Auz
JF-Expert Member
- Apr 6, 2016
- 13,539
- 11,419
Chadema ndio magaidi, maana wangevaliwa kila kifaa cha kujikinga na magari ya mabomu. Ila gaidi halisi tunalifuata kama tunaenda chooni! Weledi wa majeshi yetu ni uonevu tu.huyu atakua marehem sahiv maana alidhani anapambana na Chadema