Nani anaelewa mbinu ya huyu askari aliyepigwa risasi?

Nani anaelewa mbinu ya huyu askari aliyepigwa risasi?

Jamaa alikuwa anajaribu kum-provoke ili ajibu mapigo ili akitokeza ile backup ya jamaa wampige risasi. Maana walishaona jamaa kabana ndani ya kibanda na wasingeweza kufanya chochote maana alikuwa anawapiga yeue tu.
Cheki vizuri hapa

 
Jamaa angekufa kizembe mno anabahati tu yani, angekua askari mwenye bunduki wametake cover vile, wanapiga risasi kulenga pale kibandani then yule anakua keshafika maeneo yale kama vile akitokeza tu anakula nyingi
 
Vijana wa kitanzania nikweli kwamba kuna tatizo la ajira basi mnapopata wazo la kujiunga na majeshi yetu msifikirie mnaenda tu kujinasua kwenye wimbi la kukosa ajira mtambue hiyo kazi ni yakifo pia...kilichotokea leo kuna nchi nyingine haipiti wiki jambo halijatokea...kwahiyo utulivu uliopo kwetu uswafanye askari kujiona wako fiti..Any way...kuna kapicha nimekaona kanamuonesha mtu anaesemekana ndo huyo marehemu kaka jambazi amevaa sare za chama.........
 
Back
Top Bottom