Nani ameiroga Afrika, Zimbabwe imetuma wanamichezo 9 na viongozi 67 Paris kwenye mashindano ya Olympics

Nani ameiroga Afrika, Zimbabwe imetuma wanamichezo 9 na viongozi 67 Paris kwenye mashindano ya Olympics

Wale wasanii mnao wapeleka Korea Kusini kwenda kujichekesha chekesha vipi? wana tija kwa Taifa? Raisi alifanya Ziara India na Deligate kubwa kuliko ya wenyeji, yaani Ukumbi ulijaaa wageni kana kwamba mkutano unafanyukia Mlimani city kumbe ni New Delh India.

Ziara za Raisi nje ya nchi zimejaaa idadi ya watu wanao bebwa tu wakale Bata kwenye Ziara na hawana tija kwa Taifa. Ni bora hata hao Wazimbabwe.
MARAIS WETU NA AKILI WAPI NA WAPI
 
Ni kama nilivyoandika, tumedanganywa vya kutosha. Nyerere alikuwa ni picha tu Ikulu, aliyekuwa anatutawala ni mzungu Muingereza, kwa miaka yote ya Nyerere.

Waafrika bado tunatawaliwa mpaka tugeuke tuwe kama anavyofanya Ibrahim traore wa Burkina Faso.

Anaebisha namuwekea ushahidi.
Hata samia ushaidi upo ni wa bandari, hifadhi za wanyama, airports zote za Tanzania waarabu wanazimiliki sasa nani bora nyerere au samia kwa maana zamani nakutawalwa na waingereza miaka ya nyerere tulikuwa nakila kitu hakuna udhibitisho wowote
 
Kuna mwaka Tanzania ilipeleka wachezaji 10 na viongozi 20. Ila mwaka huu tumejitahidi. Wameenda wachezaji 7, makocha watatu, maafisa wawili wa TOC, mwanahabari mmoja na mkuu wa msafara.
 
Wakati wakipita juu ya mto wakiwa kwenye boti kila mmoja alijiuliza mbona wengi sana baadaye inatoka taarifa kuwa wanamichezo ni 9 na ma-afsa wa serikali kutoka wizara mbalimbali ni 67 na watakaa kwa siku 16 zote za olimpiki hapa paris.

Sijajua Bongo aka nchi ya kitu kidogo tumepeleka wangapi maana wasanii tu tunapeleka nje kwa kodi zetu , MUNGU ATUSAIDIE


USSR
Sijui sisi watu toka hili BARA, tuna SHIDA gani kichwani..AIBU!
watu weusi wamelaanika
"Let us agreed that Blacks cannot rule themselves, Whites are born in order to rule and Blacks are born to be ruled."

Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.
 
Hata samia ushaidi upo ni wa bandari, hifadhi za wanyama, airports zote za Tanzania waarabu wanazimiliki sasa nani bora nyerere au samia kwa maana zamani nakutawalwa na waingereza miaka ya nyerere tulikuwa nakila kitu hakuna udhibitisho wowote
Hatujakaa foleni ya chakula wakati wa Samia, tuulize tuliouishi wakati wa Nyerere tulikumbwa na nini?
 
Huenda hao wanaoitwa maafisa ni majasusi! Kwamba wanakusanya taarifa muhimu kusaidia nchi zao (changamsha genge)
 
Ni kama nilivyoandika, tumedanganywa vya kutosha. Nyerere alikuwa ni picha tu Ikulu, aliyekuwa anatutawala ni mzungu Muingereza, kwa miaka yote ya Nyerere.

Waafrika bado tunatawaliwa mpaka tugeuke tuwe kama anavyofanya Ibrahim Traore wa Burkina Faso.

Anaebisha namuwekea ushahidi.
Kwa hiyo Samia naye nani anamcontrol?
 
Mwafrika kwenda Ulaya kwa mabwana wakubwa zake ni sifa kubwa.

Sote tuna uhuru wa kujiliwaza tu, lakini tunaendeshwa na wazungu, tena tulivyotawaliwa sasa kiutumwa mambo leo ni pabaya zaidi kuliko utumwa wa kununuliwa kwa shanga na vioo.

Tumejazwa ujinga na umetujaa.
Halafu ujinga mkubwa kuliko wote Ni Udini
 
Back
Top Bottom