nyakubonga
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 5,960
- 9,978
Hongera kwa ushindi.Mnoo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera kwa ushindi.Mnoo
Kwa nini mkuu??Mimi nimeanza kuamini jamaa si GAIDI.
Huwezi amini hii clip sijaiona , mwenye link ya kuipata tafadhali
Kwanini umeniuliza KWANINI?Kwa nini mkuu??
Kama sio gaidi unahisi ni nani??
Siyo kweli. Inaonekana wewe hata JKT hujapitia. Siyo kazi ya askari kujipeleka peleka ovyo. Wamejifunza mbinu za kivita/mapambano/kukabiliana na adui. Siku nyingine ukitaka kuandika kiingereza, andika hivi "He is a national hero. He did what a true soldier is expected to do. Kilangila.He is the Nation Hero.He did what a true soldier expected to do
alitoka sababu risasi zilimwishia akataka ajisalimishe ndo wakamuwaiI agree with you, huyu baada ya kushoot kitu ka tear gas jamaa ndo akatoka kwenye kila kichumba
Huyu Sio atakua huyo wanayedai mlinzi wa kampuni binafsi aliyeuwawa?
Watu Chuma sijui wanaichukuliaje, kama ni hio badge wanivue tuu ila mbele ya chuma Sitaki unifundishe uzalendo, kaacha Dona kizembe sana.
Askari hawana mafunzo, ndio maana wanakufaga kiboya boya sana. Huyu askari alikua karibu na mhalifu mwenye silaha ya moto SMG, halafu alivyokua fala akampa mgongo na akajisahau kabisa.
Jamaa lingemchapa risasi hata ya makalio.
U made my day mkuuu..leo policcm wamechakazwajeeee!raha sanaaa ahahahhaaa
Alikuwa anaenda kichwa kichwa utadhani ameenda kukamata wafuasi wa chadema.
Akakutana na Smg akalambwa ya mguu kwa ujinga huo alioufanya utasikia kesho amepandishwa cheo
He is the Nation Hero.He did what a true soldier expected to do
alive and kicking
Sasa hivi yuko mawinguni kma meko
Hapana...Huyo ni pumbavu kabisaKama haujapita hata mafunzo ya skauti kaa kimya!
The guy real played as a hero! Kudos askari
Hapana...Huyo kama amepona anatakiwa ashitakiwe..Anastahili tuzo huyu askari alijitoa mhanga sana.
Wewe ni PolisiKaeni kimya kutukana walinzi wetu ni dharau kubwa ipo siku mtaenda kuomba msaada polisi
Possibly amepita JKT. Kwa taarifa zilizopo mpaka sasa hakuna dalili za ugaidi wowote. Jamaa atakuwa alikuwa na kisasi na askari, kuna jambo wamemfanya lililopelekea kuchukua maamuzi magumu.Sidhani kama amepona..maana ameonewa kama tatu HIV au nne..hivi huyo jamaaa mijegejo amejulia wapi kuitumia
Caught them by surprise na kuwaua kabla ya kuchukua silaha zaoWa kituoni si ndo wamepokonywa na bunduki zao??. Yani mwamba alikua na short gun tu ila kaenda kuzikusanya sarenda.