Nani ameiroga Afrika, Zimbabwe imetuma wanamichezo 9 na viongozi 67 Paris kwenye mashindano ya Olympics

Nani ameiroga Afrika, Zimbabwe imetuma wanamichezo 9 na viongozi 67 Paris kwenye mashindano ya Olympics

Nakaa najiuliza sijui waafrika tutabaki hivi milele au vizazi vingapi vitapita kuonyesha tumebadilika
 
Hivi unaona Watanzania siyo Waafrika?

Sisi ndiyo afadjali ya Wazimbabwe hata tukipeleka wawili tu.

Nchi tuliyodanganywa na Rais wa kwanza kuwa tunajitawala kumbe Ikulu kuna mzungu anaiendesha nchi kwa miaka yote unatuona wa maana sana?

Tanzania ni wanafik wakubwa.
Mbona bandari wanaiendesha wale UAE 😄
Nyie Chevening tu komasava dada yangu kipenzi

Ova
 
Mbona bandari wanaiendesha wale UAE 😄
Nyie Chevening tu komasava dada yangu kipenzi

Ova
Ungejuwa biashara kubwa duniani zimeshikwa na nani ungeelewa unachokisema.

Hao hao waliokuletea coma sava ndiyo waliokuletea DP World.

Kwa muono huo wako, huna pa kukwepa.
 
Wakati wakipita juu ya mto wakiwa kwenye boti kila mmoja alijiuliza mbona wengi sana baadaye inatoka taarifa kuwa wanamichezo ni 9 na ma-afsa wa serikali kutoka wizara mbalimbali ni 67 na watakaa kwa siku 16 zote za olimpiki hapa paris.

Sijajua Bongo aka nchi ya kitu kidogo tumepeleka wangapi maana wasanii tu tunapeleka nje kwa kodi zetu , MUNGU ATUSAIDIE


USSR

Tumejiroga wenyewe kwa kufikiria vichwa kazi yake kubebea vitu vizito. Kumbe kwenye kila kichwa kuna ubongo unaotakiwa kufikiri
 
Ungejuwa biashara kubwa duniani zimeshikwa na nani ungeelewa unachokisema.

Hao hao waliokuletea coma sava ndiyo waliokuletea DP World.

Kwa muono huo wako, huna pa kukwepa.

Nani sasa ni DP World?
 
Wakati wakipita juu ya mto wakiwa kwenye boti kila mmoja alijiuliza mbona wengi sana baadaye inatoka taarifa kuwa wanamichezo ni 9 na ma-afsa wa serikali kutoka wizara mbalimbali ni 67 na watakaa kwa siku 16 zote za olimpiki hapa paris.

Sijajua Bongo aka nchi ya kitu kidogo tumepeleka wangapi maana wasanii tu tunapeleka nje kwa kodi zetu , MUNGU ATUSAIDIE


USSR
😅😅😅 ndo walivyo wanapenda kufaidika kupitia migongo ya watu. Kubuni vyao aaaaah!
 
Mkuu unashangaa kuona wingi wa maafisa wa serikali katika msafara huo kuliko idadi kiduchu ya wanamichezo! Hushangai wingi wa maafisa wa serikali sambamba na magari yao ya kifahari katika msafara wa Rais pale kila aendapo mikoani!?

Afrika hasa Kusini mwa Jangwa la Sahara ni shida. Watawala wanapenda maisha ya kifahari yakiambatana na gharama kubwa za uendeshaji wa serikali zao. Huku wale wanao waongoza wakiishi lindi la umaskini mkubwa.
Wapi ilipoandikwa"maafisa wa serikali hawaruhusiwi kwenda olimpiki"?
 
Wakati wakipita juu ya mto wakiwa kwenye boti kila mmoja alijiuliza mbona wengi sana baadaye inatoka taarifa kuwa wanamichezo ni 9 na ma-afsa wa serikali kutoka wizara mbalimbali ni 67 na watakaa kwa siku 16 zote za olimpiki hapa paris.

Sijajua Bongo aka nchi ya kitu kidogo tumepeleka wangapi maana wasanii tu tunapeleka nje kwa kodi zetu , MUNGU ATUSAIDIE


USSR
Ulitaka wampeleke bibi yako akachafue majiji ya watu kwa mate ya ugoro?
 
Twende mbele turudi nyuma.

. Kuna tatizo lipi hapo au kuna sheria na kanuni zipi zinazokataza msafara wa wasindikizaji wachezaji kuwa mkubwa?
 
Ungejuwa biashara kubwa duniani zimeshikwa na nani ungeelewa unachokisema.

Hao hao waliokuletea coma sava ndiyo waliokuletea DP World.

Kwa muono huo wako, huna pa kukwepa.
Wote hao wale wale si tuendele
Kukatika mauno komasava tu

Ova
 
Kuna clip ilikua inasambaa huko msafara Wa mama ulikua na mashangingi 120
 
Back
Top Bottom