Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini tokea nyuma huko, utaratibu wa CCM umekuwa ni kumkaimisha naibu spika nafasi ya Uspika, sioni hilo likibadilika mwaka huu...
Chadema wamejitoa!Chenge vs Yeriko Nyerere ingependeza zaidi.
Watakaompendekeza na kumchagua fisadi Chenge ni mafisadi wenzieNdivyo ilivyo hadi sasa na haya majina mawili ndio yanaipasua kichwa Kamati Kuu ya CCM.
Kwa pamoja tuiombee CCM jamani bila kujali itikadi zetu.
Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Unasema...Chadema wamejitoa!
Kama ni kweli basi wasikubali kumvishaJohn jiandae mwisho wa wiki hii mama enu anaenda mgombani kuvishwa ngozi ya chui iliyokua imefanyiwa mazindiko kwa ajili ya kumvalisha mwendazake.
Naiombea ife kifo cha mendeWote tunaiombea CCM..!! Wengine wanaiombea iendelee kutawala na wengine wanaiombea IFE
Kwa kweli yote haya ni maombi. Mleta mada hajasema anapenda yawe maombi gani hasaWote tunaiombea CCM..!! Wengine wanaiombea iendelee kutawala na wengine wanaiombea IFE
Watakaompendekeza na kumchagua fisadi Chenge ni mafisadi wenzie
Yule Mzee anavyojiamini sidhani kama atapitishwa. Pili kumtoa Dada inaweza kuonekana ni muendelezo baada ya Mzee wa Galilaya.Kanda pendwa ina nafasi kubwa!
Mtu ambae hana usafi wa maadili anaanzaje kuwa Spika? Huu utakuwa ninwehu na rasmi mnaoitwa wazalendo na wanyonge mtakuwa mumeoneshwa wazi kabisa kwamba hamna chenu sasa mtaamua kusuka au kinyoa.@ThesunkcostFallacy!
Chenge ni kweli kabisa!
Huyu anaitwa Andrew Chenge.
Mtoa habari aache ukupe, huyu a.k.a mzee wa vijisenti.
Anazo kashfa kibao huko nyuma na hana sifa tena kuingia bungeni kama Spika.
Bado ile ajali aliyoisababisha mke wake kwa kuwagonga na kupelekea vifo vya wale wadada wawili kutoka mwanza.
Akawagonga na Toyota double cabin ambayo ilikuwa haina hata bima ya kutembelea barabarani.Aliivaa Bajaj waliyokuwa wakiitumia kukimbia eneo la tukio na kuwafagilia mbali.
Akiwatuhumu kuwafumania na huyo mtemi wako.
Kisha huyo mtemi wako akatumia utemi kumuondoa mkewe eneo la tukio na kuinunua kesi yeye
Kilichofuatia ni kufutwa au kupotezewa kwa kesi kiaina huku huyu ntemi wako akijitolea kugharamia gharama za mazishi.
Halafu mtu kama huyu, na rekodi yake ya tuhuma za ufisadi aliyoshindwa kujisafisha mpaka leo.
Huku akijitapa hadharani kwamba yeye ni joka la makengeza.
Ndio mnaetaka bila aibu eti awe Spika wa Bunge!
#Tuwakataewahuni.View attachment 2085776
Tulia anapaswa kutulia tu ,kwani yeye ndiye aliye kuwa mshauri mkuu wa Ndugai hivyo Sisi tuna conclude kwamba washindwa wote kazi utofauti mwingine kuto tangaza tu .Ndivyo ilivyo hadi sasa na haya majina mawili ndio yanaipasua kichwa Kamati Kuu ya CCM.
Kwa pamoja tuiombee CCM jamani bila kujali itikadi zetu.
Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Uko sahihi kabisa mkuu @Thesunkcostfallacy.Mtu ambae hana usafi wa maadili anaanzaje kuwa Spika? Huu utakuwa ninwehu na rasmi mnaoitwa wazalendo na wanyonge mtakuwa mumeoneshwa wazi kabisa kwamba hamna chenu sasa mtaamua kusuka au kinyoa.
Yeye ndiyo asikubali kuveshwa.Kama ni kweli basi wasikubali kumvisha
Sio pemba bali kwa mangi.Pemba kuna mgomba kweli?
Ni wazi mwenyekiti wako atalipitisha jina la cheusi mapema sana.
Kumbe ndiyo haya maandalizi hapa kwenye viwanja vya ushirika moshi do!.John jiandae mwisho wa wiki hii mama enu anaenda mgombani kuvishwa ngozi ya chui iliyokua imefanyiwa mazindiko kwa ajili ya kumvalisha mwendazake.