Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TANROADS wajiandae atatolewa huko katibu mkuu wingine. Mkuu wa mkoa wa Njombe ajiandae
Wafuatao wanaweza kuteuliwa
1. Kusiluka katibu ofisi ya Rais
2. Ngusa ktb wa Rais na mniikulu
3. Prof Gabriel Km wizara mifugo
4. Ras Tabora
5- Ras mtwara
6.Kwakuwa Kijazi alitokea ubalozi India tusishange kuona Balozi mmoja wapo
7. Kama ni mwanasiasa basi awe na historia ya utendaji
Huyu aliindolewa hadhi ya ubalozi?
[emoji106][emoji106][emoji106][emoji106]Katanga. Mark this
Prophetic. It has come to pass.Katanga. Mark this
It has come to pass???Prophetic. It has come to pass.
Nafasi gani hiyi mkuu? Mbona Kusini hakuna Mkurugenzi mwanamama!Dr. Laurean Ndumbaro hafai kabisaaaaa!!!. Hata nafasi aliyokalia sasa ina mpwaya kabisa.
Dr. Laurean Ndumbaro ana matatizo makuu yafuatayo ambayo yanafanya asiwe mtu sahihi kukalia hiyo nafasi ya KMK;
1. The man us very allogant
2. Mara nyingi anafanya maamuzi bila kuyafanyia analysis
3. Anapenda kutumika na baadhi ya viongozi wa taasisi za umma kuwaumiza watumishi kwa kuwahamisha kiholela
4. Kuna watu wanadai kuwa the man is corrupted to the extent kwamba akipewa fedha anaweza kumpangia mtu kazi ambayo hana ujuzi nayo na hajasomea. Mfano mzuri, kuna taasisi moja nyeti huko kusini kapelekwa mwana mama mmoja kwa nafasi ya ukurugenzi wakati hata mambo ya uhasibu hajasomea.
Nashauli atafutwe mtu mwingine kwenye hiyo nafasi lakini Dr. Laurean Ndumbaro hafai.
Mkitaka tutawaletea orodha ya baadhi ya viongozi wa taasisi za umma walioshirikiana na Dr. Laurean Ndumbaro kuwaumiza watumishi wa umma kwa matakwa binafsi.
Are you still questioning the obvious?It has come to pass???
Uliona mbaliKatanga. Mark this