Narumu kwetu
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 1,888
- 4,489
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
alive and kickinghuyu atakua marehem sahiv maana alidhani anapambana na Chadema
Kwakuweka rehani roho yakehiyo ndo mbinu ya kupandishwa cheo
basi vizur kama yupo safe.....alive and kicking
Ila ilikuwa ni reckless move, hata alipoanza kukimbia, jamaa angekuwa serious kidogo, huyo shujaa asingekuwepo sasa.Ndiye aliyemrushia tear gas ndo akatoka kwenye kibanda baada ya kuzidiwa na moshi.
utayari gani mbona alikimbia baada ya kupewa risasi kadhaa.Ukute police wenzake ndo walimpiga maana walikua wanarusha Risasi hovyo hovyo 😂😂Huyu askari kama yu hai apewe nishani ameonesha utayari wa kufa kwa ajili ya wengine.
Amepona huyohuyu atakua marehem sahiv maana alidhani anapambana na Chadema
Huyo mda huu atakua anapambana na roho isiuache mwizi...alijifanya rambo wa kinoSijamwelewa kabisa huyu askari hii mbinu ya kumsogelea mhalifu hatari bila kuchukua tahadhari,utafikir anamvizia mtu mwenye kisu.ndio maana akatandikwa.
View attachment 1908287
View attachment 1908288