granitized
JF-Expert Member
- Jul 5, 2016
- 3,249
- 7,948
sijakufokea, nimekuambia ukwel au unataka had nikuanzishie thread?Usinifokee boss!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sijakufokea, nimekuambia ukwel au unataka had nikuanzishie thread?Usinifokee boss!
Kuanzisha thread ni utoto Boss!sijakufokea, nimekuambia ukwel au unataka had nikuanzishie thread?
DipiwodiMaza anaendeshwa na mizungu? Y/N.
Mbona bandari wanaiendesha wale UAE 😄Hivi unaona Watanzania siyo Waafrika?
Sisi ndiyo afadjali ya Wazimbabwe hata tukipeleka wawili tu.
Nchi tuliyodanganywa na Rais wa kwanza kuwa tunajitawala kumbe Ikulu kuna mzungu anaiendesha nchi kwa miaka yote unatuona wa maana sana?
Tanzania ni wanafik wakubwa.
Ungejuwa biashara kubwa duniani zimeshikwa na nani ungeelewa unachokisema.Mbona bandari wanaiendesha wale UAE 😄
Nyie Chevening tu komasava dada yangu kipenzi
Ova
Wakati wakipita juu ya mto wakiwa kwenye boti kila mmoja alijiuliza mbona wengi sana baadaye inatoka taarifa kuwa wanamichezo ni 9 na ma-afsa wa serikali kutoka wizara mbalimbali ni 67 na watakaa kwa siku 16 zote za olimpiki hapa paris.
Sijajua Bongo aka nchi ya kitu kidogo tumepeleka wangapi maana wasanii tu tunapeleka nje kwa kodi zetu , MUNGU ATUSAIDIE
USSR
Ungejuwa biashara kubwa duniani zimeshikwa na nani ungeelewa unachokisema.
Hao hao waliokuletea coma sava ndiyo waliokuletea DP World.
Kwa muono huo wako, huna pa kukwepa.
😅😅😅 ndo walivyo wanapenda kufaidika kupitia migongo ya watu. Kubuni vyao aaaaah!Wakati wakipita juu ya mto wakiwa kwenye boti kila mmoja alijiuliza mbona wengi sana baadaye inatoka taarifa kuwa wanamichezo ni 9 na ma-afsa wa serikali kutoka wizara mbalimbali ni 67 na watakaa kwa siku 16 zote za olimpiki hapa paris.
Sijajua Bongo aka nchi ya kitu kidogo tumepeleka wangapi maana wasanii tu tunapeleka nje kwa kodi zetu , MUNGU ATUSAIDIE
USSR
Mazayuni.Nani sasa ni DP World?
Wapi ilipoandikwa"maafisa wa serikali hawaruhusiwi kwenda olimpiki"?Mkuu unashangaa kuona wingi wa maafisa wa serikali katika msafara huo kuliko idadi kiduchu ya wanamichezo! Hushangai wingi wa maafisa wa serikali sambamba na magari yao ya kifahari katika msafara wa Rais pale kila aendapo mikoani!?
Afrika hasa Kusini mwa Jangwa la Sahara ni shida. Watawala wanapenda maisha ya kifahari yakiambatana na gharama kubwa za uendeshaji wa serikali zao. Huku wale wanao waongoza wakiishi lindi la umaskini mkubwa.
Ulitaka wampeleke bibi yako akachafue majiji ya watu kwa mate ya ugoro?Wakati wakipita juu ya mto wakiwa kwenye boti kila mmoja alijiuliza mbona wengi sana baadaye inatoka taarifa kuwa wanamichezo ni 9 na ma-afsa wa serikali kutoka wizara mbalimbali ni 67 na watakaa kwa siku 16 zote za olimpiki hapa paris.
Sijajua Bongo aka nchi ya kitu kidogo tumepeleka wangapi maana wasanii tu tunapeleka nje kwa kodi zetu , MUNGU ATUSAIDIE
USSR
Wote hao wale wale si tuendeleUngejuwa biashara kubwa duniani zimeshikwa na nani ungeelewa unachokisema.
Hao hao waliokuletea coma sava ndiyo waliokuletea DP World.
Kwa muono huo wako, huna pa kukwepa.
Mazayuni.
Duh ngoja tu niunge tela na mimi tutajua mbele ya safariephen_ ametukamata akili, fikra na hisia, hatuemi wala hatukohowi juu yake, this lady......sijuw hata nisemeje tu mkuu
Unga tu mkuu, bishost hanaga baya na mtu, labda umkorofishe. ila sometimes anaweza kukukaushia tu ili ummiss (most ladies do that tho)Duh ngoja tu niunge tela na mimi tutajua mbele ya safari
mpokee rafik mpya Wakuperuzi tafadhaliKweli kabisa Boss!