Aziz Ki Mayele
JF-Expert Member
- Aug 24, 2015
- 899
- 1,955
Kwa hiyo kwa hoja yako tuhamishie makao makuu ya TPA yawe Dodoma pia kwa kua ni makao makuu ya serikari?Jikite kwenye hoja..Makao Makuu ya Nchi ni wapi?
Nini maana ya Dodoma kuwa Makao Makuu ya Nchi?
Acha upumbavu wa kutetea upuuzi Kisa unatoka huko.
Kinachoifanya TPA iwepo Dar ni sawa na kinachoifanya TFS ikajengwe Mwanza?Kwa hiyo kwa hoja yako tuhamishie makao makuu ya TPA yawe Dodoma pia kwa kua ni makao makuu ya serikari?
Taasisi zikisambaa gharama za uendeshaji wa serikali huwa juu. Na urasimu pia hua mkali zaidiNataka nitofautiane na mawazo ya wengi, kwangu haikuwa na maana hata kujenga makao makuu Dodoma niliwaza kwa sauti kama wanavyofanya wenzetu wa huko duniani kwamba huduma zisambazwwe kote nchini, huwezi kuwa na Wizara ya Kilimo makao yake makuu yakae sehemu ambayo hawalimi, mtazamo wangu Maliasili na Utalii ingekua kule Arusha kama ilivyo TANAPA hao wa mamiti na misitu wangekaa hata Iringa ama Sumbawanga, watu wa Kilimo wangekaa mikoa inayolima Mbeya, Iringa etc, wengine ambao hawana specific tasks wangekaa sehemu moja , hii inasaidia kusambaza huduma nchi nzima sio kukaa sehemu moja tu.Hata hao wanaojiita wamehamia Dodoma wako Dar siku zote wanafanyiwa Massage na Scrub ni usanii tu.
Leo nakuunga mkono. Yatakuwa majaribu makubwa kwa maamuzi ya baraza la mawaziri. Hakuna sababu concrete ya TFS kujenga makao makuu Mwanza.Moja kwa moja kwenye mada,
Site tunatambua kwamba Makao Makuu ya Nchi na Serikali ni Dodoma ambapo ndipo kunapaswa kujengwa Makao Makuu ya taasisi zote za Kiserikali ikiwemo Ikulu.
Kwamba toka Jobo Ndugai ametolewa kwenye kiti Dodoma imekosa msemaji wake au?
Swali nani katoa ruhusa kwa TFS na Wizara ya Maliasili kujenga Makao Makuu yao Mkoa wa Mwanza Kwa kisingizio cha deforestation Kanda ya Ziwa?
Huo ni upuuzi na utoto kuleta hoja ya kijinga na kukiuka sheria ya Nchi.Hivi Kati ya Dodoma na Kanda ya Kati kiujumla ukilinganisha na Kanda ya Ziwa wapi kunahitaji nguvu kubwa ya kupanda miti Ili kuboresha mazingira?
Waziri husika achana kabisa na huu mpango vinginevyo inakuwa haina maana ya kuwa na Makao Makuu ya Nchi na hivyo tuanze kusambaza taasisi za Kiserikali kikanda na kimkoa..
Mh.Waziri Mkuu zuia huu ujinga. Ingewezekana na TPA wangehamia Dodoma ila hakuna Bahari.👇
View attachment 2302979
Asafiri siku mbili kutokea wapi?Hahahahah kwahio mtu akiwa na kesi na hao jamaa asafiri siku 2 kufuata ofisi zao zilipo huko. UJINGA!!!
Usijitoe akili, hoja yako ni kwamba Taasisi zote za serikali zinatakiwa kuwa Dodoma, sasa nakuuliza tena tuipeleke TPA Dodoma?Kinachoifanya TPA iwepo Dar ni sawa na kinachoifanya TFS ikajengwe Mwanza?
With exceptional circumstances tuu.TFS ina sababu zipi za msingi kujengwa Mwanza Kwa sababu za kipuuzi hizo walizotoa?..Usijitoe akili, hoja yako ni kwamba Taasisi zote za serikali zinatakiwa kuwa Dodoma, sasa nakuuliza tena tuipeleke TPA Dodoma?
Mtu ni anayeishi Dar mzee, hao wengine tunaitaga wa mikoaniAsafiri siku mbili kutokea wapi?
Kwani unaposema mtu ni anayeishi wapi tuu?
Weww ndio taahila.kengewe.kwa hiyo makao makuu ndiyo yazuie kujenga makao makuu huko mwanza?mawazo yenu mgando ambayo hayataki mabadiliko ndiyo yanayoifanya nchi ionekane inaongozwa na majingamajinga.Ondoa utaahira wako hapa..Unaelewa maana ya Makao Makuu ya Nchi?
Unapingana na sheria na amri ya Rais?👇Weww ndio taahila.kengewe.kwa hiyo makao makuu ndiyo yazuie kujenga makao makuu huko mwanza?mawazo yenu mgando ambayo hayataki mabadiliko ndiyo yanayoifanya nchi ionekane inaongozwa na majingamajinga.
Hii sheria usiilete kama umeshasema kuna exceptions.. Maana kama hii sheria haiwezi kuipeleka TPA Dodoma basi kaa nayo weweUnapingana na sheria na amri ya Rais?👇
😂Mtu ni anayeishi Dar mzee, hao wengine tunaitaga wa mikoani
HaaNchi ngumu hii, makao makuu ya taasisi ya serikali kuhamishiwa Mwanza?
Umechelewa Sana kumfahamuSasa taratibu tabia yako halisi inajionesha unavyoteseka sana kwa udini, ukabila, ukanda na hii yote ni sababu tu ya we kuwa CHAWA.
Wasukuma washamba sana, kwa hiyo unaona kama hilo jengo lishakuwa la wasukuma au?Wivu, si chochote kinachokusumbua
Hiyo ni ccm, hawaishi kutengeneza ulaji. Ukataji miti ukishamiri Mtwara, makao makuu yanahamia Mtwara, na kadhalika. Pesa badala ya kutumiaka kupanda miti, zinaishia kwenye masuala ya utawala wa kuiba ni jinsi gani watu wanahama Mwanza, na hapo ndio Kila mtu hupata ulaji kwa urefu wa kamba yake, kama rais Suluhu anavyowataka wafanye!Moja kwa moja kwenye mada,
Site tunatambua kwamba Makao Makuu ya Nchi na Serikali ni Dodoma ambapo ndipo kunapaswa kujengwa Makao Makuu ya taasisi zote za Kiserikali ikiwemo Ikulu.
Kwamba toka Jobo Ndugai ametolewa kwenye kiti Dodoma imekosa msemaji wake au?
Swali nani katoa ruhusa kwa TFS na Wizara ya Maliasili kujenga Makao Makuu yao Mkoa wa Mwanza Kwa kisingizio cha deforestation Kanda ya Ziwa?
Huo ni upuuzi na utoto kuleta hoja ya kijinga na kukiuka sheria ya Nchi.Hivi Kati ya Dodoma na Kanda ya Kati kiujumla ukilinganisha na Kanda ya Ziwa wapi kunahitaji nguvu kubwa ya kupanda miti Ili kuboresha mazingira?
Waziri husika achana kabisa na huu mpango vinginevyo inakuwa haina maana ya kuwa na Makao Makuu ya Nchi na hivyo tuanze kusambaza taasisi za Kiserikali kikanda na kimkoa..
Mh.Waziri Mkuu zuia huu ujinga. Ingewezekana na TPA wangehamia Dodoma ila hakuna Bahari.[emoji116]
View attachment 2302979
Aliwahi kuwa, kabla ya mabadiliko.Kwani Ndumbalo ndie Waziri wa Maliasili na Utalii? Sio kweli
WaTz wanajua Sheria basi? Ndio maana nchi inaendeshwa hovyo, hakuna anayeona umuhimu wa utaratibu wowote, achilia mbali Sheria na Katiba.Sheria ya kuwa Dodoma ni Makao Makuu ilipitishwa Ili iwaje?
Makao Makuu sio maneno bali ni taasisi za Kiserikali kuwepo sehemu ambayo ndio makao makuu ya Nchi.