Dr. Laurean Ndumbaro hafai kabisaaaaa!!!. Hata nafasi aliyokalia sasa ina mpwaya kabisa.
Dr. Laurean Ndumbaro ana matatizo makuu yafuatayo ambayo yanafanya asiwe mtu sahihi kukalia hiyo nafasi ya KMK;
1. The man us very allogant
2. Mara nyingi anafanya maamuzi bila kuyafanyia analysis
3. Anapenda kutumika na baadhi ya viongozi wa taasisi za umma kuwaumiza watumishi kwa kuwahamisha kiholela
4. Kuna watu wanadai kuwa the man is corrupted to the extent kwamba akipewa fedha anaweza kumpangia mtu kazi ambayo hana ujuzi nayo na hajasomea. Mfano mzuri, kuna taasisi moja nyeti huko kusini kapelekwa mwana mama mmoja kwa nafasi ya ukurugenzi wakati hata mambo ya uhasibu hajasomea.
Nashauli atafutwe mtu mwingine kwenye hiyo nafasi lakini Dr. Laurean Ndumbaro hafai.
Mkitaka tutawaletea orodha ya baadhi ya viongozi wa taasisi za umma walioshirikiana na Dr. Laurean Ndumbaro kuwaumiza watumishi wa umma kwa matakwa binafsi.