Nani ameiroga Afrika, Zimbabwe imetuma wanamichezo 9 na viongozi 67 Paris kwenye mashindano ya Olympics

Nani ameiroga Afrika, Zimbabwe imetuma wanamichezo 9 na viongozi 67 Paris kwenye mashindano ya Olympics

Hivi unaona Watanzania siyo Waafrika?

Sisi ndiyo afadjali ya Wazimbabwe hata tukipeleka wawili tu.

Nchi tuliyodanganywa na Rais wa kwanza kuwa tunajitawala kumbe Ikulu kuna mzungu anaiendesha nchi kwa miaka yote unatuona wa maana sana?

Tanzania ni wanafik wakubwa.
Kumbe CCM ni bosheni tu, serikali inaongozwa na mabeberu!
 
Sikubishii kwa sababu scenario za West Afrika inafanana na hichi unachokisema hapa,
Ila nahitaji kujifunza zaidi, maana kuna vitu vingine tunaweza kuwalaumu viongozi wetu kumbe ni matatizo ambayo hata wao wanaogopa kutuambia!!
Mfano kule West Africa hawako huru kwa kuwa mfaransa ameshikiria kila fedha yao!!1
Sisi fedha yetu na maliasili zote kashika nani?

Tanzania leo huwezi kuagiza au kununuwa chochote nje bila kutumia fedha za 'kigeni", zetu zimekaa show tu?

Hivi fedha za kigeni zina thamani zaidi ya dhahabu, ardhi, mifugo na madini yetu?

Fikiri.

Ingekuwa hawatutawali kuchumi saa hizi wangekuwa wanatupoigia magoti kwa mali ghafi tulizonazo.

Qalioweka misingi ya nchi hii waliiweka mibovu kwa makusudi kabisa. Tulikuwa tunahitaji watu kama Ibrahim Traore kuanzia uhuru.
 
Kumbe CCM ni bosheni tu, serikali inaongozwa na mabeberu!
hayo yalikuwa wakati wa Nyerere, sasa hivi mabeberu wamtukamata kwenye uchumi, kwa misingi waliyoiweka wakati wsa utawala wa miaka 24 ya awali.

Mama Samia kastuka zamani sana, lakini anafanya mambo yake taratiiibu, wanaomuelewa kwenye serikali yake ni wachache sana.


Kwanza anahakikisha tunajitegemea kwa chakula.

Wazungu wameitumia sana njaa kama silaha yao ya siri.
 
Hivi unaona Watanzania siyo Waafrika?

Sisi ndiyo afadjali ya Wazimbabwe hata tukipeleka wawili tu.

Nchi tuliyodanganywa na Rais wa kwanza kuwa tunajitawala kumbe Ikulu kuna mzungu anaiendesha nchi kwa miaka yote unatuona wa maana sana?

Tanzania ni wanafik wakubwa.
Duh nilikuwa silijui hili
 
Hao wanamichezo 9 ndio wenye vigezo vya kushiriki olympics. Labda tujadili hilo genge la viongozi. Olympics huwezi kushiriki bila qualifications
 
Wakati wakipita juu ya mto wakiwa kwenye boti kila mmoja alijiuliza mbona wengi sana baadaye inatoka taarifa kuwa wanamichezo ni 9 na ma-afsa wa serikali kutoka wizara mbalimbali ni 67 na watakaa kwa siku 16 zote za olimpiki hapa paris.

Sijajua Bongo aka nchi ya kitu kidogo tumepeleka wangapi maana wasanii tu tunapeleka nje kwa kodi zetu , MUNGU ATUSAIDIE


USSR
Mkuu unashangaa kuona wingi wa maafisa wa serikali katika msafara huo kuliko idadi kiduchu ya wanamichezo! Hushangai wingi wa maafisa wa serikali sambamba na magari yao ya kifahari katika msafara wa Rais pale kila aendapo mikoani!?

Afrika hasa Kusini mwa Jangwa la Sahara ni shida. Watawala wanapenda maisha ya kifahari yakiambatana na gharama kubwa za uendeshaji wa serikali zao. Huku wale wanao waongoza wakiishi lindi la umaskini mkubwa.
 
Wakati wakipita juu ya mto wakiwa kwenye boti kila mmoja alijiuliza mbona wengi sana baadaye inatoka taarifa kuwa wanamichezo ni 9 na ma-afsa wa serikali kutoka wizara mbalimbali ni 67 na watakaa kwa siku 16 zote za olimpiki hapa paris.

Sijajua Bongo aka nchi ya kitu kidogo tumepeleka wangapi maana wasanii tu tunapeleka nje kwa kodi zetu , MUNGU ATUSAIDIE


USSR
Donald Trump aheshimiwe, we need to get colonialized
 
Back
Top Bottom