Mfikirishi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 8,939
- 10,403
Acha kulalamika lalamika.Biashara yoyote ni matangazo.Wewe unatumia ngapi,kununua bando za kuingia mitandaoni,kama kampuni za simu,zisingetangaza vifurushi vyao,wewe utajuaje wana vifurushi vya bei gani,vya aina gani,na kila biashara bila matangazo,huwezi kuwafikia wateja wengi kwa wakati mmoja.Katika vitu vya kusaidia biashara(Aids to trade)ni matangazo.Tanzania bila kujitangaza,na kuonekana,hakuna atakayejuwa kama tuna vivutio vya kitalii,vya aina gani,madini ya aina gani, mazao,mifugo samaki matunda,mbogamboga,bahari,maziwa,mito,miti,wanyama nk.Tanzanite iko Tanzania tu,lakini ilipokosa kutangazwa,ilikuwa wanunuzi,wakinunua nchi jirani na nchi za mbali,wakigongwa bei lakini kwa matangazo,wanunuzi watajuwa iko Tanzania tu,dunia nzima.Mamlaka ya uendeshaji wa jengo refu zaidi duniani la Burji Khalifa lililoko Dubai hutoza kati ya dola 67,000 hadi 87,000 ambazo kwa ubadilishaji fedha kwa haraka haraka inafiki Tshs. Milioni 157 hadi 200 hivi kwa dakika 3 kuweka tangazo kwenye jengo lote la Burji Khalifa.
Fedha hii kwa nchi masikini kama hii bado ni kubwa na ingeweza kufanya jambo la maana. Jana Februari 28 jengo hilo limetangaza bendera ya Tanzania kwa dakika 3 na wenye Serikali yao wakatutangazia neema kwamba nasi tumeonekana Dubai.
Hebu tuzionee huruma fedha za walipa kodi wanaojikamua huku sisi viongozi tukiishi kwa anasa.
View attachment 2134765
Acha nongwa mwanakwetu hata marekani kawekeza UKRAINE! Malengo ni kinazaliwa nini na utavuna kiasi gani! Tusiwe na mawazo ya kula mpaka mbegu! Tule kiasi nyingine tuzipande tuvune!Nilivyoona Mawaziri mliokwenda Dubai nikajua tu lazima kuna kitu tutalizwa.
Acheni kulalamika,fatilieni fursa za biashsra.Sisi kazi yetu kulalamika,tunawaachis wageni ndio wanazitumia nafasi zabiashara.Mwigulu Nchemba huyo, hii awamu pesa zinapigwa kama mvua
Unajua faida yake wewe hilo tangazo?Mamlaka ya uendeshaji wa jengo refu zaidi duniani la Burji Khalifa lililoko Dubai hutoza kati ya dola 67,000 hadi 87,000 ambazo kwa ubadilishaji fedha kwa haraka haraka inafiki Tshs. Milioni 157 hadi 200 hivi kwa dakika 3 kuweka tangazo kwenye jengo lote la Burji Khalifa.
Fedha hii kwa nchi masikini kama hii bado ni kubwa na ingeweza kufanya jambo la maana. Jana Februari 28 jengo hilo limetangaza bendera ya Tanzania kwa dakika 3 na wenye Serikali yao wakatutangazia neema kwamba nasi tumeonekana Dubai.
Hebu tuzionee huruma fedha za walipa kodi wanaojikamua huku sisi viongozi tukiishi kwa anasa.
View attachment 2134765
Ngorongoro si inakaribia kuuzwa tena, au hujui?Mamlaka ya uendeshaji wa jengo refu zaidi duniani la Burji Khalifa lililoko Dubai hutoza kati ya dola 67,000 hadi 87,000 ambazo kwa ubadilishaji fedha kwa haraka haraka inafiki Tshs. Milioni 157 hadi 200 hivi kwa dakika 3 kuweka tangazo kwenye jengo lote la Burji Khalifa.
Fedha hii kwa nchi masikini kama hii bado ni kubwa na ingeweza kufanya jambo la maana. Jana Februari 28 jengo hilo limetangaza bendera ya Tanzania kwa dakika 3 na wenye Serikali yao wakatutangazia neema kwamba nasi tumeonekana Dubai.
Hebu tuzionee huruma fedha za walipa kodi wanaojikamua huku sisi viongozi tukiishi kwa anasa.
View attachment 2134765
Baadhi ya watanzania,kazi yao kulalamika,fursa za kupata kipato,zikija anabakia kulalamika.Wageni wanazitumia hizo fursa,mpaka wao wanashangaa wanasema watanzania ni watu wa ajabu,wakati nchi ina fursa nyingi za kufuatilia ofisi zinazohusika,wao ni kulalamika.Leo mgeni,anakuja Tanzania anazifuatilia fursa,na kuzifanyia kazi.Utamkuta mgeni ndio anasafirisha bidhaa kadhaa nje,madini,mazao kama katani,leo katani inakwenda falme za kiarabu,wamegundua katani ya Tanzania ndio nzuri,kutengeneza jipsum,wasafirishaji wa hiyo katani,ni wageni sio watanzania,sisi ni kulalamika tu,kwa jambo hata mtu hana ushahidi nalo.Mleta mada una uhakika kuwa malipo yalifanyika? Je, umeleta invoice au receipt?
Je, rangi za bendera zilizooneshwa si zenyewe? Sasa kama ni zenyewe tatizo liko wapi??
Jaribuni kuwa positive japo siku moja moja!
Lile ni jengo lina sifa yake... Na kama nchi inayojitahidi kurudi ulimwenguni kutoka kusikojulikana ni wazi kuna jitihada kutumia kila aina ya upenyo upatikanao!!
Kwa hili hakuna baya! Labda kama unaushahidi wa maovu mengineyo_
Acheni kulalamika,fatilieni fursa za kibiashara.Ngorongoro si inakaribia kuuzwa tena, au hujui?
Ndo umeishia hapo kufikiliaMamlaka ya uendeshaji wa jengo refu zaidi duniani la Burji Khalifa lililoko Dubai hutoza kati ya dola 67,000 hadi 87,000 ambazo kwa ubadilishaji fedha kwa haraka haraka inafiki Tshs. Milioni 157 hadi 200 hivi kwa dakika 3 kuweka tangazo kwenye jengo lote la Burji Khalifa.
Fedha hii kwa nchi masikini kama hii bado ni kubwa na ingeweza kufanya jambo la maana. Jana Februari 28 jengo hilo limetangaza bendera ya Tanzania kwa dakika 3 na wenye Serikali yao wakatutangazia neema kwamba nasi tumeonekana Dubai.
Hebu tuzionee huruma fedha za walipa kodi wanaojikamua huku sisi viongozi tukiishi kwa anasa.
View attachment 2134765
Badala ya kufuatlia fursa za kibiashara na uwekezaji,utaona baadhi ya watanzania wanafatilia matangazo ya biashsra ya uwekezaji.Na kuhoji matangazo yamelipiwa shilingi ngapi,bila matangazo,huwezi kuuza ulichonacho nacho.Ndo umeishia hapo kufikilia
Lazima zipigwe....Wewe unaona hapo kuna mtu wa kumkata mwenzake kweli?Pesa zinapigwa haswa
Acha kulalamika.Fatilia fursa za biashara na uwekezaji.Msiwaachie wageni tu.Lazima zipigwe....Wewe unaona hapo kuna mtu wa kumkata mwenzake kweli?
Umelipa wewe,
Unajua faida ya kilichofanyika hapo au ndio "Join the Chain "🤣🤣🤣
Nikusaidie tu, Tanzania haijatoa hata Mia,
#HAKUNA KAMA SAMIA
Mkuu hebu kuwa mkweli....wapi nimekuita mjinga?!!!
Hebu rudia hizo comments tena....
Wameitwa wajinga waarabu kwa kuwa wanakaa majangwani na hawazijui bendera nami nikawataja wamasai kuwa pamoja na kuishi kwao porini bado wanazifahamu bendera za nchi...
Did you take it personal?!!!
Umenitukania wazazi wangu na bado unang'ang'ana tu....mbona nimewaheshimu wazazi wako?!!!
Matusi yanauzwa?!!
Ujinga si tusi bali upumbavu ndio matusi nami nimejihadhari nao nisiwataje wazazi wako WASIOKUWEPO HAPA.....
A beautifully one are not yet born=The beautyful ones are not yet born.
A beautifully one are not yet born=The beautyful ones are not yet born.