Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Vipi kama system ndio imemtonya asepe?Taarifa za uhakika ni kwamba Kakimbia nchini baada ya kuambiwa kuwa angeweza Kukamatwa hasa baada ya baadhi ya Waumini waliokuwa Wakisali pale Kwake kulalamika kuwa Wametapeliwa nae sana huku Wengine wakitaka Kumshtaki kwa kusababisha Ndoa zao Kuvunjika na Familia zao kuwa katika Uadui na Chuki kubwa kutokana na Mahubiri yake ya Chuki na Fitina.
Na GENTAMYCINE nauliza kwanini System ya nchi haraka sana haikuamua Kumchunga ili asikimbie kama alivyofanya?
Watu waache dhambu waishi kwa amani.Kuna watu wanapitia matatizo kwa muda mrefu, wanehangaika kule na kule bado kufanikiwa,
Wanaambiwa jamaa pale anasaidia ukifika anataka Hela chungu nzima ni rahisi kishawishika hata kwa kucha ha ndugu au kukopa umpe upone.
NADILIKI KUSEMA ADHARANI KUWA WAKRISTO HAWANA AKILI KABISA YAANI NI WAPUMBAVU HASWA ....NDIYO MAANA WANAWAFUATA MITUME FEKI KINA KAKOBE MWAMPOSA GAMANYWA NK NA INJILI ZAO FEKI ZA SHETANI MWENYE NAFSI TATU.Taarifa za uhakika ni kwamba Kakimbia nchini baada ya kuambiwa kuwa angeweza Kukamatwa hasa baada ya baadhi ya Waumini waliokuwa Wakisali pale Kwake kulalamika kuwa Wametapeliwa nae sana huku Wengine wakitaka Kumshtaki kwa kusababisha Ndoa zao Kuvunjika na Familia zao kuwa katika Uadui na Chuki kubwa kutokana na Mahubiri yake ya Chuki na Fitina.
Na GENTAMYCINE nauliza kwanini System ya nchi haraka sana haikuamua Kumchunga ili asikimbie kama alivyofanya?
.wala hatumii uchawi ni ujanja tu. Anakutana na mtu amejaza gunia la maovu na dhambi kibao zimemu-elemea sasa anatafuta kutua mzigo.Halafu nazani alikuwa na Viini macho au Maji ni ya utambuzi.
Ukiwa na Hela anajua na dau lako litakuwa milioni na kuendelea na utaenda kuziketa mwenyewe.
Ukifika anakuchomoa kitu au vitu mwilini kama jiwe , hirizi n.k
Kisha anakwambia bado vimebaki 2-3 au kdhaaa tena vya hatari zaidi mwilini kwa hiyo kalete shilingi kadhaa milioni uje tumalizie kuvitoa.
Yaani hii ni kweli na live jinsi alivyokuwa akifanyia watu.
Gamanywa sijawahi kumwelewa. Hata anavyofundisha ni kama yeye mwenyewe hajua na anababaisha sana. Ila sasa wafuasi wake huwambii kitu. Yeye na Mzee wa Malango na Mzaliwa wa kwanza ni Bla bla tupu.NADILIKI KUSEMA ADHARANI KUWA WAKRISTO HAWANA AKILI KABISA YAANI NI WAPUMBAVU HASWA ....NDIYO MAANA WANAWAFUATA MITUME FEKI KINA KAKOBE MWAMPOSA GAMANYWA NK NA INJILI ZAO FEKI ZA SHETANI MWENYE NAFSI TATU.
Mkuu ongeza laki 3.5,utarejeshewa laki 5 yako na kiboko ya wachawi mwenyewe k.Dah laki tano yangu😭😭😭😭😭😭
Hilo nalo nimelihisi pia.Vipi kama system ndio imemtonya asepe?
HIYO NI DALILI MOJAWAPO YA KUANZA KUWA NA AKILI.Kwa hali hii, bora kuwa mpagani tu
Kabiiiiiiiiiisa
Hahahahaha Tz ni Shamba la Bibi.Hakuna nchi yenye wapmbv kama tz
Ova
Ndivyo wanavyofanya hao wakongoman.Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam ila kimsingi jamaa bado yupo Tanzania amejificha tu .
Mali zake aliandikisha kwa mke wake maana yeye ni mapare mtanzania
USSR
Kwenye list ya wapumbavu kiongozi wao ni The Mongolian Savage na genge lakeWatanzania ni wapumbavu sana acha wapigwe
Dogo tangu umalize kufanya mtihani unaniandama kichiz. Sasa ngoja na mimi niende mapumziko hivi karibuni patachimbika.Kwenye list ya wapumbavu kiongozi wao ni The Mongolian Savage na genge lake