JF ktk jukwaa la Michezo imekuwa ni sehemu iliyotufanya tusijikie wapweke kabisa, Wanachama wafuatao wamelifanya jukwaa hili kuwa sehemu salama zaidi ya kuwepo Jf:-
Scars-Mtu wa kutoa changamoto ktk maada mbalimbali za kimichezo na mnazi kweli wa Simba SC
ESPRESSO COFFEE -Nashukuru kwa kuanzisha kwako kwa nyuzi za live updates za michezo mbalimbali ya ligi kuu ya Tanzania Bara
demigod - Tunashukuru kwa nyuzi zako za kufikirisha kuhusu michezo na kutoa changamoto ktk mada mbalimbali pia kwa unazi wako kwa timu ya Dar es Salaam Young Africans
ChamasonMorisonBwalyason -Tunashuru kwa uchangiaji wako uliotukuka ktk jukwaa letu la Michezo humu JF na pia kwa unazi ulionao kwa Simba SC
NAWATAFUNA -Tunashukuru kwa jitihada zako za kuchangamsha jukwaa hili na pia kwa unazi wako kwa Simba Sc
denooJ-Tunashukuru kwa nguvu zako ulizoweka ktk jukwaa hili la Michezo na uchangiaji wako uliotukuka na hongera kwa unazi wako kwa Dar es Salaam Young Africans
Nyamizi - Tunashukuru kwa unazi wako uliotukuka kwa Simba SC na uchangiaji wako mzuri ndani ya jukwaa hili na kujihisi sisi ni familia moja
Narudi tena kuendelea kutoa shout out kwa wanachama wote waliofanya jukwaa hili kuwa bora zaidi