Nani aliyemwambia 'Kiboko ya Wachawi' akimbie Nchini baada ya Kanisa lake la Kitapeli Buza Kufungiwa?

Nani aliyemwambia 'Kiboko ya Wachawi' akimbie Nchini baada ya Kanisa lake la Kitapeli Buza Kufungiwa?

Dah sema maisha haya, Hii ishu ya kiboko ya wachawi inanikumbusha mambo mengi sana nakumbuka kipindi forex ndio ipo on fire mwaka 2017,2018,2019 nilipataga kazi kwa bwana mmoja anaitwa Fransisco Magnetics pale makumbusho Tanzanite tower floor number 6. Nikawa manager na baada ya mwezi mmoja tu akasema yeye anaenda likizo kumbe ndio anasepa na hela za watu waliowekeza, Nikabananishwa kumbe ana transaction ya zaidi ya 1B yaani mpaka leo hajawahi kukamatwa na bado anaonekana mitandaoni. Kilichonisaidia baadhi ya mali zake hasa furniture ziliuzwa ili mimi kutoka chini ya mikono ya polisi. Mungu aendelee kuwalaani wote wanaotafuta pesa kwa kudhulumu watu
 
waumini wangenyongwaaa maana bado wana sumu ya mahubiri yahuyu mshenzi wanaweza kusambaza makanisa mengine tukatengenezq jehanum ya ajabu Tanzania daaa kuwaflash tu
 
Hakuna nchi yenye wapmbv kama tz

Ova
Hapana Mrangi. Kuna Zambia. Kuna mabasi mengi mno yanatoka Zambia kwenda Kampala kwa Nabii Kakande kupatiwa miujiza. Mabasi yanapita boda ndogo ya Kasesya kisha Sumbawanga kuitafuta Kampala. Huyo Kakande ni nabii feki promax ila anavuna kwacha.
 
Biashara ya utumwa ililetwa na nani?
Ndo maana nilisisitiza sana usiongelee Uislamu wanaokuambia wazungu. Utumwa ulikuwepo toka enzi na enzi kabla ya Muhammad na hata kabla ya Yesu.

Kanisa lilihusika moja kwa moja katika biashara ya utumwa lakini abadan Msikiti haukuhusika! Isipokuwa baadhi ya waarabu walihusika katika biashara hii. Ni muhimu kufahamu, muarabu sio uislamu! Nenda Zanzibar pale kwenye kanisa la mkunazini utaona mpaka sehemu iliyotumika kuweka watumwa, ndani ya kanisa.
 
Hizo dini nyingi za kileo zinabrainwash mind za watu na kuzidisha umaskini.

Sio kila aliyesoma maandiko matakatifu na akayayaelewa anavyojua yeye akapewa kibali cha kumiliki fikra za watu.

Ni vizuri utaratibu Mpya wa Usajili wa Nyumba za Ibadan zilizo Mpya ukapitiwa na kitengo maalumu cha Wabobezi wa Dini na Usalama ili kuepusha utapeli wa kifikra.

Hata hivyo mamlaka husika zianze uchunguzi wa vyakula,vinywaji,mafuta na chochote kinachotumika kwenye nyumba za Ibada hasa hizi za kisasa.
 
Taarifa za uhakika ni kwamba Kakimbia nchini baada ya kuambiwa kuwa angeweza Kukamatwa hasa baada ya baadhi ya Waumini waliokuwa Wakisali pale Kwake kulalamika kuwa Wametapeliwa nae sana huku Wengine wakitaka Kumshtaki kwa kusababisha Ndoa zao Kuvunjika na Familia zao kuwa katika Uadui na Chuki kubwa kutokana na Mahubiri yake ya Chuki na Fitina.

Na GENTAMYCINE nauliza kwanini System ya nchi haraka sana haikuamua Kumchunga ili asikimbie kama alivyofanya?

Namsikiliza Mkewe Youtube aiseee ni kweli Kiboko ya Wachawi amekimbia Nchi....Mkewe anamuomba Mama samia amruhusu mme wake arudi.

Naomba huyo Tapeli asiruhusiwe kurudi na kufanya utapeli.
 
Hakuna utapeli wa kila siku na kwa watu walewale wasigutuke: ?! Ni uonevu tu au kijicho cha wenzake walio karibu na CCM kama Mwamposa, Davie......sijui wa Arusha huko nk
 
Yupo ,akimbie aende wapi ,kwakipindi hiki siamini ccm wafanye ujinga huo wakiaamini katika kura
 
Hakuna utapeli wa kila siku na kwa watu walewale wasigutuke: ?! Ni uonevu tu au kijicho cha wenzake walio karibu na CCM kama Mwamposa, Davie......sijui wa Arusha huko nk

Kwani Mwamposa anafufua wafu? Mwamposa anatoa ramli chonganishi za kugombanisha ndugu? Kiboko kilichomponza ni ACTING za kitoto alizokuwa anafanya kuwarubuni watu ili aendelee kuwaibia.
 
Namsikiliza Mkewe Youtube aiseee ni kweli Kiboko ya Wachawi amekimbia Nchi....Mkewe anamuomba Mama samia amruhusu mme wake arudi.

Naomba huyo Tapeli asiruhusiwe kurudi na kufanya utapeli.
Arudi kuja kuendeleza utapeli wake....washaona huku kuna wpmbv wengi na walikuwa wanajipigia tu
Mwambie ahamie kwa kagame sasa

Ova
 
Taarifa za uhakika ni kwamba Kakimbia nchini baada ya kuambiwa kuwa angeweza Kukamatwa hasa baada ya baadhi ya Waumini waliokuwa Wakisali pale Kwake kulalamika kuwa Wametapeliwa nae sana huku Wengine wakitaka Kumshtaki kwa kusababisha Ndoa zao Kuvunjika na Familia zao kuwa katika Uadui na Chuki kubwa kutokana na Mahubiri yake ya Chuki na Fitina.

Na GENTAMYCINE nauliza kwanini System ya nchi haraka sana haikuamua Kumchunga ili asikimbie kama alivyofanya?
Genta mkeo hakuathirika na kanisa hili?
 
Halafu nazani alikuwa na Viini macho au Maji ni ya utambuzi au nguvu ya Unabii.
Ukiwa na Hela anajua na dau lako litakuwa milioni na kuendelea na utaenda kuziketa mwenyewe.

Ukifika anakuchomoa kitu au vitu mwilini kama jiwe , hirizi n.k
Kisha anakwambia bado vimebaki 2-3 au kdhaaa tena vya hatari zaidi mwilini kwa hiyo kalete shilingi kadhaa milioni uje tumalizie kuvitoa.
Yaani hii ni kweli na live jinsi alivyokuwa akifanyia watu.
Wa ufupi manabii feki sikuhizi hawana tofauti wa waganga ..wanapita mule mule na wanataja jina la Yesu/Mungu kama geresha tu lakini most of them ni washirikina na uchawini wanaenda kupata miujiza na mazingaombwe wanafanya ili kuwavutia watu..ndio uchawi upo lakini mbona miaka ya nyuma kidogo hawakuwa na hayo maruweruwe?kutapisha watu hadi vyura jamani seriously?
 
NADILIKI KUSEMA ADHARANI KUWA WAKRISTO HAWANA AKILI KABISA YAANI NI WAPUMBAVU HASWA ....NDIYO MAANA WANAWAFUATA MITUME FEKI KINA KAKOBE MWAMPOSA GAMANYWA NK NA INJILI ZAO FEKI ZA SHETANI MWENYE NAFSI TATU.
Usijidanganye ndugu,huko hujaa waislamu zaidi [hasa wanawake] kuliko wakristo,fuatilia hata mikesha yao,utajiridhisha mwenyewe.
 
Biashara ya utumwa ililetwa na nani?

waumini wangenyongwaaa maana bado wana sumu ya mahubiri yahuyu mshenzi wanaweza kusambaza makanisa mengine tukatengenezq jehanum ya ajabu Tanzania daaa kuwaflash tu
_
Ndo maana nilisisitiza sana usiongelee Uislamu wanaokuambia wazungu. Utumwa ulikuwepo toka enzi na enzi kabla ya Muhammad na hata kabla ya Yesu.

Kanisa lilihusika moja kwa moja katika biashara ya utumwa lakini abadan Msikiti haukuhusika! Isipokuwa baadhi ya waarabu walihusika katika biashara hii. Ni muhimu kufahamu, muarabu sio uislamu! Nenda Zanzibar pale kwenye kanisa la mkunazini utaona mpaka sehemu iliyotumika kuweka watumwa, ndani ya kanisa.
 

Attachments

Back
Top Bottom