Nani anafadhili tamasha la Kizimkazi? Malengo yake ni yapi?

Nani anafadhili tamasha la Kizimkazi? Malengo yake ni yapi?

Kuna watu wanajadili kuhusu tamasha au kongamano au kutaniko la Kizimkazi huko Zanzibar; limebeba wasanii wengi na wana habari; kutoka kwenye tamasha husika tutapata DC na RC au wagombea ubunge wa 2025; lakini nani mfadhili? Malengo yake ni yapi?
Waliofadhali mabango yaliyoenea nchi nzima ya "nani kama mama" ndiye anayefadhili huu ujinga ili azidi kupewa raslimali za Tanganyika
 
Yaani hili tamasha ni ujinga,kuna watoto wanakaa chini,ila Rais anafanya sherehe ili ajitangaze kwa kuwatumia kina Baba levo. Tanganyika maskini. Hata Magufuli aliyependa Chato hakuwahi fanya tamasha la hivi ili tuwajua mama zake sijui shangazi zake.
 
Kuna watu wanajadili kuhusu tamasha au kongamano au kutaniko la Kizimkazi huko Zanzibar; limebeba wasanii wengi na wana habari; kutoka kwenye tamasha husika tutapata DC na RC au wagombea ubunge wa 2025; lakini nani mfadhili? Malengo yake ni yapi?
Acha chokochoko "Mama anaupiga mwingi"
 
Yaani hili tamasha ni ujinga,kuna watoto wanakaa chini,ila Rais anafanya sherehe ili ajitangaze kwa kuwatumia kina Baba levo. Tanganyika maskini. Hata Magufuli aliyependa Chato hakuwahi fanya tamasha la hivi ili tuwajua mama zake sijui shangazi zake.
Nimewaona jana Machawa wake wakina Mwijaku na Babalevo eti wanaonesha shule aliyosoma na nyumbani kwa Mama yake mdogo.Aisee,kweli Tanzania tumepatwa safari hii!
 
Kuna watu wanajadili kuhusu tamasha au kongamano au kutaniko la Kizimkazi huko Zanzibar; limebeba wasanii wengi na wana habari; kutoka kwenye tamasha husika tutapata DC na RC au wagombea ubunge wa 2025; lakini nani mfadhili? Malengo yake ni yapi?
Gharama zimelipwa na serikali ya Tanganyika, lengo ni kula pesa za umma
 
Kuna watu wanajadili kuhusu tamasha au kongamano au kutaniko la Kizimkazi huko Zanzibar; limebeba wasanii wengi na wana habari; kutoka kwenye tamasha husika tutapata DC na RC au wagombea ubunge wa 2025; lakini nani mfadhili? Malengo yake ni yapi?
Obvious Mfadhili atakuwa ni yule yule ambaye na wewe unamjua
 
Kuna watu wanajadili kuhusu tamasha au kongamano au kutaniko la Kizimkazi huko Zanzibar; limebeba wasanii wengi na wana habari; kutoka kwenye tamasha husika tutapata DC na RC au wagombea ubunge wa 2025; lakini nani mfadhili? Malengo yake ni yapi?
RA anamchezesha mama atakavyo....anzia RT...Deal zote kubwz...kapita mtalam pia kamshika 1dt Son wa Mama ....Deal zote Dolar Grid ....yumo ....muda utaongea
 
Kuna watu wanajadili kuhusu tamasha au kongamano au kutaniko la Kizimkazi huko Zanzibar; limebeba wasanii wengi na wana habari; kutoka kwenye tamasha husika tutapata DC na RC au wagombea ubunge wa 2025; lakini nani mfadhili? Malengo yake ni yapi?
Screenshots_2023-08-26-11-36-49.jpg
 
Back
Top Bottom