Nani ameiroga Afrika, Zimbabwe imetuma wanamichezo 9 na viongozi 67 Paris kwenye mashindano ya Olympics

Acha afisa wa REVINUE ya Zimbabwe ale maishaa.
 
Kuna watu wanaamini eti VIONGOZI wa Afrika eti wataleta maendeleo.
Ugonjwa mbaya sana huu wa kushindwa kuona na kusikia.
 
Story za kwenye alqasus hizi
 
Hata CCM wanafanya mbona...Mradi wa Milioni 10 unajadiliwa kwa posho ya Milioni 89?Na bado haukamiliki.
 
Kudos
Imebidi nijicheke mwenyewe, Nashukuru sana, kuna kitu umenisaidia kuwaza.
Inauma sana, mbugani kwetu waarabu wanashindana kuwinda wanyama wetu kujifuraisha na wengine wamewachukua kwenda kutengeneza Mbuga kwao, lakini hakuna shida yoyote, sasa kule vijijini ukikamatwa na kanyama ka nyani umekwisha!! Yaani nyama zetu wahsnzi wachezee sisi wenyewe hata kula makosa ya kisheria.
 
hao wameenda kupiga per diem na vacation ya bure punguza chuki na walaya naamin kama team yao ya mpira ingefuzu msimu uliopita basi serikali nzima ingehamia Qatar ni
 
Tatizo kwa michuano ya Olimpiki ni ule utaratibu wao. Kwamba huamui tu mwenyewe idadi ya wanamichezo wa kushiriki kwenye michuano hiyo. Kuna viwango lazima kuvifikia ili mshiriki atimize vigezo.

Sasa, kwa mazingira hayo, michujo husababisha nchi nyingi za Afrika kupeleka wanamichezo wachache na kwa michezo michache kwani ndiyo waliotimiza vigezo.

Pia, Olimpiki wenyewe huwa na mialiko ya viongozi mbalimbali wa kushuhudia michuano hiyo.

Wao huamini, kuwepo kwa viongozi kwenye hiyo michuano kunaweza kuwa chachu kwao kuweka mipango mizuri ili michuano ijayo kuwa na wanamichezo wengi wenye vigezo.

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…