Mwafrika kwenda Ulaya kwa mabwana wakubwa zake ni sifa kubwa.Wakati wakipita juu ya mto wakiwa kwenye boti kila mmoja alijiuliza mbona wengi sana baadaye inatoka taarifa kuwa wanamichezo ni 9 na ma-afsa wa serikali kutoka wizara mbalimbali ni 67 na watakaa kwa siku 16 zote za olimpiki hapa paris.
Sijajua Bongo aka nchi ya kitu kidogo tumepeleka wangapi maana wasanii tu tunapeleka nje kwa kodi zetu , MUNGU ATUSAIDIE
USSR
Nyie mmepeleka wanamicheozo wangapi?Mwafrika kwenda Ulaya kwa mabwana wakubwa zake ni sifa kubwa.
Sote tuna uhuru wa kujiliwaza tu, lakini tunaendeshwa na wazungu, tena tulivyotawaliwa sasa kiutumwa mambo leo ni pabaya zaidi kuliko utumwa wa kununuliwa kwa shanga na vioo.
Tumejazwa ujinga na umetujaa.
Hivi unaona Watanzania siyo Waafrika?Nyie mmepeleka wanamicheozo wangapi?
Wanamichezo 9 na waliobaki 67?!🤔🫢Wakati wakipita juu ya mto wakiwa kwenye boti kila mmoja alijiuliza mbona wengi sana baadaye inatoka taarifa kuwa wanamichezo ni 9 na ma-afsa wa serikali kutoka wizara mbalimbali ni 67 na watakaa kwa siku 16 zote za olimpiki hapa paris.
Sijajua Bongo aka nchi ya kitu kidogo tumepeleka wangapi maana wasanii tu tunapeleka nje kwa kodi zetu , MUNGU ATUSAIDIE
USSR
Wale wasanii mnao wapeleka Korea Kusini kwenda kujichekesha chekesha vipi? wana tija kwa Taifa? Raisi alifanya Ziara India na Deligate kubwa kuliko ya wenyeji, yaani Ukumbi ulijaaa wageni kana kwamba mkutano unafanyukia Mlimani city kumbe ni New Delh India.Hivi unaona Watanzania siyo Waafrika?
Sisi ndiyo afadjali ya Wazimbabwe hata tukipeleka wawili tu.
Nchi tuliyodanganywa na Rais wa kwanza kuwa tunajitawala kumbe Ikulu kuna mzungu anaiendesha nchi kwa miaka yote unatuona wa maana sana?
Tanzania ni wanafik wakubwa.
Hivvi ulifikiri Tanzania gtupo "exceptional" kwa ujinga?Wale wasanii mnao wapeleka Korea Kusini kwenda kujichekesha chekesha vipi? wana tija kwa Taifa? Raisi alifanya Ziara India na Deligate kubwa kuliko ya wenyeji, yaani Ukumbi ulijaaa wageni kana kwamba mkutano unafanyukia Mlimani city kumbe ni New Delh India.
Ziara za Raisi nje ya nchi zimejaaa idadi ya watu wanao bebwa tu wakale Bata kwenye Ziara na hawana tija kwa Taifa. Ni bora hata hao Wazimbabwe.
Wewe mwenyewe huwa unajipapatua umesomea/umesomeshwa CanadaMwafrika kwenda Ulaya kwa mabwana wakubwa zake ni sifa kubwa.
Sote tuna uhuru wa kujiliwaza tu, lakini tunaendeshwa na wazungu, tena tulivyotawaliwa sasa kiutumwa mambo leo ni pabaya zaidi kuliko utumwa wa kununuliwa kwa shanga na vioo.
Tumejazwa ujinga na umetujaa.
ZANU PF ni sawa tu na CCM wajamaa uchwaraWakati wakipita juu ya mto wakiwa kwenye boti kila mmoja alijiuliza mbona wengi sana baadaye inatoka taarifa kuwa wanamichezo ni 9 na ma-afsa wa serikali kutoka wizara mbalimbali ni 67 na watakaa kwa siku 16 zote za olimpiki hapa paris.
Sijajua Bongo aka nchi ya kitu kidogo tumepeleka wangapi maana wasanii tu tunapeleka nje kwa kodi zetu , MUNGU ATUSAIDIE
USSR
Naomba usaidie kufafanua hapa mpendwa wangu.Hivi unaona Watanzania siyo Waafrika?
Sisi ndiyo afadjali ya Wazimbabwe hata tukipeleka wawili tu.
Nchi tuliyodanganywa na Rais wa kwanza kuwa tunajitawala kumbe Ikulu kuna mzungu anaiendesha nchi kwa miaka yote unatuona wa maana sana?
Tanzania ni wanafik wakubwa.
Ni kama nilivyoandika, tumedanganywa vya kutosha. Nyerere alikuwa ni picha tu Ikulu, aliyekuwa anatutawala ni mzungu Muingereza, kwa miaka yote ya Nyerere.Naomba usaidie kufafanua hapa mpendwa wangu.
Mimi nabishaNi kama nilivyoandika, tumedanganywa vya kutosha. Nyerere alikuwa ni picha tu Ikulu, aliyekuwa anatutawala ni mzungu Muingereza, kwa miaka yote ya Nyerere.
Waafrika bado tunatawaliwa mpaka tugeuke tuwe kama anavyofanya Ibrahim traore wa Burkina Faso.
Anaebisha namuwekea ushahidi.
Sikubishii kwa sababu scenario za West Afrika inafanana na hichi unachokisema hapa,Ni kama nilivyoandika, tumedanganywa vya kutosha. Nyerere alikuwa ni picha tu Ikulu, aliyekuwa anatutawala ni mzungu Muingereza, kwa miaka yote ya Nyerere.
Waafrika bado tunatawaliwa mpaka tugeuke tuwe kama anavyofanya Ibrahim traore wa Burkina Faso.
Anaebisha namuwekea ushahidi.