mkulu senkondo
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 1,862
- 3,574
Nchi imeshakuwa dynasty!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatuishi kujifunza, kama wavifahamu vigezo mjuze ama mfahamishe tu what it takes one to be Balozi labda na roles zake. Sote huuliza kadri ya upeo tulionao kulihusu jambo, uishiapo upeo wa mmoja ndipo huanzia wa mwingine.Stupid question
John Kijazi hakuwa muadilufu kama munavyoaminishwa bali yeye alikuwa ni sehemu ya "oligarchy" inayoshiriki kutengeneza rushwa kwa njia ya miradi mikubwa Kksha kugawana na Meko.
Fuatilia watu kama akina Mfugale wa TANROADS, Deus Kakoko wa TPA au Charles Kicheere CAG. Wote hao wamejenga "unholy alliance" na Meko eversince yuko NW na Full Waziri kule Wizara ya miundombinu.
Jiulize katika watu wote aliowatumbua kwenye nafasi zao au kuwafikisha Mahakamani Kama kuna mtu wa TANROADS au Wizara ya Ujenzi na Miundombinu
Ongezea mama kijazi na mjombake kijazi hapo juu.Nadhani tuorodheshe akina kijazi wote hapa kisha tumpigie kura mmoja.
1. Allan kijazi
2. Agnes kijazi
3. Alkael Kijazi
4. ...
5. ...
6. ...
Kwel mkuuEwe Allan kijazi, hebu Acha mara moja hiyo tabia ya kujipigia promo.
Stupid commentStupid question
Kabisa jana nilisikia Ndumbaro yule Katibu mkuu Utumishi ndo mzungumzaji mkuu nikanusa harufu yeye kukwaa hiyo nafasi.Kama unajua kufuatilia matangazo, utakuwa ushaona Katibu Mkuu mpya atateuliwa nani, na si Kijazi.
Huyu bwana ngumbaru ndo kakalia maslahi ya watumishi kwa lengo la kumfurahisha jiwe afanye white elephant projects na kujenga himaya pale chatu...Kabisa jana nilisikia Ndumbaro yule Katibu mkuu Utumishi ndo mzungumzaji mkuu nikanusa harufu yeye kukwaa hiyo nafasi.
Namshauri kama kawaida amteue mtanzania mzalendo, mchapakazi na muadilifu zaidi mnyenyekevu kwa kila mmoja.Mh. Rais, mimi ni mpinzani wako mkubwa sana maana ulinitumbua bila sababu maalum, ila kuna machache nitakuunga mkono.
Nikiwa serikalini, nilifanya kazi na John Kijazi pamoja na Allan kijazi. Nakiri kwamba hawa watu nj waadilifu wa hali ya juu. Allan ni kama kaka yake.
Najua unawapenda watu waadilifu. Kwa maslahi mapana ya taifa, mteue, Allan Kijazi awe Katibu Mkuu Kiongozi. Tafadhali sana. Huyu mtu muadilifu kupitiliza. Ukienda TANAPA yuko safi miaka yote amesimamia taasisi.
Mpinzani wako, mfia nchi.
We Nairobian ndo Allan Kijazi,! Unapiga promo upewe hicho cheo.Mh. Rais, mimi ni mpinzani wako mkubwa sana maana ulinitumbua bila sababu maalum, ila kuna machache nitakuunga mkono.
Nikiwa serikalini, nilifanya kazi na John Kijazi pamoja na Allan kijazi. Nakiri kwamba hawa watu nj waadilifu wa hali ya juu. Allan ni kama kaka yake.
Najua unawapenda watu waadilifu. Kwa maslahi mapana ya taifa, mteue, Allan Kijazi awe Katibu Mkuu Kiongozi. Tafadhali sana. Huyu mtu muadilifu kupitiliza. Ukienda TANAPA yuko safi miaka yote amesimamia taasisi.
Mpinzani wako, mfia nchi.
Mfia nchi gani ulitumbuliwa, ebu jitambulishe kwa majina tukufshamu ndiyo tutapima unachosema isije kuwa ni kutsfutiana ulaji kiaina.Mh. Rais, mimi ni mpinzani wako mkubwa sana maana ulinitumbua bila sababu maalum, ila kuna machache nitakuunga mkono.
Nikiwa serikalini, nilifanya kazi na John Kijazi pamoja na Allan kijazi. Nakiri kwamba hawa watu nj waadilifu wa hali ya juu. Allan ni kama kaka yake.
Najua unawapenda watu waadilifu. Kwa maslahi mapana ya taifa, mteue, Allan Kijazi awe Katibu Mkuu Kiongozi. Tafadhali sana. Huyu mtu muadilifu kupitiliza. Ukienda TANAPA yuko safi miaka yote amesimamia taasisi.
Mpinzani wako, mfia nchi.