Nani anafaa kuwa Katibu Mkuu Kiongozi baada ya kifo cha Balozi John Kijazi?

Nani anafaa kuwa Katibu Mkuu Kiongozi baada ya kifo cha Balozi John Kijazi?

Tatizo moja la mteuzi haangalii tu sifa za amteuaye lakini pia comfort yake iwapo atamweka karibu naye huyo amteuaye. Mara nyingi wale ambao hana ukaribu nao ama ni kama anataka wapumzike ndio amekua akiwapeleka huko 'mbali' nae kwa kofia za kibalozi, refer Mangu, KP, Kairuki, Dau, Asha Rose mwenyewe pia etc. So wacha tuone, upper hand aliyonayo Dr. Stegormena Tax ni kwamba ameshaserve kama Permanent Secretary kwa muda mrefu tu kabla ya kuteuliwa kwenda kuwa mtendaji wa SADC unlike Migiro ambaye ameserve nafasi za kisiasa zaidi hapa nchini kuliko utendaji. Kujua how public system machineries zinavyofanya kazi ni muhimu sana kwa nafasi ya CS
Pengine nashauri tumalize msiba kwanza ndipo mseme.Kwa mbali baada ya maombolezo ninaweza kushauri Dr Tax Stegormena au prof Elisante
Wazoefu na cool.
 
Kwann tunadhani hakuna anayefaa?Wapo wengi sana zama hizi kwani ahijajiki mtu anayetumia akili nyingi ila yule anayefuata maagizo na kuogelea na wakati. Wapo wengi sana hata Deo Sanga ana faa tu.Au nasema uongo ndugu zangu
 
Hakuna katibu mkuu wa wizara mwenye uwezo wa ukatibu mkuu kiongozi, wengi waliopo wameingia bila uzoefu jambo linalowakwamisha kuyajua mambo mengi. Lakini pia wengi hawana expossure kama alivyokuwa Sefue na Kijazi.

Turufu inabaki kwenye vyombo vya dola na ubalozini, tutegemee jina jipya
Nonsense.
 
Ex Wabunge, ex mawaziri au RC kama hawajawahi kuwa watendaji ktk historiA zao msiwahesabu kabisa. Hii ni nafasi ya utendaji
 
Utendaji wa kangi ni ule wa polisi na ubebaji siwa bunge la afrika mashariki, makonda utendaji alioufanya ni wa daladala za kolomije na ukaimu katibu wa hamasa umoja wa vijana
 
Hakuna katibu mkuu wa wizara mwenye uwezo wa ukatibu mkuu kiongozi, wengi waliopo wameingia bila uzoefu jambo linalowakwamisha kuyajua mambo mengi. Lakini pia wengi hawana expossure kama alivyokuwa Sefue na Kijazi.

Turufu inabaki kwenye vyombo vya dola na ubalozini, tutegemee jina jipya
Yaani Wewe leo hii ndiyo unajua kuwa Makatibu Wakuu Viongozi wote huwa wanateuliwa kutoka TISS? Pole kwa Kuchelewa kulijua hili kwani hata Marehemu alikuwa miongoni mwao bila kuwasahau waliopita akina Mzee Butiku, Mrisho na wengineo.
 
Yaani Wewe leo hii ndiyo unajua kuwa Makatibu Wakuu Viongozi wote huwa wanateuliwa kutoka TISS? Pole kwa Kuchelewa kulijua hili kwani hata Marehemu alikuwa miongoni mwao bila kuwasahau waliopita akina Mzee Butiku, Mrisho na wengineo.
Butiku aliwahi kuwa Katibu Mkuu Kiongozi?
 
RIP Katibu Mkuu Kiongozi, umeumaliza mwendo. Binafsi namuomba Mungu sana, huyo Mtendaji Mkuu wa Serikali ajaye naye asaidie watumishi wa Serikali ya nchi hii. Asaidie kupata ajira kwa usawa, nyongeza ya mshahara, kupanda madaraja, teuzi kwa kufuata taratibu, kanuni na Sheria zilizopo kwa watumishi wote wanaostahili. Watumishi wengi wanamasononeko mengi mno kuhusu Haki zao japo hawana uwezo wa kuonyesha uhalisia. Naamini wakitendewa Haki yao, mafanikio yataongezeka Mara dufu. Mungu ibariki Tanzania
 
Back
Top Bottom