tamsana
JF-Expert Member
- Jan 13, 2012
- 3,739
- 8,044
Kumbe CCM ni bosheni tu, serikali inaongozwa na mabeberu!Hivi unaona Watanzania siyo Waafrika?
Sisi ndiyo afadjali ya Wazimbabwe hata tukipeleka wawili tu.
Nchi tuliyodanganywa na Rais wa kwanza kuwa tunajitawala kumbe Ikulu kuna mzungu anaiendesha nchi kwa miaka yote unatuona wa maana sana?
Tanzania ni wanafik wakubwa.