Afrocentric view
JF-Expert Member
- Jun 19, 2022
- 1,374
- 2,280
I second u
Sasa mbn unachagua wengi?I second u
Jamaa wa matech
Hakuna mwenye akili kuliko rais wa nchi, yupo humu undercoverWajameni nina swali.
Who is the smartest person on JF?
Yani genius, akili mingi, great thinker..kuliko wote.
Nataka nimjue kipanga wetu.
Simuonagi kuchangia mijadala
Antumia ID gan?Hakuna mwenye akili kuliko rais wa nchi, yupo humu undercover
Lete paperWajameni nina swali.
Who is the smartest person on JF?
Yani genius, akili mingi, great thinker..kuliko wote.
Nataka nimjue kipanga wetu.
Badilisha hii sentesi kwenda kiingerezaLete paper
anatumia akili kubwa na ndiyo maana wewe huwezi kumwona.Simuonagi kuchangia mijadala