babu na mjukuu
JF-Expert Member
- Jun 23, 2016
- 3,916
- 6,697
Huvunji bunge mkuu.Hujanipata mkuu kwani ukimfuta kazi pm inakulazimu kuvunja bunge?
Hizo gharama za kurudia uchaguzi unazicover na fedha gani wakati watu ni ombaomba?
Nimesema nadhani au hujaelewa?
Asante sana mkuu kwa msaada wa elimuHuvunji bunge mkuu.
Bali baraza la mawaziri ndilo huvunjika
KaribuAsante sana mkuu kwa msaada wa elimu
Pamoja sanaKaribu
Yaani tabia zake na za yule BETINA, ni sawa kabisa!ndio maana kalikuwa kanapigwa sana na ZENA!!HAAAAKale ka mama kana roho mbaya sana na hakafai kabisa fadhali mama akutupilie mbali
Aisee watu tunaona mambo makubwa sijui kama yupo na mwenza yuleYaani tabia zake na za yule BETINA, ni sawa kabisa!ndio maana kalikuwa kanapigwa sana na ZENA!!HAAAA
du, you are going too farHata bunge nadhani ila sina uhakika
Mama anampenda sana Lukuvi
Katoa wote asiowataka kamwacha Majaliwa ili ajiongezeSasa kama alikuwa anataka kumtoa Majaliwa hakuwa na sababu ya kulifanyia marekebisho baraza la mawaziri leo...angeaza na PM moja kwa moja then angetangaza upya baraza la mawaziri.
Haiwezekani. Wangesubiri.Pindi tutakapopata Spika Mpya Waziri Mkuu atajiuzulu kwa hiari au kulazimishwa. Then Mama ataunda serikali yake kamili na mpya ya awamu ya sita
Kanaonyesha hata mumewe kanampelekesha sanaKale ka mama kana roho mbaya sana na hakafai kabisa fadhali mama akutupilie mbali
Point ya msingi sana.Sasa PM anakuwaje? Kwamba Baraza la mawaziri litavunjwa ili achaguliwe kuwa Waziri Mkuu?