovu wa kutisha awamu hii kuzidi awamu ya shetani Magufuli inabidi mkemee na mpaze Sauti siyo kuzuia watu hususan walioadhirika na uovu wa Magufuli wasiseme
Acha upumbavu hukusikia yule mfanyakaxi was benki aliechomwa moto?
 
Waama nazidi kuamini lazima uwe zaidi ya upumbavu ili kutetea upumbavu. Kwamba Magufuli alikuta kipindupindu akakifuta?[emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Alizuia mauaji ya albino? Na majambazi?
Ukisikia pumbavu lolote hoja ya kwanza ni mabeberu, hebu nitoufautishie kati ya beberu na washirika wa maendeleo, hapo nitajua kiwango chako cha ujuha
Kumbe nabishana na mafii ya msoga the pusha ...chegovara
 
Waama nazidi kuamini lazima uwe zaidi ya upumbavu ili kutetea upumbavu. Kwamba Magufuli alikuta kipindupindu akakifuta?🤣🤣🤣.
Alizuia mauaji ya albino? Na majambazi?
Ukisikia pumbavu lolote hoja ya kwanza ni mabeberu, hebu nitoufautishie kati ya beberu na washirika wa maendeleo, hapo nitajua kiwango chako cha ujuha
Kwani uwongo hebu unipe idadi ya albino waliouawa kipindi chake taja pia takwimu za wagonjwa wa kipindupindu siku zake ukilinganisha na zama za mtangulizi wake?
 
Alikuwa kipenzi cha wapumbavu watupu, kwa nini auwe, akamate wagombea wa upinzani na kuwafungulia kesi mbaya kama alikuwa kipenzi cha watanzania? Kwa hakutaka kuweka mazingira sawa kwenye uchaguzi?
Hizo ni hali za kawaida kwenye chaguzi hata Mbowe hajawahi kuweka mazingira sawa kwenye uchaguzi wa mwenykiti chadema.
 
Basi acha kulalama, wanaomponda waendelee kumponda kama njia ya kutema nyongo na kuwafungua macho waliokuwa brainwashed kuhusu ukweli wa utawala/udhalimu wake.
Kama kweli anakubalika na wengi time will tell, Sukuma gang walianzisha mikwara eti watakaomponda ndiyo itakuwa anguko lao kisiasa(walikuwa wakiogopa udhalimu wake usiwekwe hadharani) sasa watu wameamua kumponda na tuone kama litakuwa anguko lao kisiasa.
Wengine wana machungu yasiyosimulika, acha tu watoe machungu yao kwa namna yoyote alimradi hawavunji sheria za nchi.View attachment 2553800
Ukiwa mwanasiasa Kisha ukaanza kuchikua matatizo binafsi na kuyafanya kuwa sehemu ya sera yako na kujaribu kuwashawishi watu wkuhurumie Kwa yaliyokupata hufai kuwa kiongozi nenda kwenye nyumba za huruma.
 
Nyie wapumbv na wajinga huyo mjinga Mapombe aliharibu nchi akaua watu ,akapiga risasi so mlikuwa hamuoni wajinga nyie huyo Jamaa yenu
Wewe mwalimu mtu masikini, kundi maalumu la mafukara, kundi lenye watu wenye stress kuliko kundi lolote lile. Nyinyi ndio manamba wa CCM wewe na kizazi chako mmekwisha laaniwa nyinyi ndio mnawaweka CCM madarakani mpaka leo, hamkubaliki duniani na mbinguni she.nzy nyinyi watumwa wa CCM.
 
Back
Top Bottom