balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Naona bwana Allan Kijazi unajipigia debe.Kama Mwinyi Kama Kijazi.Mh. Rais, mimi ni mpinzani wako mkubwa sana maana ulinitumbua bila sababu maalum, ila kuna machache nitakuunga mkono.
Nikiwa serikalini, nilifanya kazi na John Kijazi pamoja na Allan kijazi. Nakiri kwamba hawa watu nj waadilifu wa hali ya juu. Allan ni kama kaka yake.
Najua unawapenda watu waadilifu. Kwa maslahi mapana ya taifa, mteue, Allan Kijazi awe Katibu Mkuu Kiongozi. Tafadhali sana. Huyu mtu muadilifu kupitiliza. Ukienda TANAPA yuko safi miaka yote amesimamia taasisi.
Mpinzani wako, mfia nchi.
Nikiangalia Ngubaru ni tatizo kubwa ni bora awe yeye atoke pale utumishiHuyu bwana ngumbaru ndo kakalia maslahi ya watumishi kwa lengo la kumfurahisha jiwe afanye white elephant projects na kujenga himaya pale chatu...
Kwa hiyo madudu yote ya Magufuli mshauri alikuwa Kijazi?Mh. Rais, mimi ni mpinzani wako mkubwa sana maana ulinitumbua bila sababu maalum, ila kuna machache nitakuunga mkono.
Nikiwa serikalini, nilifanya kazi na John Kijazi pamoja na Allan kijazi. Nakiri kwamba hawa watu nj waadilifu wa hali ya juu. Allan ni kama kaka yake.
Najua unawapenda watu waadilifu. Kwa maslahi mapana ya taifa, mteue, Allan Kijazi awe Katibu Mkuu Kiongozi. Tafadhali sana. Huyu mtu muadilifu kupitiliza. Ukienda TANAPA yuko safi miaka yote amesimamia taasisi.
Mpinzani wako, mfia nchi.
Mkuu akipanda si ndo anakuwa bosi wa ma KM wote? kwa hiyo hapo ndo atakuwa anashusha rungu zito zaidi pale utumishi maana kunakuwa hakuna mtu wa kumthibiti...Nikiangalia Ngubaru ni tatizo kubwa ni bora awe yeye atoke pale utumishi
Huyu wakati hatujaambiwa amekosea nini hadi kutumbuliwa na kuvuliwa cheo cha ubalozi? Atafaaje nafasi ya KMK?A. Kidata.
teuzi kama teuzi mwaishaMh. Rais, mimi ni mpinzani wako mkubwa sana maana ulinitumbua bila sababu maalum, ila kuna machache nitakuunga mkono.
Nikiwa serikalini, nilifanya kazi na John Kijazi pamoja na Allan kijazi. Nakiri kwamba hawa watu nj waadilifu wa hali ya juu. Allan ni kama kaka yake.
Najua unawapenda watu waadilifu. Kwa maslahi mapana ya taifa, mteue, Allan Kijazi awe Katibu Mkuu Kiongozi. Tafadhali sana. Huyu mtu muadilifu kupitiliza. Ukienda TANAPA yuko safi miaka yote amesimamia taasisi.
Mpinzani wako, mfia nchi.
Au Tumpe Eng. Kakoko wacbandari maana ile number ndio watu anaowapenda Magu.TANROADS wajiandae atatolewa huko katibu mkuu wingine. Mkuu wa mkoa wa Njombe ajiandae
Unafaa mno kuwa Jaribio la Dawa mpya za Kutibu Watu ( Watanzania ) Wendawazimu ( Matahaira )Mh. Rais, mimi ni mpinzani wako mkubwa sana maana ulinitumbua bila sababu maalum, ila kuna machache nitakuunga mkono.
Nikiwa serikalini, nilifanya kazi na John Kijazi pamoja na Allan kijazi. Nakiri kwamba hawa watu nj waadilifu wa hali ya juu. Allan ni kama kaka yake.
Najua unawapenda watu waadilifu. Kwa maslahi mapana ya taifa, mteue, Allan Kijazi awe Katibu Mkuu Kiongozi. Tafadhali sana. Huyu mtu muadilifu kupitiliza. Ukienda TANAPA yuko safi miaka yote amesimamia taasisi.
Mpinzani wako, mfia nchi.
Huyu hafai hata kidogo. Apambane huko kwanza. Bado hatujaona uwezo wake, miaka imeshapita.Au Tumpe Eng. Kakoko wacbandari maana ile number ndio watu anaowapenda Magu.
Mkuu akipanda si ndo anakuwa bosi wa ma KM wote? kwa hiyo hapo ndo atakuwa anashusha rungu zito zaidi pale utumishi maana kunakuwa hakuna mtu wa kumthibiti...
Ngumbaru hata ile nafasi aliyopo haimtoshi. Ngumbaru mbali ya kuwa kakalia maslahi ya watumishi, pia the man is corrupt and uethical!!!Mkuu akipanda si ndo anakuwa bosi wa ma KM wote? kwa hiyo hapo ndo atakuwa anashusha rungu zito zaidi pale utumishi maana kunakuwa hakuna mtu wa kumthibiti...
La hasha!!, wala usiwe ni mawazo hayo kwamba eti kwasababu Ndumbaro alisoma wasifu wa marehemu akiwa mtumishi wa umma basi ataikwaa nafasi ya KMK iliyoachwa na marehemu Kijazi-RIP.Kabisa jana nilisikia Ndumbaro yule Katibu mkuu Utumishi ndo mzungumzaji mkuu nikanusa harufu yeye kukwaa hiyo nafasi.
Hata wewe unafaa sana tu. Endelea kupiga jalamba mwanawaniKwanza poleni sana kwa misiba iliyoikumba nchi yetu.
Pili, watu huelewa uchapakazi wako bila wewe kuwaambia.
Wanaweza wakakupendekeza kama uchapakazi wako ni mzuri au wasikupendekeze kulingana na uchapakazi wako wa hovyo hovyo.
Ile watu wakisema fulani anafaa basi hata usipopewa nafasi hiyo elewa kuwa unafaa na jamii inakukubali hivyo unapaswa kuendeleza imani hiyo kwa jamii inayokuzunguka.
Swali liko hapo juu, wewe wadhani nani anaweza kuvaa kiatu cha Injinia na kwa nini unamfikiria huyo?
Ingawa umri wake imeenda lakini binafsi namfikiria Katibu mkuu wa utumishi Dr. Laurian Ndumbaro
Kwanini:-
Ni mchapa kazi, ana uzoefu wa muda mrefu kazini na ametulia-hana mapepe mapepe.
2........
3........
4......
Atajifunza hivyo hivyo.Makonda umfikirie kwa nafasi zingine za kiasiasa kama RC na nafasi ndani ya CCM. Hizo za Ukatibu Mkuu hata wa Wizara ndogo hawezi, achilia mbali kuwa Katibu Mkuu Kiongozi (KMK). KMK ni nafasi ya kitaalam sana ya kiutendaji na busara za kumshauri Rais, na kusimamia utendaji wa watumishi wote wa umma, kusoma kwa umakini nyaraka za Baraza la Mawaziri na kushauri ipasavyo.
Jiwe huwa hapangiwiKwanza poleni sana kwa misiba iliyoikumba nchi yetu.
Pili, watu huelewa uchapakazi wako bila wewe kuwaambia.
Wanaweza wakakupendekeza kama uchapakazi wako ni mzuri au wasikupendekeze kulingana na uchapakazi wako wa hovyo hovyo.
Ile watu wakisema fulani anafaa basi hata usipopewa nafasi hiyo elewa kuwa unafaa na jamii inakukubali hivyo unapaswa kuendeleza imani hiyo kwa jamii inayokuzunguka.
Swali liko hapo juu, wewe wadhani nani anaweza kuvaa kiatu cha Injinia na kwa nini unamfikiria huyo?
Ingawa umri wake imeenda lakini binafsi namfikiria Katibu mkuu wa utumishi Dr. Laurian Ndumbaro
Kwanini:-
Ni mchapa kazi, ana uzoefu wa muda mrefu kazini na ametulia-hana mapepe mapepe.
2........
3........
4......