Nani aliyesema mafisadi wanaweza kutaka kiongozi mwenye kuwadhibiti? Kati yao, nani atake tena kiongozi kama Magufuli?

Kwani nimekuuliza ulikoiba?

Unaanza kujishtukia hata hujaulizwa!
Umeuliza uchache wa vitu vyangu nami nikasema kwa ufupi tu kuwa, madamu sivipati kwa dhuluma, najidai navyo na ninaamani ya moyo

Kwako wewe ambaye hujaamua kuishi kwa haki, Tengeneza maisha yako na uanze kuamini kuwa, vyakwako ni bora na nivingi na vyenye baraka kuliko vya dhuluma

Maisha menyewe mafupi, leo upo kesho hupo, lipa halali zote za kaisali ili usipate tabu tabu tena aingiapo kiongozi kama JPM
 
politics is all about interests πŸ’

what is your interest in political leadership?

was Pres. JK.Nyerere, H.Mwinyi, Ben Mkapa, JM.Kikwete and JPM political interests the same to incumbent SSH interestes?
 
politics is all about interests πŸ’

what is your interest in political leadership?

was Pres. JK.Nyerere, H.Mwinyi, Ben Mkapa, JM.Kikwete and JPM political interests the same to incumbent SSH interestes?
What word did you want to add, sir, I don't understand you very well, sir, the Queen's language is a proble
 

Pole
 
Rip shujaa
 
We poyoyo kamfuate huyo mfu wako aliyeharibu nchi yetu. We ni zumbuku usiyeelewa chochote. Unajua ni mafisadi wangapi aliwatengeneza kipindi chake? Lile.lilikuwa fisadi haswa sema aliweza kuwapumbaza majinga km wewe.
 
We poyoyo kamfuate huyo mfu wako aliyeharibu nchi yetu. We ni zumbuku usiyeelewa chochote. Unajua ni mafisadi wangapi aliwatengeneza kipindi chake? Lile.lilikuwa fisadi haswa sema aliweza kuwapumbaza majinga km wewe.
Peleka ujinga wako huko ,nyie vilaza ndio mnaturudisha nyuma sana
 
Hi
HUyo bwege hawezi kukutajia hata barabara moja. Aliyejenga barabara nchi hii ni JK Magu akiwa kiranja tu wa kusimamia.
 
We poyoyo kamfuate huyo mfu wako aliyeharibu nchi yetu. We ni zumbuku usiyeelewa chochote. Unajua ni mafisadi wangapi aliwatengeneza kipindi chake? Lile.lilikuwa fisadi haswa sema aliweza kuwapumbaza majinga km wewe.
Asiyekujua nani weye?

Ishi kwa haki
 
politics is all about interests πŸ’

what is your interest in political leadership?

was Pres. JK.Nyerere, H.Mwinyi, Ben Mkapa, JM.Kikwete and JPM political interests the same to incumbent SSH interestes?
What is their interest? Kila mmoja,wao alikuwa na interests tofauti.

Unamuweka Kilaza kwenye umeme miaka mitatu, unafukuza machinga, unachoma masoko, unaruhusu mfumuko wa bei, miradi ya kimkakati kusuasua.

SSH interests zake kwa Wantanzania ni zipi?
 
sasa si ndivyo siasa ilivyo kila moja anakua na kipaumbele chake πŸ’

kufanikiwa au kafeli kwenye hizo interestes , hilo linabaki kwenye mtazamo na maoni yako ndrugo mchambuzi πŸ’

🀣 sasa interests za Dr.SSH unaniuliza mimi tena...

wait next yr utaona interestes za DR SSH dhahiri shahiri ...
na for sure utafurahi na hivi vilio vya umeme sijui garama za maisha zitakua kimya bila tashwishwi yeyote πŸ’
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…