Acha afisa wa REVINUE ya Zimbabwe ale maishaa.Wakati wakipita juu ya mto wakiwa kwenye boti kila mmoja alijiuliza mbona wengi sana baadaye inatoka taarifa kuwa wanamichezo ni 9 na ma-afsa wa serikali kutoka wizara mbalimbali ni 67 na watakaa kwa siku 16 zote za olimpiki hapa paris.
Sijajua Bongo aka nchi ya kitu kidogo tumepeleka wangapi maana wasanii tu tunapeleka nje kwa kodi zetu , MUNGU ATUSAIDIE
USSR
Imeisha hiyo☺️mpokee rafik mpya Wakuperuzi tafadhali
👊Imeisha hiyo☺️
Story za kwenye alqasus hiziNi kama nilivyoandika, tumedanganywa vya kutosha. Nyerere alikuwa ni picha tu Ikulu, aliyekuwa anatutawala ni mzungu Muingereza, kwa miaka yote ya Nyerere.
Waafrika bado tunatawaliwa mpaka tugeuke tuwe kama anavyofanya Ibrahim Traore wa Burkina Faso.
Anaebisha namuwekea ushahidi.
OvyoNaona unajitahidi kuihamisha mada. Kwani kuwa "mdini" ni haramu Tanzania hii?
Ukishaamuwa fulani "mdini", wewe inakuuma nini?
Hao 67 ni washabiki, labda Zimbabwe wamegundua kuwa bila kuwa na washabiki wengi ni ngumu kuleta medali.Wanamichezo 9 na waliobaki 67?!🤔🫢
Yamekuingia.Ovyo
KudosSisi fedha yetu na maliasili zote kashika nani?
Tanzania leo huwezi kuagiza au kununuwa chochote nje bila kutumia fedha za 'kigeni", zetu zimekaa show tu?
Hivi fedha za kigeni zina thamani zaidi ya dhahabu, ardhi, mifugo na madini yetu?
Fikiri.
Ingekuwa hawatutawali kuchumi saa hizi wangekuwa wanatupoigia magoti kwa mali ghafi tulizonazo.
Qalioweka misingi ya nchi hii waliiweka mibovu kwa makusudi kabisa. Tulikuwa tunahitaji watu kama Ibrahim Traore kuanzia uhuru.
hao wameenda kupiga per diem na vacation ya bure punguza chuki na walaya naamin kama team yao ya mpira ingefuzu msimu uliopita basi serikali nzima ingehamia Qatar niMwafrika kwenda Ulaya kwa mabwana wakubwa zake ni sifa kubwa.
Sote tuna uhuru wa kujiliwaza tu, lakini tunaendeshwa na wazungu, tena tulivyotawaliwa sasa kiutumwa mambo leo ni pabaya zaidi kuliko utumwa wa kununuliwa kwa shanga na vioo.
Tumejazwa ujinga na umetujaa.
Dawa yako iko jikoniYamekuingia.
Tatizo kwa michuano ya Olimpiki ni ule utaratibu wao. Kwamba huamui tu mwenyewe idadi ya wanamichezo wa kushiriki kwenye michuano hiyo. Kuna viwango lazima kuvifikia ili mshiriki atimize vigezo.Wakati wakipita juu ya mto wakiwa kwenye boti kila mmoja alijiuliza mbona wengi sana baadaye inatoka taarifa kuwa wanamichezo ni 9 na ma-afsa wa serikali kutoka wizara mbalimbali ni 67 na watakaa kwa siku 16 zote za olimpiki hapa paris.
Sijajua Bongo aka nchi ya kitu kidogo tumepeleka wangapi maana wasanii tu tunapeleka nje kwa kodi zetu , MUNGU ATUSAIDIE
USSR