Jameel2013
JF-Expert Member
- Aug 21, 2014
- 824
- 762
Sasa hapa shida ipo wapi? Kilichohamia Dodoma ni serikali kuu sio taasisi hivyo zile top leadership office ndio zinazotakiwa kuwa huko Dodoma, je wizara ya maliasili haipo Dodoma? Taasisi zitajengwa kulingana na uhitaji mfano wizara ya mifugo na uvuvi ihamishie TAFIRI taasisi ya research ya uvuvi ihumwa? Au kuhamishia makao makuu ya board ya korosho Dodoma? Au board ya Pamba isikae maswa iende swaswa Dodoma, Taasisi huwekwa kulingana na uhitaji, yaani tuache kujenga karibu na misitu ya biharamulo ambayo mpaka watu wanatekwa Kila siku tukajenge Dodoma uliwai sikia Kuna msitu wa Adansonia (mibuyu)Moja kwa moja kwenye mada,
Site tunatambua kwamba Makao Makuu ya Nchi na Serikali ni Dodoma ambapo ndipo kunapaswa kujengwa Makao Makuu ya taasisi zote za Kiserikali ikiwemo Ikulu.
Kwamba toka Jobo Ndugai ametolewa kwenye kiti Dodoma imekosa msemaji wake au?
Swali nani katoa ruhusa kwa TFS na Wizara ya Maliasili kujenga Makao Makuu yao Mkoa wa Mwanza Kwa kisingizio cha deforestation Kanda ya Ziwa?
Huo ni upuuzi na utoto kuleta hoja ya kijinga na kukiuka sheria ya Nchi.Hivi Kati ya Dodoma na Kanda ya Kati kiujumla ukilinganisha na Kanda ya Ziwa wapi kunahitaji nguvu kubwa ya kupanda miti Ili kuboresha mazingira?
Waziri husika achana kabisa na huu mpango vinginevyo inakuwa haina maana ya kuwa na Makao Makuu ya Nchi na hivyo tuanze kusambaza taasisi za Kiserikali kikanda na kimkoa..
Mh.Waziri Mkuu zuia huu ujinga. Ingewezekana na TPA wangehamia Dodoma ila hakuna Bahari.[emoji116]
View attachment 2302979
Jadili hoja Usilete vioja..Wewe unaona mnalotaka kufanya ni sahihi?Hapo shida sio makao makuu ya taasisi kutojengwa Dodoma bali shida ni makao Makuu kujengwa Mwanza, mtoa mada ana historia mbaya sana na Mwanza, wasukuma na Kanda ya ziwa kwa ujumla, back hazikabi.
Wewe ni taahira,kuna serikali bila Wizara na taasisi zake?Sasa hapa shida ipo wapi? Kilichohamia Dodoma ni serikali kuu sio taasisi hivyo zile top leadership office ndio zinazotakiwa kuwa huko Dodoma, je wizara ya maliasili haipo Dodoma? Taasisi zitajengwa kulingana na uhitaji mfano wizara ya mifugo na uvuvi ihamishie TAFIRI taasisi ya research ya uvuvu ihumwa? Au kuhamishia makao makuu ya board ya korosho Dodoma? Au board ya Pamba isikae maswa iende swaswa Dodoma, Taasisi huwekwa kulingana na uhitaji, yaani tuache kujenga karibu na misitu ya biharamulo ambayo mpaka watu wanatekwa Kila siku tukajenge Dodoma uliwai sikia Kuna msitu wa Adansonia (mibuyu)
TANAPA ina justification, vipi TFS?Makao makuu ya TANAPA yako wapi?
Kafuteni Sheria iliyounda Makao Makuu vinginevyo unaongea upumbavu.Kuishi IDODOMIE utakuwa umechangua laana kwakweli ndio mkoa peke Tz ulio changuliwa wa kunyonga watu halafu wewe na akili yako uwende ukaishi hapo IDODOMIE ibaki kama hapo awali sehemu ya Bunge na vikao vya CCM na baadhi ya office za serikali chache tu .
Hahahahah kwahio mtu akiwa na kesi na hao jamaa asafiri siku 2 kufuata ofisi zao zilipo huko. UJINGA!!!Moja kwa moja kwenye mada,
Site tunatambua kwamba Makao Makuu ya Nchi na Serikali ni Dodoma ambapo ndipo kunapaswa kujengwa Makao Makuu ya taasisi zote za Kiserikali ikiwemo Ikulu.
Kwamba toka Jobo Ndugai ametolewa kwenye kiti Dodoma imekosa msemaji wake au?
Swali nani katoa ruhusa kwa TFS na Wizara ya Maliasili kujenga Makao Makuu yao Mkoa wa Mwanza Kwa kisingizio cha deforestation Kanda ya Ziwa?
Huo ni upuuzi na utoto kuleta hoja ya kijinga na kukiuka sheria ya Nchi.Hivi Kati ya Dodoma na Kanda ya Kati kiujumla ukilinganisha na Kanda ya Ziwa wapi kunahitaji nguvu kubwa ya kupanda miti Ili kuboresha mazingira?
Waziri husika achana kabisa na huu mpango vinginevyo inakuwa haina maana ya kuwa na Makao Makuu ya Nchi na hivyo tuanze kusambaza taasisi za Kiserikali kikanda na kimkoa..
Mh.Waziri Mkuu zuia huu ujinga. Ingewezekana na TPA wangehamia Dodoma ila hakuna Bahari.π
View attachment 2302979
Leo umenifurahisha ndugu chawa mwandamizi. Kumbe sometime ubongo wako unawasilianaga vyema na vidole. Hoja nzito sana na yenye maana umeleta mezani.πππMoja kwa moja kwenye mada,
Site tunatambua kwamba Makao Makuu ya Nchi na Serikali ni Dodoma ambapo ndipo kunapaswa kujengwa Makao Makuu ya taasisi zote za Kiserikali ikiwemo Ikulu.
Kwamba toka Jobo Ndugai ametolewa kwenye kiti Dodoma imekosa msemaji wake au?
Swali nani katoa ruhusa kwa TFS na Wizara ya Maliasili kujenga Makao Makuu yao Mkoa wa Mwanza Kwa kisingizio cha deforestation Kanda ya Ziwa?
Huo ni upuuzi na utoto kuleta hoja ya kijinga na kukiuka sheria ya Nchi.Hivi Kati ya Dodoma na Kanda ya Kati kiujumla ukilinganisha na Kanda ya Ziwa wapi kunahitaji nguvu kubwa ya kupanda miti Ili kuboresha mazingira?
Waziri husika achana kabisa na huu mpango vinginevyo inakuwa haina maana ya kuwa na Makao Makuu ya Nchi na hivyo tuanze kusambaza taasisi za Kiserikali kikanda na kimkoa..
Mh.Waziri Mkuu zuia huu ujinga. Ingewezekana na TPA wangehamia Dodoma ila hakuna Bahari.π
View attachment 2302979
Ndio mataahira wenzako wanachotaka kufanya.Hahahahah kwahio mtu akiwa na kesi na hao jamaa asafiri siku 2 kufuata ofisi zao zilipo huko. UJINGA!!!
Ondoa utaahira wako hapa..Unaelewa maana ya Makao Makuu ya Nchi?Safi sana.Hivyo ndivyo inavyotakiwa.siyo kuweka ofisi sehemu moja.Hata maabara za madini zinatakiwa ofisi zao ziwe kanda ya ziwa kwa kuwa huko kunamadini mengi.yaani mtu achukue sample za madini geita na unapeleka z Dar es salaam?haijakaa sawalzl kabisa
RubbishLeo umenifurahisha ndugu chawa mwandamizi. Kumbe sometime ubongo wako unawasilianaga vyema na vidole. Hoja nzito sana na yenye maana umeleta mezani.πππ
Wewe mtoa hoja una tatizo gani na Mwanza na Kanda ya Ziwa?Moja kwa moja kwenye mada,
Site tunatambua kwamba Makao Makuu ya Nchi na Serikali ni Dodoma ambapo ndipo kunapaswa kujengwa Makao Makuu ya taasisi zote za Kiserikali ikiwemo Ikulu.
Kwamba toka Jobo Ndugai ametolewa kwenye kiti Dodoma imekosa msemaji wake au?
Swali nani katoa ruhusa kwa TFS na Wizara ya Maliasili kujenga Makao Makuu yao Mkoa wa Mwanza Kwa kisingizio cha deforestation Kanda ya Ziwa?
Huo ni upuuzi na utoto kuleta hoja ya kijinga na kukiuka sheria ya Nchi.Hivi Kati ya Dodoma na Kanda ya Kati kiujumla ukilinganisha na Kanda ya Ziwa wapi kunahitaji nguvu kubwa ya kupanda miti Ili kuboresha mazingira?
Waziri husika achana kabisa na huu mpango vinginevyo inakuwa haina maana ya kuwa na Makao Makuu ya Nchi na hivyo tuanze kusambaza taasisi za Kiserikali kikanda na kimkoa..
Mh.Waziri Mkuu zuia huu ujinga. Ingewezekana na TPA wangehamia Dodoma ila hakuna Bahari.[emoji116]
View attachment 2302979
Sijawahi kuwa tahira ndugu msukule wa mama, yani ubongo wangu mmoja ni sawa na Chawa kama wewe 100!Ndio mataahira wenzako wanachotaka kufanya.
Moja kwa moja kwenye mada,
Site tunatambua kwamba Makao Makuu ya Nchi na Serikali ni Dodoma ambapo ndipo kunapaswa kujengwa Makao Makuu ya taasisi zote za Kiserikali ikiwemo Ikulu.
Kwamba toka Jobo Ndugai ametolewa kwenye kiti Dodoma imekosa msemaji wake au?
Swali nani katoa ruhusa kwa TFS na Wizara ya Maliasili kujenga Makao Makuu yao Mkoa wa Mwanza Kwa kisingizio cha deforestation Kanda ya Ziwa?
Huo ni upuuzi na utoto kuleta hoja ya kijinga na kukiuka sheria ya Nchi.Hivi Kati ya Dodoma na Kanda ya Kati kiujumla ukilinganisha na Kanda ya Ziwa wapi kunahitaji nguvu kubwa ya kupanda miti Ili kuboresha mazingira?
Waziri husika achana kabisa na huu mpango vinginevyo inakuwa haina maana ya kuwa na Makao Makuu ya Nchi na hivyo tuanze kusambaza taasisi za Kiserikali kikanda na kimkoa..
Mh.Waziri Mkuu zuia huu ujinga. Ingewezekana na TPA wangehamia Dodoma ila hakuna Bahari.π
View attachment 2302979