Sijapita kwenye uzi wa Scoosers kwa muda mrefu ila kuna jamaa anaitwa Mosdef,jamaa anajua sanaNaona uzi umetawaliwa na wanaofuatilia zaidi soka la bongo kuliko la ulaya. Salute kweny wote.
Captain Marvelous Ladder 49 Mmetuwakilisha vyema katika Special Thread ya Liverpool FC.
Utaskia tumsajili jonjo shevley.....Mzee wa "Mnaonaje wakuu tukimuuza B.Fernandes na kumrudisha Tom Cleverley??,,pale katikati panapwaya sana"..
HahahaShadeeya -Huyu balaa lake lipo kule kwenye special thread ya Dar es Salaam Young Africans, tunakupenda sana our own Sports lady
Kalpana -Another sports lady Halafu ni kolobwenzi kolobwanji, Mungu aendelee kukuweka na kulitendea haki jukwaa hili la michezo
ntazana ntazana -Tunafurahia uwepo wako pia ktk jukwaa hili na michango yako ni ya thamani sana, sema unazingua sehemu moja tu ni huko upande wa makolo ulipo
Simara -Keep the fire going our sports lady na tunafurahia michango yako hapa jukwaani
Wabeja sana mukulu!XII Tz -mkuu endelea kuwasha moto kwenye jukwaa letu ila wimbo wa rose Muhando ni muhimu sana kwa timu yetu ya simba msimu huu
Che mittoga - Jukwaa linakutegemea sana kwa michango yako na Unazi wako uliotukuka ila Ila nyimbo ya Rose Muhando lazima ihusike sana
Extrovert -Huyu mkuu yaani haoni shida kutoa like kwa kila comment anayosoma ktk jukwaa hili, Mungu aendelee kumuweka duniani
Familia ni kubwa sana, naendelea kutoa shout out kwa kadri ya uwezo wangu
[emoji23][emoji23][emoji23]zam kwa zam,mnatakaga mbebwe nyinyi tu Utopwinyo.Bora nimalizie hasira zangu huku za Kolo kubebwa mechi ya Geita
Tumeparuana sana na wana Uto humu, wewe ukiwa kiongozi wao.......Van De Beek -Michango yako ni muhimu sana mkuu, sema mkuu unazi kwa timu ya simba umekuwa mwingi sana, tumekuwa familia moja ndani ya jukwaa hili na Mungu aendelee kukuweka
ahidi kitu basi tuone kama upo serious na jmosiMtani We subiri Jumamosi ndo utajua hujui. ππ
ππ
ahidi kitu basi tuone kama upo serious na jmosi
Shadeeya -Huyu balaa lake lipo kule kwenye special thread ya Dar es Salaam Young Africans, tunakupenda sana our own Sports lady
Kalpana -Another sports lady Halafu ni kolobwenzi kolobwanji, Mungu aendelee kukuweka na kulitendea haki jukwaa hili la michezo
ntazana ntazana -Tunafurahia uwepo wako pia ktk jukwaa hili na michango yako ni ya thamani sana, sema unazingua sehemu moja tu ni huko upande wa makolo ulipo
Simara -Keep the fire going our sports lady na tunafurahia michango yako hapa jukwaani
naona unanikosea heshimaππ Utapata jezi yenye chapa GSM. π