Nani anafaa kuwa Katibu Mkuu Kiongozi baada ya kifo cha Balozi John Kijazi?

Nani anafaa kuwa Katibu Mkuu Kiongozi baada ya kifo cha Balozi John Kijazi?

Wafuatao wanaweza kuteuliwa
1. Kusiluka katibu ofisi ya Rais
2. Ngusa ktb wa Rais na mniikulu
3. Prof Gabriel Km wizara mifugo
4. Ras Tabora
5- Ras mtwara
6.Kwakuwa Kijazi alitokea ubalozi India tusishange kuona Balozi mmoja wapo
7. Kama ni mwanasiasa basi awe na historia ya utendaji

Bwana Gunze
 
Dr. Laurean Ndumbaro hafai kabisaaaaa!!!. Hata nafasi aliyokalia sasa ina mpwaya kabisa.

Dr. Laurean Ndumbaro ana matatizo makuu yafuatayo ambayo yanafanya asiwe mtu sahihi kukalia hiyo nafasi ya KMK;

1. The man us very allogant

2. Mara nyingi anafanya maamuzi bila kuyafanyia analysis

3. Anapenda kutumika na baadhi ya viongozi wa taasisi za umma kuwaumiza watumishi kwa kuwahamisha kiholela

4. Kuna watu wanadai kuwa the man is corrupted to the extent kwamba akipewa fedha anaweza kumpangia mtu kazi ambayo hana ujuzi nayo na hajasomea. Mfano mzuri, kuna taasisi moja nyeti huko kusini kapelekwa mwana mama mmoja kwa nafasi ya ukurugenzi wakati hata mambo ya uhasibu hajasomea.

Nashauli atafutwe mtu mwingine kwenye hiyo nafasi lakini Dr. Laurean Ndumbaro hafai.

Mkitaka tutawaletea orodha ya baadhi ya viongozi wa taasisi za umma walioshirikiana na Dr. Laurean Ndumbaro kuwaumiza watumishi wa umma kwa matakwa binafsi.
Nafasi gani hiyi mkuu? Mbona Kusini hakuna Mkurugenzi mwanamama!

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Wakati shughuli na michakato ikiendelea jijini Dodoma kumchagua Mwenyekiti wa chama napendekeza Katibu Mkuu wa CCM awe Mzanzibar maana huyo ndo atakayeendana na Mwenyekiti. Hoja ya pili hapa ni kwa sababu ni muda sasa hatujapata katibu mkuu kutoka upande wa pili wa muungano. Napendekeza Dk Mabodi ambaye ni Naibu katibu Mkuu Zanzibar apewe nafasi hii kwani ana uzoefu mkubwa ndani ya chama na nimuungwana sana.
wasalaam
 
Back
Top Bottom