Nani amesema kuwa Freeman Mbowe atagombea tena uenyekiti CHADEMA?

Nani amesema kuwa Freeman Mbowe atagombea tena uenyekiti CHADEMA?

Petro E. Mselewa

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2012
Posts
10,307
Reaction score
25,932
Tangu jana, mara baada ya Wakili Tundu A.M. Lissu kutangaza kugombea uenyekiti wa Taifa wa CHADEMA, kumekuwa na 'kuwapambanisha' Mwenyekiti wa sasa Freeman Mbowe na Lissu kwenye uchaguzi wa CHADEMA utakaofanyika mwakani.

Kuna siku nilimsikia Lissu akisema kuwa mtia-nia yeyote ndani ya CHADEMA huwasilisha nia yake hiyo kwa Katibu Mkuu wa CHADEMA. Hadi hapo, taarifa rasmi za mtu fulani kugombea nafasi fulani ndani ya CHADEMA hutolewa na mgombea mwenyewe au Katibu Mkuu.

Sikuwahi kumsikia Mbowe au Katibu Mkuu Mnyika kutoa taarifa rasmi kuwa Mbowe atagombea tena uenyekiti wa CHADEMA Taifa kwenye uchaguzi ujao. Sasa, nani hasa anatuaminisha kuwa Mbowe na Lissu watapambania uenyekiti wa CHADEMA?

Binafsi, naona kumeshakuwa na maridhiano na makubaliano baina ya Mbowe na Lissu kuachiana nafasi hiyo ya uenyekiti. Kama Mzee Mtei alivyomwachia Hayati Bob Nyange Makani; Makani alivyomwachia Mbowe ndivyo sasa Mbowe anavyomwachia Lissu.

Endapo Mbowe atagombea, mchuano utakuwa mkali na CHADEMA haitabaki salama baada ya uchaguzi huo. Kwa kauli za Lissu juu ya uchaguzi huru na haki na endapo atashindwa, namuona (kama nilivyomuona Mchungaji Msigwa) Lissu akiondoka CHADEMA.
 
Ni hawa akina mama wa UWT ndiyo wanashadadia mambo ya CHADEMA huku CCM hakujawahi kufanyika uchaguzi wa Mwenyekiti hata siku moja, kuhusu Lissu kuondoka CDM haiwezi kufa aliondoka Zitto, Slaa, Halima na haijafa sembuse Lissu? Lissu siyo tishio kama watu wanavyodhani isipokuwa ni tishio sababu anapata support ya CHADEMA.
 
Chadema ni wajanja wajanja sana na wanajua kubakia katika headlines. Hata hii kuchelewa kufanya uchaguzi ni kuendeleza hilo ili tunapoelekea uchaguzi mkuu wanakuwa wamevuna watu wengi sana.
 
Tangu jana, mara baada ya Wakili Tundu A.M. Lissu kutangaza kugombea uenyekiti wa Taifa wa CHADEMA, kumekuwa na 'kuwapambanisha' Mwenyekiti wa sasa freeman Mbowe na Lissu kwenye uchaguzi wa CHADEMA utakaofanyika mwakani.

Kuna siku nilimsikia Lissu akisema kuwa mtia-nia yeyote ndani ya CHADEMA huwasilisha nia yake hiyo kwa Katibu Mkuu wa CHADEMA. Hadi hapo, taarifa rasmi za mtu fulani kugombea nafasi fulani ndani ya CHADEMA hutolewa na mgombea mwenyewe au Katibu Mkuu.

Sikuwahi kumsikia Mbowe au Katibu Mkuu Mnyika kutoa taarifa rasmi kuwa Mbowe atagombea tena uenyekiti wa CHADEMA Taifa kwenye uchaguzi ujao. Sasa, nani hasa anatuaminisha kuwa Mbowe na Lissu watapambania uenyekiti wa CHADEMA?

Binafsi, naona kumeshakuwa na maridhiano na makubaliano baina ya Mbowe na Lissu kuachiana nafasi hiyo ya uenyekiti. Kama Mzee Mtei alivyomwachia Hayati Bob Nyange Makani; Makani alivyomwachia Mbowe ndivyo sasa Mbowe anavyomwachia Lissu.

Endapo Mbowe atagombea, mchuano utakuwa mkali na CHADEMA haitabaki salama baada ya uchaguzi huo. Kwa kauli za Lissu juu ya uchaguzi huru na haki na endapo atashindwa, namuona (kama nilivyomuona Mchungaji Msigwa) Lissu akiondoka CHADEMA.
Bye bye CHADEMA ya Wachagga
 
Endapo Mbowe atagombea, mchuano utakuwa mkali na CHADEMA haitabaki salama baada ya uchaguzi huo. Kwa kauli za Lissu juu ya uchaguzi huru na haki na endapo atashindwa, namuona (kama nilivyomuona Mchungaji Msigwa) Lissu akiondoka CHADEMA
Umeanza kueleza vyema Sana ila hapa mwisho Tu ndio sikubaliani na wewe. Naamini kuwa CHADEMA ni KUBWA Zaidi ya MTU au Watu fulani. Tutabaki salama kwa namna Yoyote ile japo hatuombi hayo yatokee.
 
Maccm yamehamaki sana Lissu kugombea uenyekiti wa Chadema.
Muda ni mwalimu mzuri sana, wewe subiri utaona aliyehamaki kitendo cha LISSU kugombea cheo çha Mbowe ni maCCM au MACHADEMA.
Kwa sasa Lissu anaitwa kirusi huko Chadema na majina yote mabaya.
Kuna uzi wa Mmawia kausome halafu uje hapa uone nani kahamaki.
 
Tangu jana, mara baada ya Wakili Tundu A.M. Lissu kutangaza kugombea uenyekiti wa Taifa wa CHADEMA, kumekuwa na 'kuwapambanisha' Mwenyekiti wa sasa freeman Mbowe na Lissu kwenye uchaguzi wa CHADEMA utakaofanyika mwakani.

Kuna siku nilimsikia Lissu akisema kuwa mtia-nia yeyote ndani ya CHADEMA huwasilisha nia yake hiyo kwa Katibu Mkuu wa CHADEMA. Hadi hapo, taarifa rasmi za mtu fulani kugombea nafasi fulani ndani ya CHADEMA hutolewa na mgombea mwenyewe au Katibu Mkuu.

Sikuwahi kumsikia Mbowe au Katibu Mkuu Mnyika kutoa taarifa rasmi kuwa Mbowe atagombea tena uenyekiti wa CHADEMA Taifa kwenye uchaguzi ujao. Sasa, nani hasa anatuaminisha kuwa Mbowe na Lissu watapambania uenyekiti wa CHADEMA?

Binafsi, naona kumeshakuwa na maridhiano na makubaliano baina ya Mbowe na Lissu kuachiana nafasi hiyo ya uenyekiti. Kama Mzee Mtei alivyomwachia Hayati Bob Nyange Makani; Makani alivyomwachia Mbowe ndivyo sasa Mbowe anavyomwachia Lissu.

Endapo Mbowe atagombea, mchuano utakuwa mkali na CHADEMA haitabaki salama baada ya uchaguzi huo. Kwa kauli za Lissu juu ya uchaguzi huru na haki na endapo atashindwa, namuona (kama nilivyomuona Mchungaji Msigwa) Lissu akiondoka CHADEMA.
Fuatilia Press ya Mbowe. Kasema mwenyewe
 
Tangu jana, mara baada ya Wakili Tundu A.M. Lissu kutangaza kugombea uenyekiti wa Taifa wa CHADEMA, kumekuwa na 'kuwapambanisha' Mwenyekiti wa sasa freeman Mbowe na Lissu kwenye uchaguzi wa CHADEMA utakaofanyika mwakani.

Kuna siku nilimsikia Lissu akisema kuwa mtia-nia yeyote ndani ya CHADEMA huwasilisha nia yake hiyo kwa Katibu Mkuu wa CHADEMA. Hadi hapo, taarifa rasmi za mtu fulani kugombea nafasi fulani ndani ya CHADEMA hutolewa na mgombea mwenyewe au Katibu Mkuu.

Sikuwahi kumsikia Mbowe au Katibu Mkuu Mnyika kutoa taarifa rasmi kuwa Mbowe atagombea tena uenyekiti wa CHADEMA Taifa kwenye uchaguzi ujao. Sasa, nani hasa anatuaminisha kuwa Mbowe na Lissu watapambania uenyekiti wa CHADEMA?

Binafsi, naona kumeshakuwa na maridhiano na makubaliano baina ya Mbowe na Lissu kuachiana nafasi hiyo ya uenyekiti. Kama Mzee Mtei alivyomwachia Hayati Bob Nyange Makani; Makani alivyomwachia Mbowe ndivyo sasa Mbowe anavyomwachia Lissu.

Endapo Mbowe atagombea, mchuano utakuwa mkali na CHADEMA haitabaki salama baada ya uchaguzi huo. Kwa kauli za Lissu juu ya uchaguzi huru na haki na endapo atashindwa, namuona (kama nilivyomuona Mchungaji Msigwa) Lissu akiondoka CHADEMA.
Siku zote mbowe anakupa taarifa!
 
Naombeni kujuzwa.

Uchaguzi mkuu wa ngazi ya taifa CHADEMA unafanyika mwakani mwezi wa ngapi?.
 
Muda ni mwalimu mzuri sana, wewe subiri utaona aliyehamaki kitendo cha LISSU kugombea cheo çha Mbowe ni maCCM au MACHADEMA.
Kwa sasa Lissu anaitwa kirusi huko Chadema na majina yote mabaya.
Kuna uzi wa Mmawia kausome halafu uje hapa uone nani kahamaki.
Jambo usilolijua ni sawa na usiku wa kiza kinene, hii chess.
 
Ni hawa akina mama wa UWT ndiyo wanashadadia mambo ya CHADEMA huku CCM hakujawahi kufanyika uchaguzi wa Mwenyekiti hata siku moja, kuhusu Lissu kuondoka CDM haiwezi kufa aliondoka Zitto, Slaa, Halima na haijafa sembuse Lissu? Lissu siyo tishio kama watu wanavyodhani isipokuwa ni tishio sababu anapata support ya CHADEMA.
Hapana, Mbowe tulimuunga mkono but this time No. Machawa wanajenga hoja ya Mwamba tuvushe? This time atuvushe kwenda wapi? Kiukweli Mbowe akizingua Chadema ni kweli itajisambaratikia. Asiwasikie machawa wake akadhani itakuwa kama kawaida. Hawa machawa hawajui kuhusu nyakati. This time ni right time kupata mtu mpya na wameonyesha wanaweza...Mwamba safari hii hatuvuki nae kwakuwa ni right time kukabidhi usukani kwa damu nyingine.
 
Hapana, Mbowe tulimuunga mkono but this time No. Machawa wanajenga hoja ya Mwamba tuvushe? This time atuvushe kwenda wapi? Kiukweli Mbowe akizingua Chadema ni kweli itajisambaratikia. Asiwasikie machawa wake akadhani itakuwa kama kawaida. Hawa machawa hawajui kuhusu nyakati. This time ni right time kupata mtu mpya na wameonyesha wanaweza...Mwamba safari hii hatuvuki nae kwakuwa ni right time kukabidhi usukani kwa damu nyingine.
Kwani nyie UWT ni lini mlichagua Mwenyekiti wa CCM? waligombea na nani? mtindo wenu wa fomu ni moja
 
Tangu jana, mara baada ya Wakili Tundu A.M. Lissu kutangaza kugombea uenyekiti wa Taifa wa CHADEMA, kumekuwa na 'kuwapambanisha' Mwenyekiti wa sasa Freeman Mbowe na Lissu kwenye uchaguzi wa CHADEMA utakaofanyika mwakani.

Kuna siku nilimsikia Lissu akisema kuwa mtia-nia yeyote ndani ya CHADEMA huwasilisha nia yake hiyo kwa Katibu Mkuu wa CHADEMA. Hadi hapo, taarifa rasmi za mtu fulani kugombea nafasi fulani ndani ya CHADEMA hutolewa na mgombea mwenyewe au Katibu Mkuu.

Sikuwahi kumsikia Mbowe au Katibu Mkuu Mnyika kutoa taarifa rasmi kuwa Mbowe atagombea tena uenyekiti wa CHADEMA Taifa kwenye uchaguzi ujao. Sasa, nani hasa anatuaminisha kuwa Mbowe na Lissu watapambania uenyekiti wa CHADEMA?

Binafsi, naona kumeshakuwa na maridhiano na makubaliano baina ya Mbowe na Lissu kuachiana nafasi hiyo ya uenyekiti. Kama Mzee Mtei alivyomwachia Hayati Bob Nyange Makani; Makani alivyomwachia Mbowe ndivyo sasa Mbowe anavyomwachia Lissu.

Endapo Mbowe atagombea, mchuano utakuwa mkali na CHADEMA haitabaki salama baada ya uchaguzi huo. Kwa kauli za Lissu juu ya uchaguzi huru na haki na endapo atashindwa, namuona (kama nilivyomuona Mchungaji Msigwa) Lissu akiondoka CHADEMA.
Mimi naamini Mbowe atagombea tena kwasababu kwa Mwenyekiti aliye madarakani na hana nia ya kugombea,angelisema mapema ili wanachama wengi zaidi wawe huru kugombea.
 
Back
Top Bottom