Nani anafaa kuwa Katibu Mkuu Kiongozi baada ya kifo cha Balozi John Kijazi?

Nani anafaa kuwa Katibu Mkuu Kiongozi baada ya kifo cha Balozi John Kijazi?

Ni wachache sana wanaolewa au watakaolewa ulichoandika.
John Kijazi hakuwa muadilufu kama munavyoaminishwa bali yeye alikuwa ni sehemu ya "oligarchy" inayoshiriki kutengeneza rushwa kwa njia ya miradi mikubwa Kksha kugawana na Meko.

Fuatilia watu kama akina Mfugale wa TANROADS, Deus Kakoko wa TPA au Charles Kicheere CAG. Wote hao wamejenga "unholy alliance" na Meko eversince yuko NW na Full Waziri kule Wizara ya miundombinu.

Jiulize katika watu wote aliowatumbua kwenye nafasi zao au kuwafikisha Mahakamani Kama kuna mtu wa TANROADS au Wizara ya Ujenzi na Miundombinu
 
kijazi tena kwa sababu eti vijazi ni waadilifu sana,ngoja tuone.
 
Kabisa jana nilisikia Ndumbaro yule Katibu mkuu Utumishi ndo mzungumzaji mkuu nikanusa harufu yeye kukwaa hiyo nafasi.
Huyu bwana ngumbaru ndo kakalia maslahi ya watumishi kwa lengo la kumfurahisha jiwe afanye white elephant projects na kujenga himaya pale chatu...
 
Mh. Rais, mimi ni mpinzani wako mkubwa sana maana ulinitumbua bila sababu maalum, ila kuna machache nitakuunga mkono.

Nikiwa serikalini, nilifanya kazi na John Kijazi pamoja na Allan kijazi. Nakiri kwamba hawa watu nj waadilifu wa hali ya juu. Allan ni kama kaka yake.

Najua unawapenda watu waadilifu. Kwa maslahi mapana ya taifa, mteue, Allan Kijazi awe Katibu Mkuu Kiongozi. Tafadhali sana. Huyu mtu muadilifu kupitiliza. Ukienda TANAPA yuko safi miaka yote amesimamia taasisi.

Mpinzani wako, mfia nchi.
Namshauri kama kawaida amteue mtanzania mzalendo, mchapakazi na muadilifu zaidi mnyenyekevu kwa kila mmoja.
 
Mh. Rais, mimi ni mpinzani wako mkubwa sana maana ulinitumbua bila sababu maalum, ila kuna machache nitakuunga mkono.

Nikiwa serikalini, nilifanya kazi na John Kijazi pamoja na Allan kijazi. Nakiri kwamba hawa watu nj waadilifu wa hali ya juu. Allan ni kama kaka yake.

Najua unawapenda watu waadilifu. Kwa maslahi mapana ya taifa, mteue, Allan Kijazi awe Katibu Mkuu Kiongozi. Tafadhali sana. Huyu mtu muadilifu kupitiliza. Ukienda TANAPA yuko safi miaka yote amesimamia taasisi.

Mpinzani wako, mfia nchi.
We Nairobian ndo Allan Kijazi,! Unapiga promo upewe hicho cheo.
 
Mh. Rais, mimi ni mpinzani wako mkubwa sana maana ulinitumbua bila sababu maalum, ila kuna machache nitakuunga mkono.

Nikiwa serikalini, nilifanya kazi na John Kijazi pamoja na Allan kijazi. Nakiri kwamba hawa watu nj waadilifu wa hali ya juu. Allan ni kama kaka yake.

Najua unawapenda watu waadilifu. Kwa maslahi mapana ya taifa, mteue, Allan Kijazi awe Katibu Mkuu Kiongozi. Tafadhali sana. Huyu mtu muadilifu kupitiliza. Ukienda TANAPA yuko safi miaka yote amesimamia taasisi.

Mpinzani wako, mfia nchi.
Mfia nchi gani ulitumbuliwa, ebu jitambulishe kwa majina tukufshamu ndiyo tutapima unachosema isije kuwa ni kutsfutiana ulaji kiaina.

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom