Kwa nini wewe CCM uhoji mambo ya CDM katikati ya mjadala unaohusu mambo ya nchi?[emoji1787][emoji1787]Relax mkuu...
Nimemuuliza huyo ndugu hapo juu ,nashukuru kwa kumjibia kamarada!
utajulia wapi wewe unaishi kwa wifi akoMawazo ya kimaskini sana
Wewe pekee ndio umeizunguka hii dunia.....
Wizara ya utalii imelipa mkuuUnakuwa mvivu hata kwa mambo ambayo yako wazi duniani? Ingia google halafu endelea kubishana. Mimi nauliza nani kalipa kama hela zetu tujulishwe faida tuliyopata kwa dakika 3 au tumelipiwa tujiandae?
Mtoaji wa huo msaada unadhani kafanya tu kama msaada? Kwenye dunia hi hi au nyingine?Umelipa wewe,
Unajua faida ya kilichofanyika hapo au ndio "Join the Chain "🤣🤣🤣
Nikusaidie tu, Tanzania haijatoa hata Mia,
#HAKUNA KAMA SAMIA
We dada angu unajua nini? tulia wanaume wapige pesa
Tetete ni nani sasa maza angu?Mimi sio dada yako….kuwa na adabu
Hatutaki hela yetu ichezewe hata kama nyie mnaiona ndogo. Sisi tunaolipa Kodi tunajua uchungu wa hela siyo nyie Kula kulala wa serikalini
Hiyo fedha ni kidigo mono kwa marketing strategies! Dakika tatu kutambulika dunia nzima sio kitu kidogo! Hapo yameachwa maswali as homework kwa kila aliyona na aliyepiga picha au aliyeona post kuhusu hili tukio! Kila mmoja atataka kujua hii bendera ya wapi, Tanzania ndio wapi!? Hapo ndio mwanzo wa mengine mazuri!Mamlaka ya uendeshaji wa jengo refu zaidi duniani la Burji Khalifa lililoko Dubai hutoza kati ya dola 67,000 hadi 87,000 ambazo kwa ubadilishaji fedha kwa haraka haraka inafiki Tshs. Milioni 157 hadi 200 hivi kwa dakika 3 kuweka tangazo kwenye jengo lote la Burji Khalifa.
Fedha hii kwa nchi masikini kama hii bado ni kubwa na ingeweza kufanya jambo la maana. Jana Februari 28 jengo hilo limetangaza bendera ya Tanzania kwa dakika 3 na wenye Serikali yao wakatutangazia neema kwamba nasi tumeonekana Dubai.
Hebu tuzionee huruma fedha za walipa kodi wanaojikamua huku sisi viongozi tukiishi kwa anasa.
View attachment 2134765
Tetete ni nani sasa maza angu?
Hiyo fedha ni kidigo mono kwa marketing strategies! Dakika tatu kutambulika dunia nzima sio kitu kidogo! Hapo yameachwa maswali as homework kwa kila aliyona na aliyepiga picha au aliyeona post kuhusu hili tukio! Kila mmoja atataka kujua hii bendera ya wapi, Tanzania ndio wapi!? Hapo ndio mwanzo wa mengine mazuri!
Huwezi kuvuna bila ku invest!
Ni mtazamo tu
Nilivyoona Mawaziri mliokwenda Dubai nikajua tu lazima kuna kitu tutalizwa.Hiyo fedha ni kidigo mono kwa marketing strategies! Dakika tatu kutambulika dunia nzima sio kitu kidogo! Hapo yameachwa maswali as homework kwa kila aliyona na aliyepiga picha au aliyeona post kuhusu hili tukio! Kila mmoja atataka kujua hii bendera ya wapi, Tanzania ndio wapi!? Hapo ndio mwanzo wa mengine mazuri!
Huwezi kuvuna bila ku invest!
Ni mtazamo tu
Poa tu mkuuTudiscuss facts sio kuitana dada au maza basi wewe ni shoga yangu
Naona bado hujui kinachoendelea duniani, kasaidie kuosha vyombo jikoni.Kwa hiyo dak 3 ndiyo ulipe milioni 200?
Umesahau eeh Magufuli alichezeachezea hela za wanyonge kununua wapinzani.Kwa hiyo ni sawa kulipia milioni 200 za wanyonge kwa ajili ya tangazo la dakika tatu?
Hiyo faida unayohoji hapo ni kwamba Tanzania imepata baada ya kuuza bidhaa zake ama ndio unashangalia Tanzania yatima kutembeza bakuli kila siku?
Utakuwa wa kike wewe mmezoe vya kuhongwa.. tehe..Hawajui kuwa mama Anaupiga mwingi. Si kila kitu lazima ulipe toka mfukoni kwako. Zungumza vizuri na watu utapata vingi.